George Floyd (RIP) ni nani, alikuwa anajishughulisha na nini?

Hivi mkuu una ka video ka huyo dogo
 
Kulikuwa hakuna haja ya kifungua uzi kuuliza swali hilo. Ungefungua tu google zimejaa habari zake kila kona.
 
Dah..

Sema kwanini reaction yote hii!?
Who was He!?
Watu wana hasira ila tu hawajapata mwanya wa kuzitoa hasira zao Sasa kwa huyu jamaa ikawa ndo Kama mlango wa wao kutoa hasira zao
 
Watu wanaocheza x za habib show mara nyingi huwa si wacheza x waliokubuhu yaani si wale ambao x wamezifanya kama ajira zao, mara nyingi huwa ni watu tu wenye mishe zao tu za hapa na pale, ila yule jamaa habib hutafuta mtu anamtangazia dau wanacheza x, kwa huyo big floyd alikuwa na mishe zake nyingine, si kwamba x ndo kazi yake
 
Mshana Jr, wewe ni mtu unaye heshimika sana hapa JF; mambo mengine potezea ili kulinda hadhi yako!
 
Sio nyie mnaopigaga makofi kwenye nyumba zenu za ibada pale mnaposikia ushuhuda kuwa mtu kaacha kufanya dhambi eg kuacha wizi uzinzi etc?

Kwanini isiwe na huyu aliacha mambo hayo akamrejea Mungu wake?kipi kinakufanya usiamini hivyo?
Angeziondoa videos zake XVid.
 
baada ya ku-google na kutambua kuwa jamaa alikuwa mfiraji yaani siku yangu imeharibika kabisaa, huruma yangu kwake imepotea kabisa na kwa kweli alistahili kuuwa tena kwa kuchomwa moto kama Mwenyezi Mungu alivyo fanya kwa watu wa sodoma naoa gomora!
Mkuu wewe kwa siku huwa unatenda makosa mangapi dhidi ya muumba wako? Mwezio kafa kifo kizuri huenda alipata muda wa kutubu,si vizuri kumsema marehemu mabaya yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibu murua kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…