onjwayo
JF-Expert Member
- Apr 8, 2020
- 1,356
- 1,309
This is the first time our constitution is working while showing power and authority. Thanks God
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri za Ikulu Ni tatu moja majengo ingine ofisi au combination of both inategemea tafsiri yako ukitafsiri Ikulu Kama ofisi ya Raisi ni popote anapokuwa Raisi ukitafsiri Ikulu Kama majengo Ni pale yalipo majengo ya Ikulu ukitafsiri combination ya both ofisi na majengo ni kuwa Hapo ofisi ya Raisi na majengo vyote vipo.kwa pamojaUongo......
Ikulu ni makazi ambayo yaatajwa rasmi kuwa ni makazi ya Rais
Ndiyo maana tunaambiwa kuwa Ikulu ipo Magogogoni-Dar-es-salaam, Chamwino-Dodoma na kila makao makuu ya kila mkoa.
Je Chato ni mji mkuu wa Mkoa gani??
Siasa ni mchezo wa kuigiza ambao mwanasiasa anajidai anawatumikieni kumbe anatumikia tumbo lakeSiasa haina uadui, nyie tianeni mangumi humu jf wenzenu wanagongeana glass.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawasawa kwenu lolote linawezakana sijui ile gharama iliyotumika kujenga Ikulu Dodoma yaweza kuwa matumizi mabaya ya fedha za umma kwa sababu Ikulu zmetapakaa nchi nzima sasa cjui mnatuambiaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unachotaka nini?? Ok sasa yupo Chato...WHO wamekutuma nini?Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?
Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote was miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?
Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?
Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?
Vipi kuhusu watoto nyumbani, nao si wana haki ya kupata mapenzi ya baba na Mama?
BAK, Pascal Mayalla na Mshana Jr, Salary Slip , Bia yetu, jingalao, Retired, Naombeni mnisaidie majibu
Kwa hiyo kama wameoa kwa msigwa msigwa afumbie macho uovu unaoendelea kisa tu mtu kaolewa?Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge
Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!
Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli
Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa
Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao
Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje
Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Kiongozi una akili zinazofanya kazi vizuri. Tatizo unawajibu watu wenye Stress...posho zimerejeshwaKwani we mkuu unaishi nchi gani. Mi naona mnahangaika na trivial things.
Manaonekana mnataka kuwa walimzi wa mkuu wa nchi. Kwanini msikazane kunawa mikono na masharti mengine ili kujilinda na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa mpinzani la kwanza ni kujitoa ufahamu hata kama jambo unalijua!Ikulu Ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Raisi inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Umeandika nini sasa?This is the first time our constitution is working while showing power and authority. Thanks God
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizuri comment na uielewe ndipo ujibuSi anapokea mshahara ,analipa pango!
Kwani we mkuu unaishi nchi gani. Mi naona mnahangaika na trivial things.
Manaonekana mnataka kuwa walimzi wa mkuu wa nchi. Kwanini msikazane kunawa mikono na masharti mengine ili kujilinda na Corona.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Hivi umeusoma na kuutafakari ugoro uliouandika hapa?Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge
Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!
Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli
Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa
Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao
Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje
Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Kiukweli uelewa wa baadhi ya Watanzania wenzetu ni shida..Msigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndungulile.
![]()
Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?
Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote was miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?
Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?
Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?
Dish halipo sawa chenga kama kama zote.Unamshangaa Magu wakati tuna kamanda anaongoza chama kwa Whatsapp na Youtube huko Ubelgiji?
Jimbo alilitelekeza miaka miwili wakati akizurura Marekani.
Hafanyi kazi?Anaweza kuwa huko kwa gharama za Msigwa.
Kwani Msigwa halipwi mshahara mkuu?