Gerezani kuna nini maana Mbowe ananawiri kila kukicha

Hakuna k _vant
 
Usikute rinda halipo tena lzm anenepe.
 
Picha ya juu nakaona kadogo S.Nyegu😁😁
Dogo nyegu ni mjinga sana...kipindi nipo moshi nilikuwa namuona club alberto..dogo alikuwa anajiona kufanya kazi ofisi ya mkuu wa wilaya kumbe ikifika usiku yeye na bosi wake wanaenda kufanya armed robbery 😁😁
 
Ana amani moyoni mwake na anatambua fika hana hatia
 
Acha dhihaka wew

Sent from my TECNO BC2c using JamiiForums mobile app
 
Nani Sukuma gang, unanijua
 
Na System wanamuogopa ndo maana wanamfanyia mazila ili kumkomoa
 
Kuna wakati nlijua ukiwa na pesa unakua na kila kituu....hadi nlipokuja kugundua pesa inakupa outer cover.... tu na kuonekana kama hiyo ila
Nothing bigger than PEACE mkuu!
Ndo hvyo mkuu
 
Inakera sana naomba waziri wa mambo ya ndani aunde tume. Mtuhumiwa ananawiri wakati mwendesha mashtaka anachoka
Haaaa kina Kingai na Mahita wamechoka hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…