Gerson Msigwa kubali makosa. Tulipaswa kuwa na Aerial Cranes hata nne. Mnanunua mashangingi mnasahau vifaa vya kuokolea kwenye majanga

Gerson Msigwa kubali makosa. Tulipaswa kuwa na Aerial Cranes hata nne. Mnanunua mashangingi mnasahau vifaa vya kuokolea kwenye majanga

Okay hata kama tunazo risk assessment yenyewe ingechukua si chini ya one hour. Ungekuwa unakwenda kubeba maiti na sio kuokoa watu!
Hivi Nyie wakubwa zetu mnaelewa tunachosema ...Hatuwezi kuwa na Rescue Team moja nchi yote ...ndio tunawaambia ccm na viongozi wake waigawe nchi kwny majimbo haya mandege yagawiwe kikanda ....

Yaani Personels wote wa majanga kukaa Dar tu hakuna faida...

Na hata haya mamisalaba mekundu hamna kitu kabisa ,,Bora hata hizi bajaji za Msalaba za kubeba wagonjwa hospital Zina faida..
 
Inaonesha huna knowledge ya engineering, unawaza kama layman tu...

Mtu anayewaza kwamba ndege ile ingenyanyuliwa chap, hana tofauti na yule aliyeamua kuanza kuivuta pasipo kujua hali ya watu waliopo ndani ikoje...
Kwhy mkuu yupi ana afadhali kwenye ubongo Kati ya hao wawili😂😂Midume inahangaika kutoa ghofu ndani ya maji badala ya kuokoa uhai wa watu Kwanza...
 
Nimegundua humu JF wengi wasiomuelewa braza Pascal Mayalla wana akili ndogo za kushindwa kuchanganua akili kubwa ya Bro,

Uwasilishaji wake wa Hoja yaani anakupa jibu kwa njia ya fumbo ili yeye abaki salama na wewe kama unazo akili uelewe kisha ukafanyie kazi huko pembeni sio kurudi kwake tena,

Mtoa mada ulisema zinunuliwe Helcopta za Uokozi Braza Pasco akakujibu zipo tena nne ila zimepaki sehemu zikisubiri tukio kusudiwa ndio zitumike,

ukahoji kwanini hazikwenda Bukoba akakujibu ni lazima Amri itoke lakini akasisitiza lile sio tukio kusudiwa la Helcopta zile kununuliwa ama kutumika bali lina tukio lake..... Nitaishia hapo japo yapo mengi ameyaweka kiakili kubwa kiasi kwamba ukitumia mihemko kumsoma utahisi anazingua ila kuna kitu anakupa kisha wewe endelea kutafuta jibu lako zaidi,

Bro Pasco hongera sana hakika wewe ni Mwanahabari mbobevu akili ndogo haiwezi kukuelewa ila akili kubwa tunakuelewa sana.
 
Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?

Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.

Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.

View attachment 2411897
Msingwa siyo technical personnel na hana uwezo mkubwa wa ku reason hata hivyo yeye anapokea na kutoa yale ambayo exactly ameelewa hana uwezo wa kufanya analytical thinking na kuhoji au kupata uelewa kutoka kwa information feeder wake, so ameeleza vile comma of thinking yake ilipoishia.
 
Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?

Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.

Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.

View attachment 2411897
It is high time the current dark politics in Tanzania is screwed up and the regime administration overhauled to offset the systematic mishaps to save treasury loss for irrelevant expenditures while areas of the nation's interests are deliberately overridden due to selfishness by a few power-clinging bigwigs thus causing the innocent citizens negligently perishing.

The idea you have spelt out is super and for the keen government it could buy a leaf to address the prevailing mess.
 
It is high time the current dark politics in Tanzania is screwed up and the regime administration overhauled to offset the systematic mishaps to save treasury loss for irrelevant expenditures while areas of the nation's interests are deliberately overridden due to selfishness by a few power-clinging bigwigs thus causing the innocent citizens negligently perishing.

The idea you have spelt out is super and for the keen government it could buy a leaf to address the prevailing mess.
Cc Pascal Mayalla
 
Mkuu Kamanda Asiyechoka , tufike mahali tuache kulalamika, what was done in Mwanza, its the best we could do!. Kwa taarifa yako, hizo chopa za kufanya hivyo tunazo 4, zilinunuliwa kipindi cha Mkapa kutoka Urusi na zimepaki mahali kusubiria tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa.

Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime, hivyo zingefika na kuipoa ndege with all dead inside, kwasababu ndege ilipoanguka within minutes ilianza kujaa maji na hata kama isingekuwa imetoboka, then they would have died by suffocation kwa kukosa hewa ya oksigen.

Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
Usipende kutetea mambo ya hovyo Mayala.
 
Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?

Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.

Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.

View attachment 2411897
Mwananchi atafikiriwa zaidi pale tu anapohitajika kutozwa kodi zisizo na hesabu wala idadi.
 
Mkuu Kamanda Asiyechoka , tufike mahali tuache kulalamika, what was done in Mwanza, its the best we could do!. Kwa taarifa yako, hizo chopa za kufanya hivyo tunazo 4, zilinunuliwa kipindi cha Mkapa kutoka Urusi na zimepaki mahali kusubiria tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa.

Kwa vile ile ni ajali, time taken toka zilipo hadi aneo la tukio ni more than 30 min flytime, hivyo zingefika na kuipoa ndege with all dead inside, kwasababu ndege ilipoanguka within minutes ilianza kujaa maji na hata kama isingekuwa imetoboka, then they would have died by suffocation kwa kukosa hewa ya oksigen.

Maadam tukio limetokea, kwa ajali na dharura, hilo sasa ndio shamba darasa letu kuwa more well disaster preparedness tutajiandaa kikamilìfu for next time.
Tupunguze kulalamika, tuwe more appreciative kwa kilichofanyika!.
P
Kuna watu wajinga ila nadhani wewe umezidi. Eti chopa tunazo nne na zimepaki mahali kusubiri tukio kusudiwa kwa matumizi kusudiwa! Imagine! Kwa hiyo hiyo ajali haikuwa tukio kusudiwa? Unaelewa maana ya emergency? Kupeperusha matokeo ya sensa ndiyo matumizi sahihi? Ajali ngapi zilishatokea? Mv Bukoba, Mv Spice Islander n.k ina maana kila ajali kauli zitakuwa hizo hizo kwamba ni shamba darasa na watu wanapoteza maisha?
 
Unapiga porojo kuwa tuna helikopta za usaifiri tu. Kwani nini msiwe na kunyanyulia mizigo?

Pesa zipo lakini mnaelekeza kwenye mashangingi na ufisadi tu.

Kama tungekuwa na aerial cranes hata nne. Moja kanda ya ziwa, nyingine kusini, kaskazini na pwani ndungu zetu tungewaokoa.

View attachment 2411897
naunga mkono hoja ni wazo nzui na kwa nchi yetu linawezekana sana tatizo hatuna mikakati ya maksudi ya kutatua mataizo ya namna hiyo.wabunge wetu wanapenda starehe badala ya kusaidia wananchi.
 
[mention]HIMARS [/mention]
IMG_0869.jpg

IMG_0868.jpg

Ona mfano wa watu wanaotumia akili ndio uongee hapo kuna container 20ft na kuna kifaru na vyote vinakua lifted vizuri kabisa
 
Hizo zinatakiwa zipatikane kama sita kwa tahadhari, moja Zanzibar, moja ukanda wa kuanzia Tanga hadi mtwara, nyingine ziwa tanganyika, nyingine ziwa Victoria, na nyingine ziwa nyasa kwa tahadhari na ziwe standby muda wote na ziwe chini ya jeshi,
 
Kwenye ajali ya ndege crane inakuja kutoa ndege tu, lakini watu wanatakiwa kuwa walishatoka kitambo m kama cabin crew walifanya kazi yao.

Kero yangu hii ni JF lakini kwenye dunia halisi ningekuwa kiongozi kwa sababu umeamua kupotosha chizi kama mleta mada ungesubiri subiri mziki wangu.

That is to say ningekuwa na madaraka legally na kwa wanasheria wao wa kuwatetea watu kama Zitto Kabwe, Maria Sarungi na Fatma Karume: wasingechomoka ningehakikisha hao watu wanaonja lupango. Don’t worry they are compromised so ni sahihi kuwatesa hasa huyu Zitto Kabwe (thenge kweli) hili jitu.
JF bwana yaani kwenye hiyo paragraph ya mwisho ndio nimeandika mimi lakini siwezi kusoma nilichoandika. Ila hiyo post nimekulw likes.

Kasheshe naweza kuona post nikajaribu kuwa very analytical, trying to give a view point halafu kwenye hiyo post sipati ata like salaleh.
 
Back
Top Bottom