BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
- lete hivyo vifungu, screenshot tuvione tusomeSome sheria ya ukaguzi wa umma kuanzia kifungu cha 37 mpaka 40, utaona kuwa ripoti hiyo ni kwa ajili ya Bunge kufanyia kazi, Bunge ndio linatoa mapendekezo serikalini ya hatua gani zichukuliwe.
Lakini pia, kama sehemu kuna wizi unaofanyika, haijalishi kama CAG amendika au la, vyombo husika kama PCCB wanapaswa kuchukua hatua. Kwani yote ambayo PCCB wanafanya CAG huwa anayaona?
-Pccb wanafanya Kazi nyingi sana, hadi hizo za Wezi wa Ripoti ya CAG pia ni Sehemu ya Kazi zake