Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zamani Kila mkoa kulikua kuna Ikulu na hata wilaya piaMsigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndugulile.
![]()
Unamaanisha Msigwa akiwa Chato, cheo chake cha Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu kinapotea? Aaah jamani.Msigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndugulile.
![]()
Who told you then?Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Kwanini hawaandiki hilo neno ikulu ndogo?au nawewe unadhani lipolipo tuu?Basically kuna Ikulu(IKULU ndogo) almost kila Wilaya. He is partly right!
MBN Hawa watu Wana wivu Sana na Mh RaisHata Nyerere alikuwa akikaribisha wageni Butiama akiwa mapumzikoni na Ikulu haikuhama, Acha chuki
Magufuli sio mwizi, acha uongo. Hayo magazeti ya miaka ya zamani ambapo vyombo vya habari vilikuwa vimeanza kupoteza weledi. Magufuli amekuwa na msimamo katika kipindi chake chote cha uongozi, hayo magazeti yalikuwa yanatumiwa tu na mafisadi yenye hela kutaka kumharibia, na walishindwa kumshusha akawa Rais na ndio anapambana nayo mafisadi kwa kutumia sheria. Usirukie tu umbea na kufikiri ni ukweli acha kumchukia Rais wetu aliyethubutu kupambana na mafisadi, mabeberu waovu wanaotaka kutudidimizisha kama taifa. Ukiendelea tu kueneza uongo na kuchafua nchi yetu wewe utakuwa ni adui wa maendeleo na nchi kiujumla. Wote tuwe wamoja tusimvunje moyo Rais wetu mzalendo.Wewe ZWAZWA mzalendo HATHUBUTU kuliibia Taifa lake. View attachment 1674175
RAIS no TAASISI....sasa endelea kutokea hapoIkulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
Wewe utakuwa kibaraka wa mabeberu, fisadi usiye na aibu unajifanya unaona mbali ila ni mwizi tu, Rais Magufuli kakukomeshaHakika huoni mbali
Odhis *
The Presidential Communications Office, State House.Msigwa, hii si kweli, Chato hakuna Ikulu. Hapo ni nyumbani kwa Magufuli. Barua yako hii chini is misleading!
Anywaya, usije kulamba kikombe cha Ndugulile.
![]()
Vibaraka ni nyie mnaosifu na kuabudu kwa kila kitu. Kunikomesha ni kuondoa pumzi ya uhai, maadhal niko mzima mambo mengi nayachukulia kama challenge maishani. Na changamoto ni mambo ya kuyapa akili kaziWewe utakuwa kibaraka wa mabeberu, fisadi usiye na aibu unajifanya unaona mbali ila ni mwizi tu, Rais Magufuli kakukomesha
Umenukuu kutoka kwenye Ibara ya ngapi ?Ikulu ni ofisii ya Raisi sio jengo .ofisi ya Rais inaweza kuwa hata kwenye hema au gari au laptop
wakikujibu nifahamisheHivi Chato ipo Tanzania au Tanzania ndio ipo Chato?
Unajiona una akili lakin hauna kitu kichwani. unaandika tu mahabari ya umbea mtandaoni ambayo hayana ukweli wowote. Wewe unafikiri trilioni inaweza kuibwa tu isiwe na ushahidi mpaka leo ?
Ndege hajazuiwa mtu kukagua, hazikuweka kwanza kama mali ya ATCL ili kuzilinda juzjuzi zilitaka zizuiwe na yule mkulima tapeli na tukamshinda. Uwanja wa ndege uliidhinishwa na bunge letu na ni uwanja muhimu sana kwa kanda ya ziwa subiri na ATCL ianze kutua ndio utajiona huna akili na hujui ulisemalo.
Uchaguzi hakuna aliyeiba kura , sisi tulimpigia kura kwa kishindo, hao waliokuwa wanasema wameibiwa kura ni watu waliokuwa na uchu wa madaraka tu na wanaotumiwa na mabeberu kutaka kuiba mali za nchi yetu. Rais Magufuli sio mwizi ni mzaledo aliyebadili siasa za Afrika na dunia kiujumla, watanzania wengi tunampenda na tutaendelea kutangaza mazuri anayoyafanya kwa nchi yetu.
Hakika ni mkombozi wa nchi yetu, nashangaa unakaa tu kwenye mitandao unaandika tu umbea tena wa uongo, ilitakiwa ukamatwe uadhibiwe na mkono wa sheria mpaka akili zikukae sawa uwe na heshima kwa kiongozi wetu mkuu katika mapambano ya kuleta maendeleo nchini.