Get Rich or Die Tryin: Niliyoyapitia katika ukuaji wangu

Get Rich or Die Tryin: Niliyoyapitia katika ukuaji wangu

SEHEMU YA KUMI:=......
Basi hali kwangu ikawa mbaya kinoma,nikawa sina chochote zaidi ya pumzi ya mwenyenzi MUNGU,watu walijua huyu tutamzika kesho,ilifika point of no return back ndugu msomaji.
Usione machizi na vichaa mtaani ukawacheka na kuwadharau hakuna kitu kibaya kama depression hii kitu ndo inauwa watu siku hizi,mtu akiwa na depression kujiua ni fasta sana.

Nilishawahi jaribu kujiua mara 4 lakini ikashindikana,nilishameza valium vidongo 14 nakunywa chupa 4 za banana ili nife lakini nilikuja kuhamka baada ya siku 3,nilishawahi kujinyonga lakini kamba zikawa zinakatika,MUNGU muache aitwe MUNGU 🙏🙏🙏🙏 Kama watu hawamuamini waache na roho zao.

Nilikuwa mtumiaji mbaya wa valium,mwili ulikuwa chaka la shetani,hakuna kitu kibaya kama kuji katia tamaa.

Basi maisha ya kawa hayana thamani kwangu zaidi ya kufa tu.
Kuna siku nimekaa mto sanawary ndo nilikuwa naoga huko maana nyumbani nilikimbia,kuna mawazo yakanijia kipondi nikiwa mtoto nishawahi kuwasikia watu wakisema kuwa ela za madini hazidumu zina majini,basi nikajua chochote nilichokipata kwa madini kimeteketea aisee nililia kinyama.

Nikaoga na kufua nguo zangu vinzuri,ili kuwa siku ya j4,kuna wazo lika nijia la kuenda redio safina,sijawahi kwenda ila nikasema lazima nifike kweli nikatembea kwa miguu kwanzia ilboru mpaka mbauda mahali redio safina ilipo.
Sikuwa na nauli hata Mia,ikanibidi nipige kwata..

Nilifika safina nimechoka hatari pia nasikia nnjaa la kufa tu,kuna wa mama. Iliwakuta wanauza ndizi pale nnjee nikawaomba hata ndizi moja,waliponiona hali yangu ilivyo vibaya wakanipa ndizi 4..

Nilikula zile nikashushia na maji ya bomba..

Itaendeleeeeea.
 
Natumaini wote wazima humu,japo changamoto zipo ila tunatakiwa tukomaye nazo maana haina jinsi:

Hizo changamoto tumeumbiwa sisi binadamu,hata uende wapi zipo pale zinakusubiri.

Nimependezewa niwaletee niliyoyapitia katika ukuaji wangu mpaka nilipofikisha 20s,najua utajifunza moja au lingine.

Mangi shangali..
ARUSHA,TANZANIA.

YAFUATAYO YANAFURAHISHA..

UTANGULIZI:-
NIlizaliwa katika hospital ya mount meru iliyopo katika jiji la arusha.kipindi hicho baba alikuwa anafanya kazi katika benki ya nbc,mama alikuwa mfanya biashara soko kuu arusha kipindi hicho soko lilikuwa linaitwa soko la bondeni kitambo hicho..

Katika ukuaji wangu na story nilizopewa na wazazi wangu pamoja na ndugu zangu waliokuwa nami nilipokuwa mtoto.

Mama anasema nilikuwa mtundu sana tena ujeuri,nilipokuwa na miaka 4 nilikuwa najifungia kwenye friji,kwa watu wanajua yale mafriji ya zamani yalikuwa makubwa sana sasa nilikuwa naingia ndani,nakujifungia humo mama ananitafuta kumbe nipo ndani ilikuwa tafurani sana.

Mama anasema nilikuwa nashika kiwembe najikata mwenyewe mkononi na hata sitoi chozi,nilikuwa na matukio ya hatari kuna siku nilichomeka pasi mkutani nikipigwa na shoti nikazimia kwa masaa 6 watu walijua nimekufa.

