George Ambangile apewa zawadi ya gari na Wasafi FM

Afu unajua drammar za wasaf kwel au mahaba?
 
Sasa wewe ulitaka watu wapewe zawadi gani? haya basi kawachagulie zawadi za kutoa mnawqza shirki tu wabongo ndio maana amuendelei.
Nyumba ndo mchongo ndo maana mavoko altaka geto wakaona halina ujiko kwao
 
kwa hiyo anamzidi mwalimu kashasha ngoja nimuangalie YouTube
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
Mtaani bhana eti wale wanaopewa magari na Mondi huwa anawatindua mitaro, Sasa na huyu GA naye alitinduliwa? Maana watu wanahoji inakuwaje apewe gari bure tu? Maana pale alipo analipwa mshahara, analipiwa nyumba, kodi za maji na umeme. Hiyo gari kuna namna alifanywa na haiwezekani kupewa bure kuna jambo nyuma yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…