Lelo gesti houseTuacheni maskhara asilimia 80 ya wana JF waliopo Dar hawakosi kufahamu si chini ya gesti 10(nyingine bubu) zilizopo dar na viunga vyake...wengine ni wateja mahiri na wengine wanajua vituko vyake
Tuwe wakweli kama unafahamu chache hebu tutajie. ..naanza mimi za kinondoni
Sisimizi
Sisimko
Royal
Peace
Bakule
Serengeti
Nknk
Kila moja ina sifa zake nyingine ni wake za watu nyingine wanafunzi nyingine mahousegirl na wauza matunda nyingine mashoga nyingine mashoga mummy
Kiukweli yanayofanyika chini ya paa za hizi nyumba milango ikiwa imefungwa na feni zinazunguka Mungu pekee na shetani na wahusika ndio wajuao vema...ukibahatika kupata simulizi zake unaweza kufa kwa kihoroSawa mkuu, kuna wengine jatipati muda wa kuzungukia maeneo kama hayo kwa sababu ya majukumu ya kutafuta mkate. Anyway kutokufahamu ni kitu kizuri zaidi.
Hiyo itakua nzuri sana mkuu Mabanker wanajua kitu kinaitwa duty of secrecy sasa napata imani na receptionist mlokole aweza kutunza siri!Vipi mkuu..unataka kwenda?
Grand Lodge mwengeTuacheni maskhara asilimia 80 ya wana JF waliopo Dar hawakosi kufahamu si chini ya gesti 10(nyingine bubu) zilizopo dar na viunga vyake...wengine ni wateja mahiri na wengine wanajua vituko vyake
Tuwe wakweli kama unafahamu chache hebu tutajie. ..naanza mimi za kinondoni
Sisimizi
Sisimko
Royal
Peace
Bakule
Serengeti
Nknk
Kila moja ina sifa zake nyingine ni wake za watu nyingine wanafunzi nyingine mahousegirl na wauza matunda nyingine mashoga nyingine mashoga mummy
KudadekiNgoja tu nipoze kiu yako View attachment 320194View attachment 320195View attachment 320196picha nyingine hazifai
Kidirisha kilikuwa sehem ambayo kwa juu pana tank la maji,sasa maji yakijaa yanamwagika nadhan yalikuwa yanalainisha ukuta na ukuta wenyewe ulikuwa umechoka choka sasa lilipotokea la kutokea faster nikapata akili chumbani mlikuwa na kistuli nikakivunja nikachukua mguu wake,nikachokonoa mara kidirisha kikatingishika...nikaongeza lile tundu nikachomoka,mkuu mshana Jr mpaka leo sijawahi kujua namna nilivyopita pale kwani baadae nilijapigiwa simu na muhudum kwenda kuangalia,kidogo ningekataa kuwa mimi nilipita pale.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapa nilipo nitaishia kuonekana chizi kwa kucheka sasa vile vidirisha ulitokaje???
PARIS IKO LINDI , Bila ya cheti cha ndoa haurusiwi kuingia na mwanamkeKamwala
Rose inn
Grewn light
Za kimara
Graceland karibu na mabibo hostel
daah hii naikubal sn....chumba changu arsenal kila cku....au madridEmirates, savanna, funny city,
mpk wahudumu wameshanikariri....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]