Tulikuwa na mtindo wa kudandia gari kwa nyuma, lilechuma lakupanda lilikuwa limeoza kuwa kutu silikakatika bana niliburuzwa mpaka ngozi kwenye tumbo zikatoka.

Aisee ngoja nifupishe maana nilikuwa na matukio ya hatari sana ambayo kama sio kudra za mwenyenzi MUNGU nisingekuwa hai leo hii..

Nilipofikisha umri wa kwenda darasa la kwanza nilijiunga katika shule ya sanawary iliyepo arusha,nilisoma vinzuri mpaka kufika darasa la 4 ndio tatizo lilianza maana nilikuwa ujeuri shuleni na mkorofi,wanafunzi niliyesoma nao kipindi hicho walipata joto ya jiwe maana nilikuwa sionewi ovyo,nilikuwa napigana na walionizidi darasa tena la saba.

Shule tulikuwa na tabia ya kupigana
Tunaenda mtoni huko hakuna watu,natafutiwa mbabe wanaomuona ubabe wao natembeza kichapo heavy nikawa naogopeka shule nzima mpaka vijana wa darasa la Saba waliniwazia maana nishawatandika wababe wao .walimu walipata tabu nilipogoma kusoma hakuna mwalimu alithubutu kunichapa nilipochelewa namba na usafi sikupe ratiba yeyote ya usafi darasani.

Niliingia shule mda walimu wanaingia tena mikono mfukoni,nilikuwa mkorofi ila darasani sikuwahi kushuka chini ya mtu wa 5,matokeo ya mitihani nilifanya vyema.

Itaendeleea...
Chai
 
SEHEMU YA 6:=.....
INAENDELEEEEA...
Basi tukanywa na kuvuta bangi mpaka saa 3 asubuhi tumelewa kinyama,brother Fred akasema kasha wasiliana na broker mmoja tuende tukauze jiwe.

Tukafika officine kwa broker kwa jina anaitwa laizer,tukaaza kubagain bei ya jiwe jamaa akatupa million 65 aisee kipindi hicho cha 2005 pesa hiyo ilikuwa kubwa mnoo asikuambie mtu.

Mzigo akakabidhiwa kaka Fred,moja kwa moja safari kuelekea maghetoni kufika tu ndani kaka Fred akasema dogo tunakusikiza wewe pesa zako hizi hapa amua utazifanya nini..

Nilawaambiwa hapa ni pasu pasu basi pesa zikagawanywa kwa watu wa4,wao watatu wakachukua million 15 kila mmoja mimi ndo wakanipa million 20.

Kwa mara ya kwanza nashika million 20 tena nikiwa na miaka 21,toka utoto wangu sijawahi kushika hata 10000 ya kwangu nilijiona nina bonge la bahati.

Ilikuwa siku ya j5 asubuhi wote wa 4 tukadandia bike tukiwa na ulanga mwilini..

Tulifika chugah saa 7 mchana, mama nikampa 1million dingi nikamkabidhi 3 million nikabakiwa million 17 hivi.

Nikaenda kisongo nikanunua heka 20 za shamba kwa million 7..
Nikabakiwa na million 10, kwetu sisi kila kijana anapewa eneo lake dingi alinipaga room 4 zilikuwaga za udongo, wapangaji nikawapa notice wahame zile room 4 nikajenga za matofali.
Katika matumizi yangu ya ujenzi nilitumia million 6 mpaka nyumba kuisha hiyo nazungumzia 2005.cement ilikuwa inauzwa 5500, bati linauzwa 6000 tofali moja lilikuwa linauzwa 500.

Basi nikabakiwa na million 4, nikatoa million 1 nikanunua vitu vya ndani kitanda, makochi, tv la chogo,friji na mazaga mazaga mengine kipindi kile ukinunua tv hesima mtaani..

Katika matumizi yangu yote niliyofanya nikabakiwa na million 1.5.
Kwakuwa nilipendaga kupendeza kwa pamba nikazama soko la kilombero kipindi kile lile soko la mwanzo lipo, sasa hivi wamefanya stend ya daladala.

