Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ni waziri aliyeshindwa kuijenga familia yake kimaadiliNI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri