Gerson Msigwa: Tuko mbioni kuanzisha Televisheni ya Serikali itakayorusha Habari za Maendeleo tu

Gerson Msigwa: Tuko mbioni kuanzisha Televisheni ya Serikali itakayorusha Habari za Maendeleo tu

Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Kumbe TBC ya CCM si ya Taifa
 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Labda youtube TV, ila vinginevyo watumie TBC
 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Haitasaidia chochote kuinua uchumi wa mtu mmoja mmoja nimebuni namna ya kuchambua kitakacho tokea mbeleni kwenye ujasiriamali ili kuweza kujipanga. mfanya biashara asipate madhara makubwa kwenye biashara uchambuzi ambao pia taasisi na serikali unatakiwa utumike IPYANA analysis.by Ipyana Benny Haraba. 'Ipyana Analysis will help detect internal and external critical determinants of uncertainty in business, to be unveiled in my book after getting a patent
 
Upotevu wa fedha tu.

Hizo gharama za uanzishwaji na uendeshaji ni bora wangezitumia kufanya maendeleo mengineyo

5a4ca4fda.jpg
 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Naona kila anayejua kusema serikalini anataka kuwa na tv stesheni yake mfukoni
 
Kwani TBC na CHANEL TEN huwa hawarushi mambo ya msingi? Msigwa hiyo bajeti yakuanzisha Televisheni ingepelekwa kwenye maendeleo moja kwa moja.
TBC, CHANEL TEN, SAFARI TV zote hizo wamekosa nafasi, ujinga mtupu
 
Childish, huyu Msigwa na Msiba hawana tofauti
 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Wanataka kuinusuru TBC? maana TBC ni ya umma sio ya serikali wala ccm

Ila napingana naye maendeleo ya nchi hayatangazwi yanajitangaza yenyewe jamaa ni hopeless.

Na anapoteza bure pesa za umma
 
Hii nchi ni ngumu sana kuielewa!!yaani Tv ya taifa ipo na ndio mpiga debe mkuu wa serikali, kuna chaneli ten, mpiga debe wa chama, zote hizo hazitoshi?!!sasa kama ni hivyo kwanini wasiifanye TBC 2, ndio iwe na majukumu hayo?!!
Hayo maswali uliyouliza hata mimi nimejiuliza sana na sijapata majibu mpaka sasa na sidhani kama nitayapata.
 
maendeleo ya nchi hayatangazwi yanajitangaza yenyewe
Brilliant!!!

Tulimwambia akiwa na Mwendazake, waache kumonopolize TBC hakuelewa, sasa amenyang'anywa nafasi ya kuandika habari za Rais anatafuta kuwa na TV ya kusambazia upuuzi wake kwa pesa za umma
 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Hii nchi ina viongozi wajinga sn
 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.

Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.

Chanzo: Clouds tv
Hiyi TV imefariki hata kabla ya kuanza.
Sijui wanategemea wateja na watazamaji gani.
 
Back
Top Bottom