ITAENDELEA........
Chai
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA:=...
BAADA YA KULA ZILE NDIZI NA KUNYWA MAJI NILIJIKONGOJA MPAKA NDANI,KUNA MAMA ALINIFUATA AKANIULIZA UNASHIDA GANI??
NIKAMUAMBIA NAMTAKA MCHUNGAJI TUU,
MAMA AKAENDA OFFICINE NAKUMUITA MCHUNGAJI,BAADA YA KUJA NIKAMUELEZEA MATATIZO YANGU YOTE.

MCHUNGAJI AKANIOMBEA AISEE NILITAPIKA VITU VYA AJABU SANA,VEUSI KAMA MKAA,BAADA YA KUTAPIKA VILE VITU FAHAMU IKANIRUDIA YA UBINADAMU TENA.

MCHUNGAJI AKANIPA BIBLIA NA NAULI YA KURUDI HOME,HUWEZI KUAMINI NILIRUDI ZANGU KWETU AMBAPO NILIKIMBIA ZAIDI YA MIAKA 2,MAMA ALIFURAHI SANA KUNIONA MARA ALISHANIKATIA TAMAA YA KUNIONA TENA.

WAKAJA NDUGU NA MAJIRANI WAKARIBU KUNIPA POLE,AISEE KUMBE VILE VITU NILIVYOTAPIKA KANISANI NILILISHWA NA WACHAWI NDIVYO VILIVYOHARIBU MAISHA YANGU..

HIYO ILIKUWA 2018..
HUYU MUNGU MUACHE HAITWE MUNGU TUU
DAIMA NITAMUABUDU YEYE PEKEE YAKE..

BASI NIKAANZA MWANZO MPYA KAMA NDO NIMETOKA KUZALIWA,HUWEZI AMINI NIKATAFUTWA NA MSHIKAJI WANGU ANAYEFANYA KAZI YA KUPANDISHA WAZUNGU MLIMA KILIMANJARO,AKANIAMBIA KUNA KAZI YA TOUR GUIDE YA MLIMA KILIMANJARO ,AKANIAMBIA ANANIPA MIEZI KADHAA YA KURUDISHA AFYA TENA..

BASI NIKAANZA KULA NA KUFANYA MAZOEZI
ILIFANYA MAZOEZI KAMA CHAKULA,BAADA YA WEEK KADHAA AFYA IKAANZA KURUDI,NIKAENDA KWA BIBI NGARAMTONI KUKAA HUKO AKAWA ANANIPIKIA LOSHOROO NA VYAKULA VYA ASILI NILIKAA KULE KWA MWENZI 1 HIVI.

AISEE AFYA IKARUDI KAMA MWANZO TENA NIKAPENDEZA MFANO HAKUNA..
JAMAA AKANIPA KAZI YA KUWA GUIDE MLIMA KILIMANJARO,KAZI ZIKAWA NYINGI SANA TIPS KIBAO PESA IKAANZA KUINGIA TENA.

NIKASIMAMISHA ROOM ZANGU 2 CHAPU,WIFE NIKAMRUDISHA NYUMBANI NA WATOTO WATU HAWAKUAMINI KAMA NI MIMI MAANA NIMEPENDEZA KIFUA KIMETANUKA MISULI KAMA YOTE YANI NIKAWA HANDSOME WA MAANA.

MUNGU AKANIPA JAMBO KUBWA SANA..
UNATAKA KUJUA NI JAMBO GANII???

ITAENDELEEEA......
 
SEHEMU YA KUMI NA MOJA:=...
BAADA YA KULA ZILE NDIZI NA KUNYWA MAJI NILIJIKONGOJA MPAKA NDANI,KUNA MAMA ALINIFUATA AKANIULIZA UNASHIDA GANI??
NIKAMUAMBIA NAMTAKA MCHUNGAJI TUU,
MAMA AKAENDA OFFICINE NAKUMUITA MCHUNGAJI,BAADA YA KUJA NIKAMUELEZEA MATATIZO YANGU YOTE.

