Gerson Msigwa: Huwezi kukurupuka kumfukuza mtu, pengine hata wakaguzi wa CAG nao ukaguzi wao una dosari

- lete hivyo vifungu, screenshot tuvione tusome
-Pccb wanafanya Kazi nyingi sana, hadi hizo za Wezi wa Ripoti ya CAG pia ni Sehemu ya Kazi zake
 
Nimewahi kushuhudia watumishi (sio wenzangu BTW) wakichukuliwa hatua hata kabla ya CAG kukagua.

Lakini pia hata baada ya kufuatia ukaguzi wa CAG.

Kuwa mtulivu utaona Ma DED wangapi wanakwenda ma maji.
 
Kwahiyo anabishana na Bosi wake Hangaya?
 
Upotevu wa fedha na Mali za watu binafsi huku mtaani tunauita wizi..na ujibiwa mahakamani,kumbe serikalini mnauita hoja na mnaujibu kwenye media... ahsante Kwa elimu hiyo.
 

Msigwa anachanganyikiwa sasa.
 
- lete hivyo vifungu, screenshot tuvione tusome
-Pccb wanafanya Kazi nyingi sana, hadi hizo za Wezi wa Ripoti ya CAG pia ni Sehemu ya Kazi zake
Ni kweli, tena wala hawahitaji kungojea ripoti ya CAG. wako huru kunusa na kuchunguza ufisadi na rushwa sehemu yoyote.

Sasa jiulize swali rahisi, nini tofauti ya uchunguzi wa PCCB na ukaguzi wa CAG?
 
- lete hivyo vifungu, screenshot tuvione tusome
-Pccb wanafanya Kazi nyingi sana, hadi hizo za Wezi wa Ripoti ya CAG pia ni Sehemu ya Kazi zake
Labda wakwapuzi wa mboga hizi rushwa ndogo ndogo.
Ukikamatwa na rushwa unatoa rushwa mambo yanaisha
 
Mkuu acha kutupanga,huoni aibu? Kwaiyo umu jukwaani wewe peke yako ndiyo una uelewa mpana wa ripoti za CAG,na sisi wengine hatujui kitu.
CAG anafuata sheria na kanuni za kazi yake zinavyomuongoza;sasa anakoseaje?
Kwani mpaka anatoa ripoti si Kuna muda maalumu ambao taasisi tajwa zenye dosari zinapewa muda wa kujibu hoja za CAG!!
 
Sio mimi tu mkuu, wengi wanaelewa ila wanatumia busara kukaa kimya. Inawezekana mimi mzalendo uchwara nimepungukiwa hekima.

It's unwise kubishana na wengi, ndio maana hata Spika aliufyata baada ya kelele kuzidi. Alikuwa sahihi lakini ukiona wengi wanasema hivi basi ni bora ukae kimya ungojee lipite.

Ndio maana nikasema Msigwa angekaa kimya tu, being correct is not always enough. No wonder serikali huwa inazuga na kungojea watu wasahau..
 
Nilipokaa muda huu Niko na DED aliyetajwa na CAG kuwa ni mwizi ana warembo wanne wanakula bata haijawahi kutokea. Ikitoka 10,000 ya bia moja hataki chenchi. Ana wapambe kama wote japo yeye amelala tu kwenye kiti udenda unamtoka.
Duuuh hii hatarii kwa kweli.
 
Ni kweli, tena wala hawahitaji kungojea ripoti ya CAG. wako huru kunusa na kuchunguza ufisadi na rushwa sehemu yoyote.

Sasa jiulize swali rahisi, nini tofauti ya uchunguzi wa PCCB na ukaguzi wa CAG?
- Pccb kazi Yao ni kuangalia Kama kuna jinai inayohusisha Rushwa, matumizi mabaya ya Ofisi nk, na kuangalia Kama kuna kosa la jinai lililo chini ya sheria Yao ya pcca
 
Msigwa ni watu wa wapi? Hili nalo boga lipo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…