Hivi Nyie wakubwa zetu mnaelewa tunachosema ...Hatuwezi kuwa na Rescue Team moja nchi yote ...ndio tunawaambia ccm na viongozi wake waigawe nchi kwny majimbo haya mandege yagawiwe kikanda ....Okay hata kama tunazo risk assessment yenyewe ingechukua si chini ya one hour. Ungekuwa unakwenda kubeba maiti na sio kuokoa watu!
Kwhy mkuu yupi ana afadhali kwenye ubongo Kati ya hao wawili😂😂Midume inahangaika kutoa ghofu ndani ya maji badala ya kuokoa uhai wa watu Kwanza...Inaonesha huna knowledge ya engineering, unawaza kama layman tu...
Mtu anayewaza kwamba ndege ile ingenyanyuliwa chap, hana tofauti na yule aliyeamua kuanza kuivuta pasipo kujua hali ya watu waliopo ndani ikoje...
Kujifunza mara ngapi??Kwa kweli kwa upande mwingine ni kama aibu kwa taifa ila wajifunze kwenye makosa nadhani itasaidia kuokoa mengine
Msingwa siyo technical personnel na hana uwezo mkubwa wa ku reason hata hivyo yeye anapokea na kutoa yale ambayo exactly ameelewa hana uwezo wa kufanya analytical thinking na kuhoji au kupata uelewa kutoka kwa information feeder wake, so ameeleza vile comma of thinking yake ilipoishia.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
It is high time the current dark politics in Tanzania is screwed up and the regime administration overhauled to offset the systematic mishaps to save treasury loss for irrelevant expenditures while areas of the nation's interests are deliberately overridden due to selfishness by a few power-clinging bigwigs thus causing the innocent citizens negligently perishing.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
Cc Pascal MayallaIt is high time the current dark politics in Tanzania is screwed up and the regime administration overhauled to offset the systematic mishaps to save treasury loss for irrelevant expenditures while areas of the nation's interests are deliberately overridden due to selfishness by a few power-clinging bigwigs thus causing the innocent citizens negligently perishing.
The idea you have spelt out is super and for the keen government it could buy a leaf to address the prevailing mess.
Usipende kutetea mambo ya hovyo Mayala.Mkuu Kamanda Asiyechoka , tufike mahali tuache kulalamika, what was done in Mwanza, its the best we could do!. Kwa taarifa yako, hizo chopa za kufanya hivyo tunazo 4, zilinunuliwa kipindi cha Mkapa kutoka Urusi na zimepaki mahali kusubiria tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa.
Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime, hivyo zingefika na kuipoa ndege with all dead inside, kwasababu ndege ilipoanguka within minutes ilianza kujaa maji na hata kama isingekuwa imetoboka, then they would have died by suffocation kwa kukosa hewa ya oksigen.
Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
Hiyo isingeweza ibeba ATR ikiwa fully na maji
Mwananchi atafikiriwa zaidi pale tu anapohitajika kutozwa kodi zisizo na hesabu wala idadi.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
Kuna watu wajinga ila nadhani wewe umezidi. Eti chopa tunazo nne na zimepaki mahali kusubiri tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa! Imagine! Kwa hiyo hiyo ajali haikuwa tukio kusudiwa? Unaelewa maana ya emergency? Kupeperusha matokeo ya sensa ndiyo matumizi sahihi? Ajali ngapi zilishatokea? Mv Bukoba, Mv Spice Islander n.k ina maana kila ajali kauli zitakuwa hizo hizo kwamba ni shamba darasa na watu wanapoteza maisha?Mkuu Kamanda Asiyechoka , tufike mahali tuache kulalamika, what was done in Mwanza, its the best we could do!. Kwa taarifa yako, hizo chopa za kufanya hivyo tunazo 4, zilinunuliwa kipindi cha Mkapa kutoka Urusi na zimepaki mahali kusubiria tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa.
Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime, hivyo zingefika na kuipoa ndege with all dead inside, kwasababu ndege ilipoanguka within minutes ilianza kujaa maji na hata kama isingekuwa imetoboka, then they would have died by suffocation kwa kukosa hewa ya oksigen.
Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
naunga mkono hoja ni wazo nzui na kwa nchi yetu linawezekana sana tatizo hatuna mikakati ya maksudi ya kutatua mataizo ya namna hiyo.wabunge wetu wanapenda starehe badala ya kusaidia wananchi.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
Huo mdege uliobebwa unaweza kulinganisha na ki ATR?.Hiyo isingeweza ibeba ATR ikiwa fully na maji
Hao walishashiba hawajali.Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?
Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.
Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.
View attachment 2411897
Hiyo isingeweza ibeba ATR ikiwa fully na maji
JF bwana yaani kwenye hiyo paragraph ya mwisho ndio nimeandika mimi lakini siwezi kusoma nilichoandika. Ila hiyo post nimekulw likes.Kwenye ajali ya ndege crane inakuja kutoa ndege tu, lakini watu wanatakiwa kuwa walishatoka kitambo m kama cabin crew walifanya kazi yao.
Kero yangu hii ni JF lakini kwenye dunia halisi ningekuwa kiongozi kwa sababu umeamua kupotosha chizi kama mleta mada ungesubiri subiri mziki wangu.
That is to say ningekuwa na madaraka legally na kwa wanasheria wao wa kuwatetea watu kama Zitto Kabwe, Maria Sarungi na Fatma Karume: wasingechomoka ningehakikisha hao watu wanaonja lupango. Don’t worry they are compromised so ni sahihi kuwatesa hasa huyu Zitto Kabwe (thenge kweli) hili jitu.