George Simbachawene ni nani hasa?

George Simbachawene ni nani hasa?

Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Usimtengenezee mazingira ya kuumizwa na timu tamaa ya 2030
 
Ni kwamba hufuatilii tu lakini JPM alilisema hili la kuendesha Taxi akiwa UDSM alipokuwa akifungua Kijazi interchange mwezi February 2021.

Na alisema alikuwa akifanya hivyo kufatuta "disposable income" na kituo chake kilikuwa ni Ubungo.

Nafikiri ilikuwa ni ziara yake ya siku tatu na ya mwisho jiji Dar kabla hajafariki.
Aiseee! Okay asante! Nitakuwa sikuweza kuipata hii! Asante sana kwa ugirigimbi hu
 
Alikua kondakta kwenye mabasi ya urafiki tajiri alikua joseph chove mtu wa iringa .Dodoma hiyo miaka ya 80 mwishoni kuendea 90..
 
Waamini ushirikina ni nadra kukosa vyeo.
Umenikumbusha huyu jamaa enzi hizo kondakta... alikua mpambanaji mpaka kuukwaa ukubwa wa makondakta... akaunga unga sana kusoma hatimaye akapata digrii ya sheria open University..

Ni mshirikina mno na mtu wa kujipenyeza na kujipendekeza.
 
Miaka ya 90 mwanzoni alikuwa anasomea ufundi mchundo, Arusha Technical College...
Sawa nadhani baada ya kuachana na biashara ya mabasi akaamua kwenda shule. Jamaa kwa kifupi ni fighter sana yani ukisiki ile self-made ndo hii sasa ni mfano wa kuigwa kwa vijana wa leo.
 
Sawa nadhani baada ya kuachana na biashara ya mabasi akaamua kwenda shule. Jamaa kwa kifupi ni fighter sana yani ukisiki ile self-made ndo hii sasa ni mfano wa kuigwa kwa vijana wa leo.
Au ni baada ya kutoka college...
 
Back
Top Bottom