Mangi shangali
JF-Expert Member
- Feb 9, 2023
- 533
- 820
- Thread starter
- #101
SEHEMU YA KUMI:=......
Basi hali kwangu ikawa mbaya kinoma,nikawa sina chochote zaidi ya pumzi ya mwenyenzi MUNGU,watu walijua huyu tutamzika kesho,ilifika point of no return back ndugu msomaji.
Usione machizi na vichaa mtaani ukawacheka na kuwadharau hakuna kitu kibaya kama depression hii kitu ndo inauwa watu siku hizi,mtu akiwa na depression kujiua ni fasta sana.
Nilishawahi jaribu kujiua mara 4 lakini ikashindikana,nilishameza valium vidongo 14 nakunywa chupa 4 za banana ili nife lakini nilikuja kuhamka baada ya siku 3,nilishawahi kujinyonga lakini kamba zikawa zinakatika,MUNGU muache aitwe MUNGU 🙏🙏🙏🙏 Kama watu hawamuamini waache na roho zao.
Nilikuwa mtumiaji mbaya wa valium,mwili ulikuwa chaka la shetani,hakuna kitu kibaya kama kuji katia tamaa.
Basi maisha ya kawa hayana thamani kwangu zaidi ya kufa tu.
Kuna siku nimekaa mto sanawary ndo nilikuwa naoga huko maana nyumbani nilikimbia,kuna mawazo yakanijia kipondi nikiwa mtoto nishawahi kuwasikia watu wakisema kuwa ela za madini hazidumu zina majini,basi nikajua chochote nilichokipata kwa madini kimeteketea aisee nililia kinyama.
Nikaoga na kufua nguo zangu vinzuri,ili kuwa siku ya j4,kuna wazo lika nijia la kuenda redio safina,sijawahi kwenda ila nikasema lazima nifike kweli nikatembea kwa miguu kwanzia ilboru mpaka mbauda mahali redio safina ilipo.
Sikuwa na nauli hata Mia,ikanibidi nipige kwata..
Nilifika safina nimechoka hatari pia nasikia nnjaa la kufa tu,kuna wa mama. Iliwakuta wanauza ndizi pale nnjee nikawaomba hata ndizi moja,waliponiona hali yangu ilivyo vibaya wakanipa ndizi 4..
Nilikula zile nikashushia na maji ya bomba..
Itaendeleeeeea.
Basi hali kwangu ikawa mbaya kinoma,nikawa sina chochote zaidi ya pumzi ya mwenyenzi MUNGU,watu walijua huyu tutamzika kesho,ilifika point of no return back ndugu msomaji.
Usione machizi na vichaa mtaani ukawacheka na kuwadharau hakuna kitu kibaya kama depression hii kitu ndo inauwa watu siku hizi,mtu akiwa na depression kujiua ni fasta sana.
Nilishawahi jaribu kujiua mara 4 lakini ikashindikana,nilishameza valium vidongo 14 nakunywa chupa 4 za banana ili nife lakini nilikuja kuhamka baada ya siku 3,nilishawahi kujinyonga lakini kamba zikawa zinakatika,MUNGU muache aitwe MUNGU 🙏🙏🙏🙏 Kama watu hawamuamini waache na roho zao.
Nilikuwa mtumiaji mbaya wa valium,mwili ulikuwa chaka la shetani,hakuna kitu kibaya kama kuji katia tamaa.
Basi maisha ya kawa hayana thamani kwangu zaidi ya kufa tu.
Kuna siku nimekaa mto sanawary ndo nilikuwa naoga huko maana nyumbani nilikimbia,kuna mawazo yakanijia kipondi nikiwa mtoto nishawahi kuwasikia watu wakisema kuwa ela za madini hazidumu zina majini,basi nikajua chochote nilichokipata kwa madini kimeteketea aisee nililia kinyama.
Nikaoga na kufua nguo zangu vinzuri,ili kuwa siku ya j4,kuna wazo lika nijia la kuenda redio safina,sijawahi kwenda ila nikasema lazima nifike kweli nikatembea kwa miguu kwanzia ilboru mpaka mbauda mahali redio safina ilipo.
Sikuwa na nauli hata Mia,ikanibidi nipige kwata..
Nilifika safina nimechoka hatari pia nasikia nnjaa la kufa tu,kuna wa mama. Iliwakuta wanauza ndizi pale nnjee nikawaomba hata ndizi moja,waliponiona hali yangu ilivyo vibaya wakanipa ndizi 4..
Nilikula zile nikashushia na maji ya bomba..
Itaendeleeeeea.