Get Rich or Die Tryin: Niliyoyapitia katika ukuaji wangu

Chai
 
Ndio Kuna Uzi wangu niliwahi kupost wa Sitosahau Wema alionitendea Mungu Mimi nilifika point ya Mwishohuna kazi +stress za mapenzi nikamuomba Mungu Aniue au aniondolee Matatizo [emoji16]ni ndani ya Usiku mmoja niliamka usiku nikalia sana Kwa kuomboleza kukuuuu sijawahi jiachia nikalia Kwa uchungu mbele za Mungu ....naona Mungu mwenyewe Machozi yalimlenga lenga[emoji1][emoji1]Asubuhi jicho likiwa limevimba nikapokea simu Moja ikabadili Kila kitu.....Sasa kwenye comments mtu anakuandikia Kwamba ni chai......yaani unabami unashangaaa uandike chai Ili iweje chai yenyewe hujadanganya una Range Sport[emoji854][emoji16]hahaaaaa....tuheshimu muda wa mtu kujitolea kuandika....na kama ni chai acha usisome.....nyuzi ni nyingi mno [emoji120]
 
Thank u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…