Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Channel ya tv Kwa ajili ya sisi ni wazalendo ,watangazaji wawe akina Benny mwanantala na jamaa yake yule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko namm nije [emoji848][emoji2955]nchi ishakuwa ngumu hiimwakani mda kama huu nitakuwa nakomenti nikiwa nchi ya mbali sana maana nimechoka kusikia non-sense kama izi
Kirefu cha TBC ni mini?TBC ni ya taifa
Channel ten ne ya CCM
Hii mpya ni ya serikali
Ina maana TBC hairushi mambo ya msingi ya serikali? jamani hii sio sawa? au anamaanisha mkurugenzi hafai?Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Source: Clouds tv
wanatengeneza ajira kwa vijana wao!!Hii nchi ni ngumu sana kuielewa!!yaani Tv ya taifa ipo na ndio mpiga debe mkuu wa serikali, kuna chaneli ten, mpiga debe wa chama, zote hizo hazitoshi?!!sasa kama ni hivyo kwanini wasiifanye TBC 2, ndio iwe na majukumu hayo?!!
Nisaidie tofauti ya Taifa na Serikali.TBC ni ya taifa
Channel ten ne ya CCM
Hii mpya ni ya serikali
Mbona ccm na siri-kali yake tayari wanazo tv, yaani:Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Source: Clouds tv
Serikali ya kijinga kabisa..Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Source: Clouds tv
Kwa hilo sawa, lakini tusiongopeane kwa jingine!!na huyu mama asipokuwa makini kila mtu sasa anatengeneza chaka lake!!!wanatengeneza ajira kwa vijana wao!!
Taifa ni nchi na watu wakeNisaidie tofauti ya Taifa na Serikali.
TBC ni ya CCM au Binafsi [emoji1][emoji1] shikamoo serikali mkitoka apo mkaongeze tozo[emoji1][emoji1]
Wameanzisha tv ya Safari, haina ubunifu kila siku inaonyesha ile zoo ya Chato-Burigi.Tbc tu siiingalii ndio utakuwa huo upuuz mpya?!
Vp lile somo la historia ya tanzania ?
Mkuu tbc ni 3mpumbavu sana huyu jamaa. machaneli mangapi wanayo?
tbc mbili. chanel ten .. yaani haya majamaa yashajiona nchi ni ya kwao..
Kwani kwa sasa TBC2 ni ya chama gani? Kwa nini igawiwe kwa CDM?Bwashee umekasirika sana.
Labda TBC 2 watawagawia Chadema!