Gerald Hando hata Wewe?

Mkuu, hao unaojibizana nao hawawezi kukuelewa hata mara moja. Yani mtu ukisoma kile ulichoandika vs kile wanachoandika unaona uwezo wa ufahamu wenu uko mbali kama mashariki na magharibi.
Na hili ndilo tatizo kubwa Mkuu wangu. Yani kuna vitu inapaswa vijibiwe tuelewe. Lakin mtu anakuambia eti tunaichukia DPW sababu ni waarabu (au waislam).

Au kama kuna mikataba mingine inayoonyesha vitu kama ukomo wa mkataba, mgawanyo wa mapato/faida, vipengele vya kuvunja mkataba basi tuambiwe pia.

Maana yake inawezekana tukawa tunapinga kumbe kilichoonekana ni makubaliano tu lakini vipengele vinavyopigiwa kelele viko kwenye mkataba mwengine.

Sio mtu unasoma Mkataba unakuta umeandikwa eti sijui MAKUBALIANO YATAKUA HAI MPAKA PALE AMBAPO SHUGHULI ZA MIRADI ZITASITISHWA, lini? Haijulikani
 
Hoja km hv tulizitegemea si kwa hando tu hata kwa waandishi nguli wa magazeti
 
Masikini hana kiapo
 
Mmhhhh,
Nilikua sijaona hii Mkuu. Kwamba mapato yote anachukua yeye? Sidhan kama hili ni kweli sababu mojawapo y sababu ya kuipigia chapuo hii kampuni ni kwamba mapato atakayotupatia yataweza ku finance budget yetu Kwa zaidi ya 40%, sasa ingekua anayachukua yote yey wasingesema hivi.
 
Kuna watu hawajawahi kufika hata bandarini na kujionea Rushwa inavyopigwa pale, tunahitaji mwekezaji ili kutengeneza mapato yatakayo leta faida kwa watanzania wote, wapo watanzania wenzetu pale TPA lkn wanakunyanyasa utafikir wewe sio binadamu, wamejenga majumba ya kifahari kwa pesa za Rushwa ya bandari, Kuna mfanyakazi mmoja Enzi za Magufuli alikutwa na pesa trion 3 za kitanzania mfanyakazi tu wa kawaida, kwangu mimi Naona tunahitaji mwekezaji lkn kwa upande wa serikali waweke mkataba wenye ukomo basi
 
Hicho cha kuongeza mapato kipo kwenye makubaliano/mkataba?
 
Mapato wanayozungumzia ni kupitia kudhibiti magendo katika ulipaji kodi, na sio ile faida ya shughuli za huduma za kibandari..
 
Kama tumeshindwa kupambana na rushwa za watu wa ndani, je kukitokea rushwa za watu wa nje tutaweza kupambana nayo?
 
NJAAAAAAAAAAAAA
 
Nafikiri tukubali kuwa majira yanabadilika jameni, hata dunia yenyewe huzunguka! Hahaa
 
Unataka Gerald Hando afanye utakavyo yakimtokea ya Azory Gwanda au Christopher Mtikila utakuwa tayari kuipa Matunzo Familia yake?

Na kwa Kukusaidia tu baada ya Kukichafua kule EFM na Kupigwa chini kwa Amri kutoka Chalinze na Magogoni alipokea Simu asizozijua huku akipigwa Biti na sasa anafuatiliwa na anaowajua na asiowajua ili akirudia tu Ukipendacho Wewe na Unachokililia hapa wenye Kazi yao Maalum wamalize Shughuli na awe Historia Kwenu na Tanzania.

Acheni kumponza Mwenzenu yamkute.
 
Awatete wakati hamjitetei? Hando pigania ugali wa wanako kiongozi. Hakuna hata mmoja utakuletea mchele, unga sembe,mchichi.
 
Mkuu kuna ufanisi gani pale bandari ya malindi?
Bandari ya Zanzibar tumeona ufanisinwa Mwekezaji mpaka Sasa. Ni zamu yenu huko Tanganyika
Mfano huu, kuna meli ina week ya tatu pale inapakua makontena, hili ndilo tatizo kubwa kwenye ufanisi unaopigiwa kelele sana.
 
Huyo unaemmwagia sifa ameshindwa vipi kuondoa urasimu, na kuweka mifumo thabiti ya kudhibiti upigaji na rushwa ili bandari yetu itunufaishe, na kwamba wageni ndio watakuja wakuboreshee bandari yako na kukuchumia faida bwerere, kwa mikataba ipi? Yuko wapi mwenye uwezo wa kushinikiza mikataba yenye win-win situation? Nchi imejaa majuha wengi kweli hii..!
 
Njaa mbaya, Esau aliuza ulaziwa wake wa kwanza kwa sababu ya njaa.
 
Wana habari wa Tanganyika asilimia kubwa sio wazalendo wametanguliza njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…