George Ambangile apewa zawadi ya gari na Wasafi FM

George Ambangile apewa zawadi ya gari na Wasafi FM

Mchambuzi nambari moja wa soka hapa Tanzania, George Ambangile PhD amezawadiwa gari kwa mtindo wa surprise.

Ambangile ambaye amefanikiwa kuzima vipindi vyote vya uchambuzi wa soka bongo, amekuwa kipenzi cha wanakandanda kwa ustadi wake mkubwa wa kuifundisha soka redioni maana anachofanya ni zaidi ya uchambuzi anakufanya msikilizaji uelewe, ukujumuike kiwanjani na uone soka ni mchezo rahisi sana na wakuinjoi.

Hii ni muendelezo wa wasafi media kuwapa motisha wafanyakazi wanaofanya vizuri.

MaRaia wanasema bado Sanya!

View attachment 1765599
Mwambieni Simba amfikirie MWALIMU Kashasha jamani.Inamaana mzee Kashasha atkufa bila ku-drive Crown😁😁
 
Hongera sana Ambangile!

Mleta mada ulitakiwa ufikishe taarifa kama jinsi ilivyo bila kuongeza chochote, badala yake umeongeza chumvi ndani yake na kummwagia sifa.. ..una uhakika gani Ambangile ni nambari moja? Una evidence?

Fanya research ndogo ya humu JF, tafuta threads zinazowazungumzia hawa wachambuzi hapa Bongo, utakuta George ana zaidi ya 40% ya wachangiaji.
 
Fanya research ndogo ya humu JF, tafuta threads zinazowazungumzia hawa wachambuzi hapa Bongo, utakuta George ana zaidi ya 40% ya wachangiaji.

Sawa, kila mmoja na mtazamo wake.. ..ingia Instagram uone nani ana wafuatiliaji wengi/followers wengi..utapata jibu


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
 
Sawa, kila mmoja na mtazamo wake.. ..ingia Instagram uone nani ana wafuatiliaji wengi/followers wengi..utapata jibu


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥
Shaffih dauda kaanza kujiunga na instagram muda mrefu pia kiumri ni mkubwa so lazima awe na followers wengi lakini kwasasa George Ambangile ni mchambuzi anayesikilizwa na watu wengi Sana kuliko hata shaffih
 
Sawa, kila mmoja na mtazamo wake.. ..ingia Instagram uone nani ana wafuatiliaji wengi/followers wengi..utapata jibu


🇦🇷🇦🇷🇦🇷🔥🔥

Mimi nimetumia JF kwa sababu ni mtandao nao utumia zaidi.

Kuhusu Insta, unaweza kutuambia ni nani mwenye followers wengi? Na je, hao followers ni kigezo cha moja kwa moja kwamba wanafata ubora wa mtu? Au wanafata vile vitu vinavyokuwa posted?
 
Back
Top Bottom