lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Hapo umesoma ukazidiwa utamu hasira za story kutokuendelea ....[emoji474][emoji474][emoji474]Asa ulisoma ya nn ?Kawasimulie watoto wenzio huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo umesoma ukazidiwa utamu hasira za story kutokuendelea ....[emoji474][emoji474][emoji474]Asa ulisoma ya nn ?Kawasimulie watoto wenzio huko
Usipende kuwa unaroho mbayaKawasimulie watoto wenzio huko
ItaendeleaHapo umesoma ukazidiwa utamu hasira za story kutokuendelea ....[emoji474][emoji474][emoji474]Asa ulisoma ya nn ?
Huko nyuma si ulisema uliingia mgodini ukiwa na miaka 15 kwakua ulikua mdogo wakasema usizame shimoni.Kwa mara ya kwanza nashika million 20 tena nikiwa na miaka 16,toka utoto wangu sijawahi kushika hata 10000 ya kwangu nilijiona nina bonge la bahati
Huko nyuma si ulisema uliingia mgodini ukiwa na miaka 15 kwakua ulikua mdogo wakasema usizame shimoni.
Ukaanza kuingia chini ukiwa na 21 yrs, hapa tena unasema umepata mpunga mrefu ukiwa na 16 yrs, umri wako unarudi nyuma??
NaandikaTunaendelea kusubiri
Time traveler![]()
Sio kweli siamini time travelTime traveler [emoji1787]
Huyu jamaa ni Muongo Muongo mnooo toka mwanzo nimemshitukiaHuko nyuma si ulisema uliingia mgodini ukiwa na miaka 15 kwakua ulikua mdogo wakasema usizame shimoni.
Ukaanza kuingia chini ukiwa na 21 yrs, hapa tena unasema umepata mpunga mrefu ukiwa na 16 yrs, umri wako unarudi nyuma??
Ni mawazo yakoHuyu jamaa ni Muongo Muongo mnooo toka mwanzo nimemshitukia
Nitaandika
Toka ww ila wahuni na waongo tutawapa ukwel waoTokeni wote wasio itaka hii story tokaaa
Tokaaa mxiuuuToka ww ila wahuni na waongo tutawapa ukwel wao