Sory..ila akina dada wengi wamepotea kwenye thread hii...hawatupi experience yaoIna maana mi mkaka
Hapa nimekuelewa sasaSory..ila akina dada wengi wamepotea kwenye thread hii...hawatupi experience yao
Siunajua mwanamke akisema kapita huko ataitwa malaya, mwanaume yeye rijali lolSory..ila akina dada wengi wamepotea kwenye thread hii...hawatupi experience yao
Hahhaah na walikuwa wanakufahamu?? Pole sanaSikurudi kaka nilirudi usiku wa tukio baada ya kupigiwa simu na muhudum kwenda kuangalia madhara niliyosababisha nanilikubali kuifanya hiyo kazi kesho yake but sikurudi baada ya kutangaziwa kiyama na mwenye mtoto,alikuwa mtoto wa jirani yetu mwanajeshi.nasikia walikuja watano wakiwa wamevaa gwanda walitaka wakanipoteze na mabibo kwenyewe nilihama sikurudi nilienda baada ya miaka mitatu.
Sory..ila akina dada wengi wamepotea kwenye thread hii...hawatupi experience yao
Hahahaha no commentHalafu mara nyingi madada hata hawajui majina, yeye anapelekwa tu tena hata kuangaliana na mhudumu hataki.
Mwanaume unakuwa umesharekebisha kila kitu yeye anaelekea chumbani tu.
Hahahaha no comment
Kwani kuzijua kuna shida bana,labda mzururaji tu ndo maana kazjua ila hajaingiaNilishawahi kuachana na mdada mmoja kwa sababu anajua gest nyingi hapa Dar, mpaka Machi Machi anazijua zaidi ya nne na location zake.
Kwani kuzijua kuna shida bana,labda mzururaji tu ndo maana kazjua ila hajaingia
Sasa we ulitaka umpeleke ya bei rahisiHa! Mtu anakuchagulia kabisa gest gani nzuri mwende!
Sasa we ulitaka umpeleke ya bei rahisi
HahahahaHata kama unazijua nyingi taja chache tu, kama tatu tu. Ila ukishataja zaidi ya 15 hapo panakatisha tamaa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] 15+ ni bwana afya au ?
Nilishawahi kuachana na mdada mmoja kwa sababu anajua gest nyingi hapa Dar, mpaka Machi Machi anazijua zaidi ya nne na location zake.