sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
Watu wanapewa zawadi Mondi roho safi alafu mzigo upo usiwe na roho za kimaskini dogo.Una hakika hakutakuwa na kukatana??
Sasa wewe ulitaka watu wapewe zawadi gani? haya basi kawachagulie zawadi za kutoa mnawqza shirki tu wabongo ndio maana amuendelei.Hvi hamna zawadi nyingine ni gari tuuu ? Kila mtu anapewa gari duuh..... Kuna nin nyuma ya pazia kwenye hzi gar ..au ndo ibada yetu ileeeee...ngoja tuone kuna watu watazitapika hzo gar mbeleni
Si anauza tuHilo gari linaendana na kipato chake sio mnamletea gari anaanza kuteseka kwenye mafuta
Labda wanapewa kitu ambacho hawana.Hvi hamna zawadi nyingine ni gari tuuu ? Kila mtu anapewa gari duuh..... Kuna nin nyuma ya pazia kwenye hzi gar ..au ndo ibada yetu ileeeee...ngoja tuone kuna watu watazitapika hzo gar mbeleni
ππππ sasa mafuta si yatamtesa yeye mbona unapanic mkuu. Ambangile anakuwa soon atakuwa pundit mwenye pesa nyingi bongo so hata ingekuwa H2 bado anatakiwa aanze kuzoea level hizoHilo gari linaendana na kipato chake sio mnamletea gari anaanza kuteseka kwenye mafuta
Tunaleta habari huku tunawapelekea moto watoto wadogo.We jamaa ufikishaji wako wa habari huwa unawaumiza sana haters.
Katangaze na weye ukatweUna hakika hakutakuwa na kukatana??