Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Ni mbunge wangu huyo mzee mkuchika kiukweli hakushinda 2015 wapa 2020 tumemchoka mnoWN OR (WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAIS) Captain Ret. GEORGE HURUMA MKUCHIKA
Muda Sana Serikalini, System System
Kama Mhagama kinachomuweka sijui ni kitu gani hana loloteHalafu hawana tija yoyote kwa Wananchi
Hongera kama ametokea hukoHuyu si ndiye alikuwaga anatukatisha tikiti za mabasi miaka ile huyu?.
Ukienda kibakwe baba yake anaogopeka hatari ni mtaalam maarufu sana hukoNI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
hakuwa tingo ila alikuwa kondaNi kweli aliwahi kuwa tingo au mpiga debe?
Kwenye maisha kuna watu wana upepo tu unaweza ukafikiria ana ndumba kumbe wala hata hategemei ndumba na ndio hao ambao wanayumba yumba sana kazini.Kwa hiyo ni bahati tu? Huyu Elimu yake ikoje
Kama nia kubalance mbona sasa anapewa wizara nyeti?
Watu wa hivyo wanakuwa wamesetiwa nyota zao vizuri tu hawagusiki kizembe ila unaweza myumbisha ila nyota huchukui.Ukienda kibakwe baba yake anaogopeka hatari ni mtaalam maarufu sana huko
Alipita Newala Kwa Connection Tu Ya Bila Kupingwa Halafu Eti Tanzania Tutegemee Mabadiliko Yatakayofanywa Na Hao Siyo RahisiNi mbunge wangu huyo mzee mkuchika kiukweli hakushinda 2015 wapa 2020 tumemchoka mno
Kwani vibaya? Alimradi ilikuwa kazi ya halali hakuna shida.Huyu si ndiye alikuwaga anatukatisha tikiti za mabasi miaka ile huyu?.
Miaka yote mmekuwa mkisema hivyo anaringia uchawi wa baba yake. Baba yake alishafariki Sasa hivi huo uchawi anautoa wapi??Huyu kwao sawa ni Pwaga na Galigali pia ujombani namjua vyema akiwa kule Mbuga, Winza, Kinusi,Matonya,Ihwa,Maandazi,Ipera,Mang'alisa, Choghola, Kikuyu na Ihefu watu wa milimani mmenisoma huyu analingia uchawi wa baba yake.
Mwikola alimsaidia kampeni au alikuwa anagombea naye akapigwa chini!!!?Mwikola
Mwambie. Tatizo la vijana na watu wengi wa jimboni kwake wanataka kila shida wanayopata na wanayomwambia awasaidie ilihali naye ana majukumu yake.Asipokusaidia ww unamuita mchawi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]eti kidada sanaaaa. Mueleweshe kwa kiswahili kuwa kidada(kihehe) ni kiburi/nyodo kwa kiswahili.[emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957]Mhehe jamaa ila ndo wale kidada sana
Wewe jamaa mbona kama nataka kukujua!!!!?[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Ulimsaidia kampeni baadae ukatoswa ukaanza kumpiga majungu fesibuku.Mimi sio kiaxi kama umavyofikiria. Siwezi kutaja mtu hapa ila wapi na wanalalamika. Wakati amefiwa na mzazi wake uliudhuria kwenye msiba?
Kwakweli huyu anaweza kuwa ni mfano wa hustlers maana tangu alivyoanza kupambana kwenye kukatisha tiketi kwenye mabasi ya Uda, kujiendeleza shule kupitia open university,kupambana na maisha Hadi kuingia kwenye siasa siyo kazi ndogo.Huyu si ndiye alikuwaga anatukatisha tikiti za mabasi miaka ile huyu?.
For real simung'unyi maneno ila asili ya wagogo ni omba omba na ndio sababu jamaa anamlaumuMwambie. Tatizo la vijana na watu wengi wa jimboni kwake wanataka kila shida wanayopata na wanayomwambia awasaidie ilihali naye ana majukumu yake.