The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Nenda kalime Ili upate ka Bei ya chini..Vyakula vimepanda bei.
Nafaka zinauzwa nje ya nchi na kusababisha maisha kuwa ghali
Maisha yamekuwa ghali.
Tozo za kila namna zinaumiza wananchi wa chini.
Sasa unaleta porojo!
👇
View attachment 2323732
Tozo zipi hizo zinazoumiza wananchi?
Nyie si ndio mlisema haina maana watu kuongezewa 20,000 kwenye salary sasa kuna tozo zipi zinazozidi 20,000?