sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #21
Mpaka sasa unamfatilia au vipi? mambo haya yanapatikana wasafi tu.Kwa uchambuzi ambangile toka magic namfuatilia
Anyway wewe umepewa zawadi gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka sasa unamfatilia au vipi? mambo haya yanapatikana wasafi tu.Kwa uchambuzi ambangile toka magic namfuatilia
Anyway wewe umepewa zawadi gani?
Jibu zuri Sana Hili.Katangaze na weye ukatwe
Mzee baba mbona una wivu Sana mpaka kea Ambangile!Una hakika hakutakuwa na kukatana??
Jamaa anaujua mpira sio mtu mwingine akishagugo wachezaji viwanja na matukio anageuka mchambuzi wa soka.George Ambangile ni definition ya uchambuzi wa mpira.
Dunia ya soccer isiyojua kiswahili ina bahati mbaya sana kukosa kumsikia huyu mwamba.
Namfuatilia why not?Mpaka sasa unamfatilia au vipi? mambo haya yanapatikana wasafi tu.
Wasafi ni kama maji.Namfuatilia why not?
Mwambieni Simba amfikirie MWALIMU Kashasha jamani.Inamaana mzee Kashasha atkufa bila ku-drive Crown😁😁Mchambuzi nambari moja wa soka hapa Tanzania, George Ambangile PhD amezawadiwa gari kwa mtindo wa surprise.
Ambangile ambaye amefanikiwa kuzima vipindi vyote vya uchambuzi wa soka bongo, amekuwa kipenzi cha wanakandanda kwa ustadi wake mkubwa wa kuifundisha soka redioni maana anachofanya ni zaidi ya uchambuzi anakufanya msikilizaji uelewe, ukujumuike kiwanjani na uone soka ni mchezo rahisi sana na wakuinjoi.
Hii ni muendelezo wa wasafi media kuwapa motisha wafanyakazi wanaofanya vizuri.
MaRaia wanasema bado Sanya!
View attachment 1765599
acheni upuuzi aliekwambia Mimi ni adui wa wasafi tv naniWasafi ni kama maji.
acheni upuuzi aliekwambia Mimi ni adui wa wasafi tv nani
Hongera sana Ambangile!
Mleta mada ulitakiwa ufikishe taarifa kama jinsi ilivyo bila kuongeza chochote, badala yake umeongeza chumvi ndani yake na kummwagia sifa.. ..una uhakika gani Ambangile ni nambari moja? Una evidence?
🤣🤣🤣🤣🤣 Wewe jamaa una majibu ambayo yanawachoma hater kuanzia kiakili mpaka kimwiliWasafi ni kama maji.
Fanya research ndogo ya humu JF, tafuta threads zinazowazungumzia hawa wachambuzi hapa Bongo, utakuta George ana zaidi ya 40% ya wachangiaji.
Mailman Hata kura zilipigwa humu George Ambangile akashinda Tena by far kuliko wengine au ajaribu hapo mtaani kwake aone jamaa anavyokubalika na watanzaniaFanya research ndogo ya humu JF, tafuta threads zinazowazungumzia hawa wachambuzi hapa Bongo, utakuta George ana zaidi ya 40% ya wachangiaji.
Shaffih dauda kaanza kujiunga na instagram muda mrefu pia kiumri ni mkubwa so lazima awe na followers wengi lakini kwasasa George Ambangile ni mchambuzi anayesikilizwa na watu wengi Sana kuliko hata shaffihSawa, kila mmoja na mtazamo wake.. ..ingia Instagram uone nani ana wafuatiliaji wengi/followers wengi..utapata jibu
🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
hana hata mbuzi huyo uchawa mwingiThread nzuri ila inaharibiwa na ujinga wa machawa.
Sawa, kila mmoja na mtazamo wake.. ..ingia Instagram uone nani ana wafuatiliaji wengi/followers wengi..utapata jibu
🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
Mailman Hata kura zilipigwa humu George Ambangile akashinda Tena by far kuliko wengine au ajaribu hapo mtaani kwake aone jamaa anavyokubalika na watanzania
Duh! Hiv unajua maana ya chawa?Wewe ni chawa wa WCB, maoni yako hayawezi kuwa tofauti.