sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #61
Haya sawa, as long as inakupa burudani moyoni mwako.Mavoko wakati akiwa WCB aliwahi kusema, kwanini yeye hakuwahi kupewa gari wakati akiwa hapo.
Akasema wengi wanaopewa magari hapo siyo bure.
Kama ni msanii ukipewa gari, utakuwa unakatwa kidogo kidogo kwenye mauzo yako.
Na kama una mshahara kama baba levo, utakuwa unakatwa kwenye mshahara.
Tatizo la Wasafi ni uongo na propaganda, as if wamekuzawadia bure.
Mbona yasemekana Kitenge alipewa 10M pamoja na gari kama pesa ya uhamisho kutoka EFM, lakini hawakutangaza??
Mavoko wakati akiwa WCB aliwahi kusema, kwanini yeye hakuwahi kupewa gari wakati akiwa hapo.
Akasema wengi wanaopewa magari hapo siyo bure.
Kama ni msanii ukipewa gari, utakuwa unakatwa kidogo kidogo kwenye mauzo yako.
Na kama una mshahara kama baba levo, utakuwa unakatwa kwenye mshahara.
Tatizo la Wasafi ni uongo na propaganda, as if wamekuzawadia bure.
Mbona yasemekana Kitenge alipewa 10M pamoja na gari kama pesa ya uhamisho kutoka EFM, lakini hawakutangaza??
Mchambuzi nambari moja wa soka hapa Tanzania, George Ambangile PhD amezawadiwa gari kwa mtindo wa surprise.
Ambangile ambaye amefanikiwa kuzima vipindi vyote vya uchambuzi wa soka bongo, amekuwa kipenzi cha wanakandanda kwa ustadi wake mkubwa wa kuifundisha soka redioni maana anachofanya ni zaidi ya uchambuzi anakufanya msikilizaji uelewe, ukujumuike kiwanjani na uone soka ni mchezo rahisi sana na wakuinjoi.
Hii ni muendelezo wa wasafi media kuwapa motisha wafanyakazi wanaofanya vizuri.
MaRaia wanasema bado Sanya!
View attachment 1766420
Hao uliwataja wanamzidi Nini George Ambangile kwa uchambuzi?Hahaha yani Ambangile awe zaidi ya Shafii? Oscar Oscar? Maestro? Jeff Lea? Hahaha hivi navyo vituko...
Huyo ni mchambuzi mzuri tena wa mpira tuu lakini si namaba moja acha uongo hahaha
Tanzania Eleven aka mwendo wa kuprint tu gari anasa😀😀Alikuwa ni mdau mwenzetu wa T11 a.k.a carless?
Hongera yake George,Hongera kwa George Ambangile...
Hao wote uliotaja hapo juu hawamfikii Maestro.Hahaha yani Ambangile awe zaidi ya Shafii? Oscar Oscar? Maestro? Jeff Lea? Hahaha hivi navyo vituko...
Huyo ni mchambuzi mzuri tena wa mpira tuu lakini si namaba moja acha uongo hahaha
We ninani yake?Hajapewa...anailipia kwa kukatwa mshahara
Ambangile ni coach pia by profession.watu wanachanganyakiwa na kitu kimoja, ambangile anaongea kinadharia sana, mara nyingi haziwi real, anajua kuelezea mpira ulivyokuwa, hapo kawazidi wachambuzi wengi, tena anawazidi hata makocha wenyewe wenye timu zao-ubaya wa nadharia bana unakuwa unajua kila kitu , ila ukitaka uchambuzi halisi wa kimpira ambao haupo kinadharia upo kihalisi msikilize dokta liki, maestro na dogo ali kamwe kwa mbali anakuja kuja.
Mkuu umenikumbusha Dr Licky.watu wanachanganyakiwa na kitu kimoja, ambangile anaongea kinadharia sana, mara nyingi haziwi real, anajua kuelezea mpira ulivyokuwa, hapo kawazidi wachambuzi wengi, tena anawazidi hata makocha wenyewe wenye timu zao-ubaya wa nadharia bana unakuwa unajua kila kitu , ila ukitaka uchambuzi halisi wa kimpira ambao haupo kinadharia upo kihalisi msikilize dokta liki, maestro na dogo ali kamwe kwa mbali anakuja kuja.
Una ushetan braza ndan yako.toa hyo rohoHvi hamna zawadi nyingine ni gari tuuu ? Kila mtu anapewa gari duuh..... Kuna nin nyuma ya pazia kwenye hzi gar ..au ndo ibada yetu ileeeee...ngoja tuone kuna watu watazitapika hzo gar mbeleni
Ukikua utaelewa, ombea sku ya kuelewa usiwe umechelewa kung'amuaUna ushetan braza ndan yako.toa hyo roho
Nadhani ni crown Athlete mkuuHii ni gari gani?
Mtutajie aina ya gari maana picha haonyeshi vizuri kwa nyuma
Hivi bwana mdogo pale wasafi upo kitengo gan?Mchambuzi nambari moja wa soka hapa Tanzania, George Ambangile PhD amezawadiwa gari kwa mtindo wa surprise.
Ambangile ambaye amefanikiwa kuzima vipindi vyote vya uchambuzi wa soka bongo, amekuwa kipenzi cha wanakandanda kwa ustadi wake mkubwa wa kuifundisha soka redioni maana anachofanya ni zaidi ya uchambuzi anakufanya msikilizaji uelewe, ukujumuike kiwanjani na uone soka ni mchezo rahisi sana na wakuinjoi.
Hii ni muendelezo wa wasafi media kuwapa motisha wafanyakazi wanaofanya vizuri.
MaRaia wanasema bado Sanya!
View attachment 1766420
Utafiti gani umefanya ukaona yy ndo no1?Mchambuzi nambari moja wa soka hapa Tanzania, George Ambangile PhD amezawadiwa gari kwa mtindo wa surprise.
Ambangile ambaye amefanikiwa kuzima vipindi vyote vya uchambuzi wa soka bongo, amekuwa kipenzi cha wanakandanda kwa ustadi wake mkubwa wa kuifundisha soka redioni maana anachofanya ni zaidi ya uchambuzi anakufanya msikilizaji uelewe, ukujumuike kiwanjani na uone soka ni mchezo rahisi sana na wakuinjoi.
Hii ni muendelezo wa wasafi media kuwapa motisha wafanyakazi wanaofanya vizuri.
MaRaia wanasema bado Sanya!
View attachment 1766420