Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,168
- 10,810
Waambie hao wanaoshangiliaDawa ni katiba mpya tu haya maccm linapokuja swala la maslahi hua yanakua kitu kimoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waambie hao wanaoshangiliaDawa ni katiba mpya tu haya maccm linapokuja swala la maslahi hua yanakua kitu kimoja
Haya sasa wale wa hassa abbas afukiswe kazi.UFAFANUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.
Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali
Wanachadema muwe na subiraUFAFANUZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, ameelekeza Televisheni za Mtandaoni (Online TV) tu ndio zifunguliwe na SIO vyombo vya habari vingine yakiwemo magazeti vilivyofungiwa kwa mujibu wa Sheria.
Gerson Msigwa
Msemaji Mkuu wa Serikali
Hayasomwi tena? Si mlimshikia bango abbas afukuzwe kazi au ishu sio magazeti bali ni abbas?Sawa. Kwanza magazeti hayasomwi na watu humo humo online TV tutakutana na MATAGA.
Magazeti lisening skills zero .Raisi alitamks kabisa TV za mitandaoni wao hilo la magazeti walilitoa wapi? nenda youtube hotuba nzima ya Raisi imo alitaja online Tv tuKwahio waliomsikia ni Msigwa na Abbas peke yao? Magazeti yote leo Tanzania yameripoti tofauti na Abas na huyu Msigwa. Wallah CCM ni ile ile
Ni kitu gani unachokitaka ktk katiba mpya ambacho sasa hakipo?Dawa ni katiba mpya tu haya maccm linapokuja swala la maslahi hua yanakua kitu kimoja
Alisema kabisa tv mikononi, sasa watu hapa wanafai ni magazeti...Magazeti lisening skills zero .Raisi alitamks kabisa TV za mitandaoni wao hilo la magazeti walilitoa wapi? nenda youtube hotuba nzima ya Raisi imo alitaja online Tv tu