Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge

Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!

Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli

Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa

Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao

Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje

Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Mkuu ulikuwa na point ila dah soma tena ulichoandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
Pamoja na hilo tuamhieni kwa nini Rais amejifungia Chato kwa zaidi ya siku 50 sasa.
 
Hili wala sijapinga, nimesema tu kwa upole kabisa kuwa kumbe ni rahisi sana kuhama kutoka Dar kwenda Dodoma, why watu walikua wanashindwa miaka yote hio? Hongera sana
Hana akili ya kuweza kupata tafsiri ya maneno yako haya. Umeyaweka katika kipimo cha akili asichoweza kukielewa, uwe na huruma Elli Mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge

Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!

Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli

Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa

Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao

Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje

Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
Hebu tulia kwanza kisha usome ulichoandika. Ulimaanisha nini hasa??

Hapa hatuko kujadili watu na makabila yao wala utamaduni wao. Hata wewe hatupambani na wewe bali hoja zako japokuwa wakati mwingine unajitoa ufahamu.

Tatizo kubwa lililoko ambalo hata wewe mwenyewe hulijui na tulio wengi tunajiuliza ni kwamba Rais yuko likizo nyumbani kwao Chato au yuko ziarani kikazi huko Chato au kahamishia makazi yake kwa muda usiojulikana huko Chato??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Km unamuonea wivu mke wa msigwa kaolewe wewe!

Afu unaonekana mtu mzima una sound km kubwa jinga hivi
 
Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?

Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote wa miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?

Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?

Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?
Hivi Yule Mwenyekiti wa Manunda @ Saccos akiwa Dodoma na Arusha na nyumba ndogo mkewe anakua chumba hicho hicho na wewe unakuwa mlangoni kama mlinzi
 
Unamshangaa Magufuli wakati tuna kamanda anaongoza chama kwa Whatsapp na Youtube huko Ubelgiji?
Jimbo alilitelekeza miaka miwili wakati akizurura Marekani.
Kumbe anaongoza chama???? Vipi Lipumba anaongozaje chama? Dovutwa je?? Lyemba.....??

Ndio maana kuna kuhama vyama
 
Back
Top Bottom