Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Chato naona ndio sehemu inayochukiwa zaidi na Watanzania wengi, ila inapendwa Sana Mtanzania mmoja tu anayetaka Chato kuwe mbinguni
Sema inachukiwa na watu wa Kilimanjaro
 
Wewe umejuaje Msigwa yupo Chato, kwani kutengeneza press release lazima uwe pembeni ya Rais?
 
Ikulu Ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Raisi inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Uongo......

Ikulu ni makazi ambayo yaatajwa rasmi kuwa ni makazi ya Rais

Ndiyo maana tunaambiwa kuwa Ikulu ipo Magogogoni-Dar-es-salaam, Chamwino-Dodoma na kila makao makuu ya kila mkoa.

Je Chato ni mji mkuu wa Mkoa gani??
 
Sasa kwa nini kodi za nchi zinatumika kujenga majengo mengine ya ikulu dodoma?
Alipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
 
This is very low and very childish.
 
Nilikuwa najiuliza pia hili. .
Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge

Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!

Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli

Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa

Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao

Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje

Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…