MCHUNGAJI AKANIOMBEA AISEE NILITAPIKA VITU VYA AJABU SANA,VEUSI KAMA MKAA,BAADA YA KUTAPIKA VILE VITU FAHAMU IKANIRUDIA YA UBINADAMU TENA.

MCHUNGAJI AKANIPA BIBLIA NA NAULI YA KURUDI HOME,HUWEZI KUAMINI NILIRUDI ZANGU KWETU AMBAPO NILIKIMBIA ZAIDI YA MIAKA 2,MAMA ALIFURAHI SANA KUNIONA MARA ALISHANIKATIA TAMAA YA KUNIONA TENA.

WAKAJA NDUGU NA MAJIRANI WAKARIBU KUNIPA POLE,AISEE KUMBE VILE VITU NILIVYOTAPIKA KANISANI NILILISHWA NA WACHAWI NDIVYO VILIVYOHARIBU MAISHA YANGU..

HIYO ILIKUWA 2018..
HUYU MUNGU MUACHE HAITWE MUNGU TUU
DAIMA NITAMUABUDU YEYE PEKEE YAKE..

BASI NIKAANZA MWANZO MPYA KAMA NDO NIMETOKA KUZALIWA,HUWEZI AMINI NIKATAFUTWA NA MSHIKAJI WANGU ANAYEFANYA KAZI YA KUPANDISHA WAZUNGU MLIMA KILIMANJARO,AKANIAMBIA KUNA KAZI YA TOUR GUIDE YA MLIMA KILIMANJARO ,AKANIAMBIA ANANIPA MIEZI KADHAA YA KURUDISHA AFYA TENA..

BASI NIKAANZA KULA NA KUFANYA MAZOEZI
ILIFANYA MAZOEZI KAMA CHAKULA,BAADA YA WEEK KADHAA AFYA IKAANZA KURUDI,NIKAENDA KWA BIBI NGARAMTONI KUKAA HUKO AKAWA ANANIPIKIA LOSHOROO NA VYAKULA VYA ASILI NILIKAA KULE KWA MWENZI 1 HIVI.

AISEE AFYA IKARUDI KAMA MWANZO TENA NIKAPENDEZA MFANO HAKUNA..
JAMAA AKANIPA KAZI YA KUWA GUIDE MLIMA KILIMANJARO,KAZI ZIKAWA NYINGI SANA TIPS KIBAO PESA IKAANZA KUINGIA TENA.

NIKASIMAMISHA ROOM ZANGU 2 CHAPU,WIFE NIKAMRUDISHA NYUMBANI NA WATOTO WATU HAWAKUAMINI KAMA NI MIMI MAANA NIMEPENDEZA KIFUA KIMETANUKA MISULI KAMA YOTE YANI NIKAWA HANDSOME WA MAANA.

MUNGU AKANIPA JAMBO KUBWA SANA..
UNATAKA KUJUA NI JAMBO GANII???

ITAENDELEEEA......
nice
 
SEHEMU YA KUMI NA MBILI:=...
INAENDELEEEEA...

MUNGU AKANIPA JAMBO KUBWA SANA,KUNA SIKU NIMERUDI KUTOKA MOSHI ILE NAFIKA TU KWANGU NIKAPOKEA SIMU KWA RAFIKI YANGU ANAYEFANYA KAZI MOJA YA KAMPUNI KUBWA SANA YA UTALII ARUSHA,AKANIAMBIA KUNA WAZUNGU WANATOKA NORWAY WAPO 12 KWAHIYO WANAHITAJI MTU WAKUWAZUNGUSHA ARUSHA YOTE MA MBUGA ZA WANYAMA ZOTE MAANA WANAFANYA RESEARCH,NAKUCHUKUA DOCUMENTARY.

ILA WANATAKA DEREVA ASIYE NA KAMPUNI YEYOTE ILE.PIA WANAHITAJI PROFESSIONAL TOUR GUIDE,PIA WANATOA ELA YA KUKODISHA COASTER KWA MIEZI 2.

JAMAA AKANIUNGANISHA KWAO,BASI NIKAENDA KUWAPOKEA KIA JAMAA WALIKUJA NA VITU VYOTE VYA PRODUCTION.

