Haya ya msingi wanayapigia siasa...Wazee wanasemaje kuhusu katiba mpya na tume huru ya uchaguzi??
Akili ya mtu mjinga ama wewe huamini katika ushirikina.Waamini ushirikina ni nadra kukosa vyeo.
Ni mpigaji na muwakilishi wa waruguru!NI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
View attachment 2551539
Na ameshapewa majukumu Wizara ya Utumishi , Wizara Mambo ya ndani, Waziri ofisi ya Waziri. Moja ya Wizara ziliozokaribu kiutendaji na Ikulu
Ni nani hasa? Safari yake ya kisiasa na utumishi serikalini ikoje? Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Bila shaka inahitaji Uzalendo usio na mashaka kusurvive mabaraza ya marais watatu
Mzee simuelewagi vizuri, wakati mwingine anaonekana mwema wakati mwingine kama vile hana analojua, ila yupo composed....Nilifanya naye kazi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga nika m define vibaya sana kuna namna alinikwaza katika ujenzi wa nyumba za wakimbizi wale wa Chogo. Lakini ipo siku kuna ndugu yangu alikamatwa na mpambe wa JPM, very recent kabla ya umauti wa JPM, yeye ndiye aliyemtoa kwenye ile kadhia nikamwona ana busara sana....Any way Salute mzee!Huyu Mzee kashajadiliwa sana humu, tafute nyuzi zake. Ni Mzalendo amehudumu tangu enzi za Nyerere na kila Rais aliyefuata mpaka sasa
Anawasaidia kina nani? Wataje baadhi tu hapa na nikwambie kitu kimoja tu kuwa hujui kitu Jimbo lake lina umasikini mkubwa sana hana msaada wowote barabara hakuna ni jambo la kumshukuru sana huyu Diwani wa Kata ya Galigali ambaye naona kambana kupeleka TARURA kidogo caravats zinatengenezwa barabara za kinusi,Matonya, Galigali maana Vijiji hivi vina utajiri mkubwa sana wa vyakula, madini, uoto wa asili, maporomoko yenye kuvutia utalii wa ndani na nje. Wewe utakuwa chawa ndo maana unatetea upuuzi jimbo la Kibakwa ni moja ya majimbo yenye umaskini mkubwa Nchini kutokana na kutokuwa na miundo mbinu yenye kuridhisha tunaishi Mikoa ya watu nimetembea Wilaya za Nchi nzima hakuna jimbo lipo nyuma kama Kibabwe sasa tafuta lako alafu njoo nalo hapa tujadili.Miaka yote mmekuwa mkisema hivyo anaringia uchawi wa baba yake. Baba yake alishafariki Sasa hivi huo uchawi anautoa wapi??
Simbachawene licha ya mapungufu yake lakini ana utu.
Kawasaidia vijana wengi Sana hasa kwenye kuwalipia ada na hata kuwatafutia michongo.
Brother siku hizi wengine hufanya hivyo kama biti ili mtu asikuchezee si unajua wa tz wanaogopa sana uchawi na wengine huenda mbali na kudhurikaHuyu jamaa kwa ndumba yuko vizur sana nlishapewa na mtu anayekaa jiran yake Kinyerezi mtaa wa Zimbiri jamaa analeta Makalumanzila Mchana Kweupe wamepiga makaniki yao meusi wanafanya yao bila stress
Huyo ndio roho ya nchi hii katika KU set viongozi wanaoshika hatamu tangu enzi za nyerere na baada ya nyerere kuondoka akabaki kama mtu muhimu hadi Leo!Mzee simuelewagi vizuri, wakati mwingine anaonekana mwema wakati mwingine kama vile hana analojua, ila yupo composed....Nilifanya naye kazi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga nika m define vibaya sana kuna namna alinikwaza katika ujenzi wa nyumba za wakimbizi wale wa Chogo. Lakini ipo siku kuna ndugu yangu alikamatwa na mpambe wa JPM, very recent kabla ya umauti wa JPM, yeye ndiye aliyemtoa kwenye ile kadhia nikamwona ana busara sana....Any way Salute mzee!
Naibu Waziri NishatiKama sikosei Nishati, utanisahihisha
AhsanteHuyo ndio roho ya nchi hii katika KU set viongozi wanaoshika hatamu tangu enzi za nyerere na baada ya nyerere kuondoka akabaki kama mtu muhimu hadi Leo!
Nadhani atakua ameandaa Mbadala wake pale atakaporudi kule alipotoka na kwa umri wake na vingi alivofanyia taifa ana uwezo wa kufanya self destruction kwa maslahi ya taifa lake!!
Bado ni binadamuMzee simuelewagi vizuri, wakati mwingine anaonekana mwema wakati mwingine kama vile hana analojua, ila yupo composed....Nilifanya naye kazi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga nika m define vibaya sana kuna namna alinikwaza katika ujenzi wa nyumba za wakimbizi wale wa Chogo. Lakini ipo siku kuna ndugu yangu alikamatwa na mpambe wa JPM, very recent kabla ya umauti wa JPM, yeye ndiye aliyemtoa kwenye ile kadhia nikamwona ana busara sana....Any way Salute mzee!
Inafaa aandike kitabu kututia moyo ma-hustlers wengine. Au japo mahojiano au kwenye majukwaa ya vijanaKwakweli huyu anaweza kuwa ni mfano wa hustlers maana tangu alivyoanza kupambana kwenye kukatisha tiketi kwenye mabasi ya Uda, kujiendeleza shule kupitia open university,kupambana na maisha Hadi kuingia kwenye siasa siyo kazi ndogo.
Jamaa amepambana Sana. Huwa ana moyo wa kumsikiliza mtu na kumsaidia lakini hapendi kupe(mtu anayemtegemea kwa kila kitu na Kila siku).
Anapenda akikusaidia uendelee na mapambano yako Sasa watu wengi wa jimboni kwake wanataka akiwasaidia Leo hili kesho akipata shida nyingine anamfikiria mheshimiwa. Jamaa anawachoka.
Basi Upepo unaweza kumfikisha mbali nikiangalia wizara alizopitiaKwenye maisha kuna watu wana upepo tu unaweza ukafikiria ana ndumba kumbe wala hata hategemei ndumba na ndio hao ambao wanayumba yumba sana kazini.
Akipewa anafasi anakaa kwa mda flani anafitiniwa anatoka. Ila hakai sana anapata nyengine anafanya napo wakimfitini anaondolewa. Nahisi ndio aina ya personality ya Simbachawene. Unakuta hanaga noma na mtu ila wabongo wivu ukiwa na cheo ni kawaida.
Hapana! Sio kwenye sekeseke la Lissu bwana! Akiwa Waziri wa Tamisemi, alitajwa kuhusika na uzembe kwenye report ya Prof Osro kuwa akiwa Waziri wa Madini enzi wa Jakaya aliachia mali zetu zikasepa tu hivi hivi! Ndiyo maana aliachia ngazi yeye na Prof MuhongoUnakumbuka sekeseke lalisu kula chuma nae alijiuzulu
Ila mkuu Kama sikosei hii report ikikabidhiwa na na lisu alikula chuma ila sababu ya huyu bwana kujitoa ilikuwa ndo hilo ulilolieleza hapo mkuuHapana! Sio kwenye sekeseke la Lissu bwana! Akiwa Waziri wa Tamisemi, alitajwa kuhusika na uzembe kwenye report ya Prof Osro kuwa akiwa Waziri wa Madini enzi wa Jakaya aliachia mali zetu zikasepa tu hivi hivi! Ndiyo maana aliachia ngazi yeye na Prof Muhongo