George Ambangile apewa zawadi ya gari na Wasafi FM

Hongera sana Ambangile!

Mleta mada ulitakiwa ufikishe taarifa kama jinsi ilivyo bila kuongeza chochote, badala yake umeongeza chumvi ndani yake na kummwagia sifa.. ..una uhakika gani Ambangile ni nambari moja? Una evidence?
Yes nna uhakika, kwa uchambuzi wa soka kwa sasa hakuna kama Ambangile.
 
Sawa, kila mmoja na mtazamo wake.. ..ingia Instagram uone nani ana wafuatiliaji wengi/followers wengi..utapata jibu


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
Kuna mmiliki mmoja wa radio alijifanyia interview kupitia radio yake. Akatoa povu jingi sana kwa wachambuzi soka wa asubuhi wenye akili tukajua kilio cha mtu mzima hicho Ambangile kabeba kijji chote.
 
Dozen alipewa benz
 
 
Huyu jamaa jana asubuh kweny kipindi cha sports arena alitabiri game ya chelsea vs madrid itaisha 1-1 na imekuwa hvyoπŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»πŸ™ŒπŸ»! Wanaosikilizaga kipindi mashaidi!!
 
Shaffih dauda kaanza kujiunga na instagram muda mrefu pia kiumri ni mkubwa so lazima awe na followers wengi lakini kwasasa George Ambangile ni mchambuzi anayesikilizwa na watu wengi Sana kuliko hata shaffih
Sikiliza

Sikatai mkuu.. ..ambangile yuko vizuri kwenye swala la uchambuzi, namkubali sana.. ..lakini mnavyosema ni "mchambuzi nambari moja siwaelewi.. ..maana hamuna evidence wala kura za wadau zilizopigwa za kuthibitisha, he is the best analyst of all!!!


πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
Kuhusu Insta, unaweza kutuambia ni nani mwenye followers wengi? Na je, hao followers ni kigezo cha moja kwa moja kwamba wanafata ubora wa mtu? Au wanafata vile vitu vinavyokuwa posted?

Mbali na followers wengi alionao shaffi.. .. angalia wadau wenyewe wanaochangia ni wengi kuliko kwa ambangile.. ..wako wanaomkubali na baadhi wasiomkubali na kumpenda kwa namna tofauti, ukilinganisha na ambangile mwenye wachangiaji wachache.. ..

Sikiliza



πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ‡¦πŸ‡·πŸ”₯πŸ”₯
 
shafii dauda hana akili ya kuchambua mpira ni msomaji wa magazeti ya daily mirror ya UK
 
Watu wanapewa zawadi Mondi roho safi alafu mzigo upo usiwe na roho za kimaskini dogo.
Mavoko wakati akiwa WCB aliwahi kusema, kwanini yeye hakuwahi kupewa gari wakati akiwa hapo.

Akasema wengi wanaopewa magari hapo siyo bure.

Kama ni msanii ukipewa gari, utakuwa unakatwa kidogo kidogo kwenye mauzo yako.

Na kama una mshahara kama baba levo, utakuwa unakatwa kwenye mshahara.

Tatizo la Wasafi ni uongo na propaganda, as if wamekuzawadia bure.

Mbona yasemekana Kitenge alipewa 10M pamoja na gari kama pesa ya uhamisho kutoka EFM, lakini hawakutangaza??
 

Hivi Tanzania ina watu wangapi wanaotumia Smartphone na ina wangapi wanaofatilia instagram.

Wote conclusion zenu fake, George ni Bora kwa upande wake na Shafii ni bora kwa upande wake.

Kuwa na followers wengi hakukufanyi kuwa bora. Instagram sio kipimo cha mnachoelezea kutokana na uhalisia wa Tanzania na watu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…