Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Serikali ya CCM!! yale yale tuTBC ni ya taifa
Channel ten ne ya CCM
Hii mpya ni ya serikali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ya CCM!! yale yale tuTBC ni ya taifa
Channel ten ne ya CCM
Hii mpya ni ya serikali
Ni kama walikopeshwa akiliHii nchi ina viongozi wajinga sn
Waanzishe kipindi hicho ndani ya TBC otherwise is a wastage of scarce resources...Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Chanzo: Clouds tv
Habari za maendeleo ndio zipi? Kwa sasa zinarushwa kwa asilimia ngapi TBC?Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Chanzo: Clouds tv
Kinyume cha "mambo ya msingi" ni mambo ya hovyo!Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Chanzo: Clouds tv
Hiyo tiivii mtaingalia wenyewe.Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Chanzo: Clouds tv
TBC bado hamjaweza kuiboresha ki fani achilia mbali maudhui. Sasa mnakuja na nyingine tena. Sana sana mnatafuta njia ya kuhalalisha na kuongeza kodi ya mshikamano tu kwa raia.Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa amesema wizara ya habari iko mbioni kuanzisha Television ya serikali itayorusha mambo ya maendeleo yanayofanywa na serikali.
Television hiyo itakuwa tofauti kabisa na TBC kwani itarusha mambo ya msingi ya serikali amesema Msigwa.
Chanzo: Clouds tv