Mbobezi alishajitangaza sema walimkandia kusaini kwa wino mwekundukwa hiyo George sio mbobezi kama alivyodai mchangiaji?
Kile kitendo tu cha wewe kumuona rohoni mwako kuwa anfaa; hayo tayari ni maombi, tena makubwa mnoAhsante nimeelewa ndugu, japo naona ana nafasi lakini sijamuombea nisiwe mnafki najaribu tu kuangalia uhalisia
Yani nchi hii hadi makachero wabobezi wanazidiwa kete wasimwage wino
Kawa waziri/naibu toka 2012 hukoNi kweli nilikuwa nachanganya mafaili hapa. JK alimpa uwaziri kabla ya uchaguzi wa 2015
Hii ndio kazi mnaweza, kufatilia maisha ya waliofanikiwa. Kapuku mkubwa weweAlikua kondakta kwenye mabasi ya urafiki tajiri alikua joseph chove mtu wa iringa .Dodoma hiyo miaka ya 80 mwishoni kuendea 90..
Kwenye kampuni ya mabasi ya urafiki ambayo ilikuwa ikimilikiwa na shemeji yake Mzee chove (rip)Ndiyo alishakuwa mpiga Debe na tingo
Alikamatwa akakaa sero kama kawaida akalipa faini, japo hakukaa sana ila taratibu zilifuatwa na dogo atakuwa alijifunza kituNdio huyu kijna ake aligonga gar Al watu na kwenda [emoji61] kuwazinguwa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kwao ni Mpwapwa Kijiji kinaitwa Pwaga Hana lolote. Watu liomsaidia kwenye kampeni wengi aliwapotezea.
Kama kuna mwenyeji was bwaga hapa atajazia
amerudi tena wizara nyetiUkisikia deep state ndio hawa hawa.
Simba Chawene ndiye aliyeongea na Mama viongozi wa Chadema waliokamatwa Mwanza wakati wa vugu vugu la Katiba Mpya waachiwe bila masharti.
Ni maneno ya Zito Zuberi Kabwe.
Watu wana privacy ya hali ya juu.Huyo ndio roho ya nchi hii katika KU set viongozi wanaoshika hatamu tangu enzi za nyerere na baada ya nyerere kuondoka akabaki kama mtu muhimu hadi Leo!
Nadhani atakua ameandaa Mbadala wake pale atakaporudi kule alipotoka na kwa umri wake na vingi alivofanyia taifa ana uwezo wa kufanya self destruction kwa maslahi ya taifa lake!!