NIKAWATAFUTIA HOTELI NZURI
KILA KITU KILIKUWA CHINI YANGU..


ITAENDELEEEEA....
NIMEANDIKA KWA KIFUPI MAANA NOW NAPELEKA WAGENI WANAENDA KULA
 
Duu
SEHEMU YA TISA:=.......
BASI baada ya kuajiriwa na leopard rours shida ikaanzia hapo,ghafla nikaanza kufilisika kazi nikasimamishwa,ile hiace niliyonunua ikapata ajali,mpaka saSa hivi ipo pale central imeshikiliwa,kwangu na kwa familia mambo yakawa magumu,dingi akafariki daah nilipata majanga sana.

Huwezi amini nikaanza kuwa mlevi,ni kawa boda boda mtaani tena namtafutia mtu hesabu nilifikisika manzima,afya ikadorora kwa unywaji wa pombe,bangi ndo ikawa chakula kwangu toka asubuhi mpaka jioni navuta bangi tu mpaka mdomo ukawa mweusi kama wa kunguru,macho mekundu yani ulikuwa ukinitizama unajua huyu mvutaji bangi.

Kipindi hicho zile pombe ya vijogoo na banana ndo imepamba moto,nikawa mlevi sana,mama kila kukicha akawa analia tu,wife akarudi kwao watoto tayari washakuwa na umri wa kwenda chekechea sina kitu chochote.

Nikauza vitu vyote vya ndani,nikawa na lala chini,nguo sibadilishi wala siogi hata week 2 zinaisha,mvua ikininyeshea ndo tayari nimeoga.

Nilikuwa siamini uchawi kama upo,toka nikiwa mtoto sijawahi kuamini ila nikaanza kuamini nimerogwa,usiku silali nanyongwa nikaanza kukimbia nyumba na kulala club za gongo,siku nyingine mtaroni popote pale nilikuwa nalala.

Watu wakawa wananicheka nimefulia,madharau mtu hujamchokoza anakupiga makofi bila sababu kweli hali kwangu ilikuwa mbaya,ndugu wakaanza kugombania mali halizoacha baba,ikawa vita juu ya vita.

Siwezi kuamini siku napata taarifa ya msiba kuwa kaka zangu wawili wamepata ajali ya pikipiki ngurero nawamekufa hapo hapo,aisee nililia sana,basi tukafanya msiba tukawapumzisha kaburini.

Tatizo likaja nyumba zile waliojenga kaka zangu hati waliwakabizi wake zao,wakazingangania kuwa nizao basi tukaona tuwaachie.

Ndugu upande wa baba wakagombania mali za kaka yao,ikawa uchawi live unaona bila chenga,mara kwenye mpaka wa shamba unakuta sanda,nazi zimevunjwa yani ikawa tabu juu ya tabu.

Mali za baba zikagawanywa ndugu wakachukua zote mama akabaki na room 3 tu tena za udongo,wewe sikia ndugu tu yani hakuna watu wabaya kama ndugu..
Kipindi hicho nadharaulika sisikikizwi tena kwenye kikao cha familia sikuruhusiwa kuingia ndani waliniita mlevi sina point ya kutoa daah haya maisha yasikiye tu..

Boda boda nayo akapewa mtu,nikawa sina kazi yeyote ile yani nikawa mweupe ile room 4 zangu zikaanza kupasuka ukutani,ukuta wa nyuma ukaanguka,zile bati nikauza zote ela niliyopewa nikalowea pombe yote.

Yani sijui nikumbiaje,akili ilifungwa manzima nikawa nafikiria pombe na bangi mda wote,chakula nilikiona sumu hali ikazidi kuwa mbaya,aisee nilikuwa nimekufa nikiwa bado hai..

Huwezi kuamini kama ndo yule niliyekuwa na hiace,familia bora mtu yeyote alipokuwa anahadithiwa maisha yangu ya zamani yalivyokuwa manzuri aligoma kuwa sio mimi.

Aisee itaendeleeea.....
Haya maisha haya anajua MUNGU duuu cyo poa
 
Back
Top Bottom