Ni waziri aliyeshindwa kuijenga familia yake kimaadiliNI mmoja ya mawaziri waliodumu katika Baraza la Mawaziri tangu awamu ya JK, Magufuli na sasa Mama, pamoja na panga pangua za baraza la mawaziri
Usimtengenezee mazingira ya kuumizwa na timu tamaa ya 2030Najua kama binadamu hakosi mapungufu lakini anaonekana ni mtu mtaratibu, hekima na busa nyingi mbali ya kuonekana kuwa na elimu ya kawaida.
Aiseee! Okay asante! Nitakuwa sikuweza kuipata hii! Asante sana kwa ugirigimbi huNi kwamba hufuatilii tu lakini JPM alilisema hili la kuendesha Taxi akiwa UDSM alipokuwa akifungua Kijazi interchange mwezi February 2021.
Na alisema alikuwa akifanya hivyo kufatuta "disposable income" na kituo chake kilikuwa ni Ubungo.
Nafikiri ilikuwa ni ziara yake ya siku tatu na ya mwisho jiji Dar kabla hajafariki.
Ndiyo MkuuKwa hiyo tuseme alionesha uwajibikaji?
Kukimbia ,ukifanya nae biashara yoyote uwe makini nadhani ushanielewa ana biashara ya magari makubwa uyo ( semi-trailer)Samahani Mkuu kuacha beach kwa maana ipi?
Alikua utingo huyo jamaa katoka mbali sana kwa tunaomjua.Basi katoka mbali sana, nadhani anafaa kuwa mfano namna ya kuhustle katika maisha, alipitoka na alipo sasa ni mbali sana
Umenikumbusha huyu jamaa enzi hizo kondakta... alikua mpambanaji mpaka kuukwaa ukubwa wa makondakta... akaunga unga sana kusoma hatimaye akapata digrii ya sheria open University..Waamini ushirikina ni nadra kukosa vyeo.
Miaka ya 90 mwanzoni alikuwa anasomea ufundi mchundo, Arusha Technical College...Alikua kondakta kwenye mabasi ya urafiki tajiri alikua joseph chove mtu wa iringa .Dodoma hiyo miaka ya 80 mwishoni kuendea 90..
Licha ya watu kusema ni mshirikina ila jamaa ni mfano hai wa watu wapambanaji.Miaka ya 90 mwanzoni alikuwa anasomea ufundi mchundo, Arusha Technical College...
Sawa nadhani baada ya kuachana na biashara ya mabasi akaamua kwenda shule. Jamaa kwa kifupi ni fighter sana yani ukisiki ile self-made ndo hii sasa ni mfano wa kuigwa kwa vijana wa leo.Miaka ya 90 mwanzoni alikuwa anasomea ufundi mchundo, Arusha Technical College...
Au ni baada ya kutoka college...Sawa nadhani baada ya kuachana na biashara ya mabasi akaamua kwenda shule. Jamaa kwa kifupi ni fighter sana yani ukisiki ile self-made ndo hii sasa ni mfano wa kuigwa kwa vijana wa leo.