George Simbachawene ni nani hasa?

George Simbachawene ni nani hasa?

NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri

View attachment 2551539

Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu

Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.

Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Ukienda kibakwe baba yake anaogopeka hatari ni mtaalam maarufu sana huko
 
Kwa hiyo ni bahati tu? Huyu Elimu yake ikoje
Kama nia kubalance mbona sasa anapewa wizara nyeti?
Kwenye maisha kuna watu wana upepo tu unaweza ukafikiria ana ndumba kumbe wala hata hategemei ndumba na ndio hao ambao wanayumba yumba sana kazini.

Akipewa anafasi anakaa kwa mda flani anafitiniwa anatoka. Ila hakai sana anapata nyengine anafanya napo wakimfitini anaondolewa. Nahisi ndio aina ya personality ya Simbachawene. Unakuta hanaga noma na mtu ila wabongo wivu ukiwa na cheo ni kawaida.
 
Huyu kwao sawa ni Pwaga na Galigali pia ujombani namjua vyema akiwa kule Mbuga, Winza, Kinusi,Matonya,Ihwa,Maandazi,Ipera,Mang'alisa, Choghola, Kikuyu na Ihefu watu wa milimani mmenisoma huyu analingia uchawi wa baba yake.
Miaka yote mmekuwa mkisema hivyo anaringia uchawi wa baba yake. Baba yake alishafariki Sasa hivi huo uchawi anautoa wapi??
Simbachawene licha ya mapungufu yake lakini ana utu.
Kawasaidia vijana wengi Sana hasa kwenye kuwalipia ada na hata kuwatafutia michongo.
 
Mimi sio kiaxi kama umavyofikiria. Siwezi kutaja mtu hapa ila wapi na wanalalamika. Wakati amefiwa na mzazi wake uliudhuria kwenye msiba?
Wewe jamaa mbona kama nataka kukujua!!!!?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ulimsaidia kampeni baadae ukatoswa ukaanza kumpiga majungu fesibuku.
Kwenye msiba sikuhudhuria.
 
Huyu si ndiye alikuwaga anatukatisha tikiti za mabasi miaka ile huyu?.
Kwakweli huyu anaweza kuwa ni mfano wa hustlers maana tangu alivyoanza kupambana kwenye kukatisha tiketi kwenye mabasi ya Uda, kujiendeleza shule kupitia open university,kupambana na maisha Hadi kuingia kwenye siasa siyo kazi ndogo.
Jamaa amepambana Sana. Huwa ana moyo wa kumsikiliza mtu na kumsaidia lakini hapendi kupe(mtu anayemtegemea kwa kila kitu na Kila siku).
Anapenda akikusaidia uendelee na mapambano yako Sasa watu wengi wa jimboni kwake wanataka akiwasaidia Leo hili kesho akipata shida nyingine anamfikiria mheshimiwa. Jamaa anawachoka.
 
Back
Top Bottom