Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Uongo......

Ikulu ni makazi ambayo yaatajwa rasmi kuwa ni makazi ya Rais

Ndiyo maana tunaambiwa kuwa Ikulu ipo Magogogoni-Dar-es-salaam, Chamwino-Dodoma na kila makao makuu ya kila mkoa.

Je Chato ni mji mkuu wa Mkoa gani??
Tafsiri za Ikulu Ni tatu moja majengo ingine ofisi au combination of both inategemea tafsiri yako ukitafsiri Ikulu Kama ofisi ya Raisi ni popote anapokuwa Raisi ukitafsiri Ikulu Kama majengo Ni pale yalipo majengo ya Ikulu ukitafsiri combination ya both ofisi na majengo ni kuwa Hapo ofisi ya Raisi na majengo vyote vipo.kwa pamoja
 
Sawasawa kwenu lolote linawezakana sijui ile gharama iliyotumika kujenga Ikulu Dodoma yaweza kuwa matumizi mabaya ya fedha za umma kwa sababu Ikulu zmetapakaa nchi nzima sasa cjui mnatuambiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani wewe mkuu unaishi nchi gani. Mimi naona mnahangaika na trivial things.

Mnaonekana mnataka kuwa walimzi wa mkuu wa nchi. Kwanini msikazane kunawa mikono na masharti mengine ili kujilinda na Corona.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?
Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote was miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?
Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?
Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?
Vipi kuhusu watoto nyumbani, nao si wana haki ya kupata mapenzi ya baba na Mama?
BAK, Pascal Mayalla na Mshana Jr, Salary Slip , Bia yetu, jingalao, Retired, Naombeni mnisaidie majibu
Hivi unachotaka nini?? Ok sasa yupo Chato...WHO wamekutuma nini?
 
Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge

Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!

Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli

Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa

Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao

Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje

Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Kwa hiyo kama wameoa kwa msigwa msigwa afumbie macho uovu unaoendelea kisa tu mtu kaolewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani we mkuu unaishi nchi gani. Mi naona mnahangaika na trivial things.
Manaonekana mnataka kuwa walimzi wa mkuu wa nchi. Kwanini msikazane kunawa mikono na masharti mengine ili kujilinda na Corona.


Sent using Jamii Forums mobile app
Kiongozi una akili zinazofanya kazi vizuri. Tatizo unawajibu watu wenye Stress...posho zimerejeshwa
 
Kama mke wake hayupo chato unataka Nini? Watu wanaenda mission six months and over bila kusex wewe unaleta maswali ya ajabu!

Hata ungeambiwa yupo huko yawezekana ungeuliza Kama wanasex au vipi, maana yake maswali yako hayaendani na kiumbe anayeitwa mwanaume.

Upuuzi kabisa[emoji706][emoji706][emoji706]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge

Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!

Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli

Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa

Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao

Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje

Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Aisee! Hivi umeusoma na kuutafakari ugoro uliouandika hapa?
 
Msigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndungulile.


2401425_20200516_21060062162.jpg
Kiukweli uelewa wa baadhi ya Watanzania wenzetu ni shida..
Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! - JamiiForums
P
 
Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?

Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote was miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?

Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?

Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?

Anaweza kuwa huko kwa gharama za Msigwa.
Kwani Msigwa halipwi mshahara mkuu?
 
Back
Top Bottom