Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Gerson Msigwa, Chato hakuna Ikulu

Msigwa ni msanii tu anaendana na midundo ya JIWE kumfurahisha.
Nanukuu
IMG-20200517-WA0007.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikulu Ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Raisi inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Uongo......

Ikulu ni makazi ambayo yaatajwa rasmi kuwa ni makazi ya Rais

Ndiyo maana tunaambiwa kuwa Ikulu ipo Magogogoni-Dar-es-salaam, Chamwino-Dodoma na kila makao makuu ya kila mkoa.

Je Chato ni mji mkuu wa Mkoa gani??
 
Sasa kwa nini kodi za nchi zinatumika kujenga majengo mengine ya ikulu dodoma?
Alipo Raisi na ofisi yake ipo hapo aweza idhinisha chochote au toa tamio au teua nk mentality ya kudhani ofisi ya Raisi ni jengo lililo mahali Fulani sio sahihi
 
Yeye Magufuli huko Yuko na mkewe na anapata huduma za kinyumba Kama kawaida. Vipi Msigwa huduma za kinyumba anapatia wapi, maana ana muda mrefu Sana huko, au naye mke wake Yuko huko?
Kama mke wa Msigwa Yuko huko kwa muda wote was miezi miwili, je Yuko huko kwa gharama za Nani?
Kama ni gharama za serikali je hayo ni matumizi sahihi ya fedha zetu?
Kama Msigwa huko Yuko mwenyewe je huo sio ukiukwaji wa haki za binadamu kwa kukandamiza haki ya kupata burudani kwa mama Msigwa na Msigwa mwenyewe?
Vipi kuhusu watoto nyumbani, nao si wana haki ya kupata mapenzi ya baba na Mama?
BAK, Pascal Mayalla na Mshana Jr, Salary Slip , Bia yetu, jingalao, Retired, Naombeni mnisaidie majibu
This is very low and very childish.
 
Nilikuwa najiuliza pia hili. .
Makabila mengine ndio maana umasikini umewajaa hawapendani Sasa hebu fikiria hiyo taarifa kaito Gershoni Msigwa wa Ikulu na anatoka kimoja na Msigwa mbunge

Halafu Msigwa anamkejrli Msigwa mwenzie!!

Pili Mtoto wa Magufuli kaoa kwa akina Msigwa huyo huyo mbunge hata heshima kidogo tu kwa baba mkwe wake Msigwa Hana!!! Anakejeli

Ushauri wangu watu wasioe kutoka vikabila vya ajabu Kama vya mchungaji Msigwa

Hapo yangekuwa makabila mengine Kama wachaga wasingethubutu kukebehi hivyo Kama Magufuli angekuwa mkwe wao na mkurugenzi wa Ikulu angekuwa my wa Kwao

Ukweli niseme wazi ukabila Mara ingine ingawa Tanzania tunaupiga Vita lakini mimi. Napendekeza iendelee kwa baadhi ya makabila. Kabila la Msigwa ni vizuri wawe wakioana wao kwa wao wasipandikize kizazi Cha ajabu ajabu kwenye makabila mengine. Imeniuma Sana wewe fikiria pamoja na uchungaji wake ujinga haujamtoka, heshima Hana hata mkwewe Magufuli Wala kwa ndugu yake Gershoni Msigwa.Sasa imagine hao kabila ya mchungaji Msigwa wasiona dini Hali ikoje

Kama mtu aweza dharau mkwe Rais fikiria mfano hata uwe na maendeleo gani huko kikabila Chao utadhataulika tu. Dawa waachwe wawe wanaoana wao kwa wao mbegu jinga Kama hiyo ibaki kwao
 
Back
Top Bottom