Ghadaffi Alitawala miaka 41 (1967-2011), alikuwa na kitu gani cha ziada?

Ghadaffi Alitawala miaka 41 (1967-2011), alikuwa na kitu gani cha ziada?

Miaka 10 tu inatosha kupima uwezo wako wa uongozi. Ghadaffi ALITAWALA Miaka 41 ALIKUWA na KITU GANI CHA ZIADA?

Kuna watu wengi wanalalamika kupinduliwa Kwa ghadaffi Kwa madai ETI alikuwa na maono ya kuunganisha Africa, Kweli?

Mambo mengi kuhusu Ghadaffi yalikuwa propaganda. Miaka 41 Kwenye uongozi unatafuta Nini Tena zaidi ya kuharibu tu.

Naamini Libya itatulia na maisha yataendelea vizuri tu
Yaani unalalamika Gaddaf kutawala miaka 41,hebu tuambie Malkia Elizabeth wa UK ana miaka mingapi kwenye madaraka?,ulishawahi kusikia waingeleza wamelalamika?
 
Miaka 10 tu inatosha kupima uwezo wako wa uongozi. Ghadaffi ALITAWALA Miaka 41 ALIKUWA na KITU GANI CHA ZIADA?

Kuna watu wengi wanalalamika kupinduliwa Kwa ghadaffi Kwa madai ETI alikuwa na maono ya kuunganisha Africa, Kweli?

Mambo mengi kuhusu Ghadaffi yalikuwa propaganda. Miaka 41 Kwenye uongozi unatafuta Nini Tena zaidi ya kuharibu tu.

Naamini Libya itatulia na maisha yataendelea vizuri tu
Kwa kweli naona baada ya kupinduliwa Libya imeendelea kweli yani wamepata demokrasia na maendeleo haswa.
 
Alitujengea misikiti mingi Tanzania, hata Msikiti mkubwa Dodoma alijenga yeye, unaitwa msikiti wa Ghadaffi.
▶️ Eti katika dhana yake ya umoja wa Afrika, alikuwa anamaanisha AFRIKA MOJA DINI MOJA , alikuwa ametenga kanda katika mpango wake na Afrka Mashariki alikuwa amemuandaa NDULI IDD AMIN DADA kuwa AMIR wa Afrika Mashariki. Operation yake ya kwanza ilishindwa alivyotuma askari wake kuja kuua Watanzania kwenye vita ya Uganda na askari hao nyerere aliwakamata kama kuku

Alitengeneza instability nyingi sana Afrika kwa udini wake , hata makundi mengi yanayosumbua Afrika hadi leo alikuwa na mkono wake.

Ni kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea Afrika
 
Eti katika dhana yake ya umoja wa Afrika, alikuwa anamaanisha AFRIKA MOJA DINI MOJA , alikuwa ametenga kanda katika mpango wake na Afrka Mashariki alikuwa amemuandaa NDULI IDD AMIN DADA kuwa AMIR wa Afrika Mashariki.
Hizi propaganda nyingine tena zimekubuhu uzushi.

Gaddafi ndiye aliyechangia kuweka satellite angani kwa matumizi ya internet Afrika na ndiye aliyeongeza uwezo wa bara hili kwenye mambo ya internet. Jee hiyo Afrika ni ya waislamu peke yao?

Huo uongo wa dini moja wakati hata hao waarabu wenyewe wako wakristo, tena wale original siyo akina nyinyi ukristo wenu uliopitia Rome.
 
Gadaff angekuwa kiongozi mzuri kama angeweka dini pembeni hakuna maendeleo nyuma ya ubaguzi wa kidini huo ni ubinafsi.. hata hivyo propaganda zilizo aminishwa watz wengi ni kwamba wakati wa utawala wake kulikuwa na neema ila Libya iliharibika kitambo kwa kuendekeza kwake tamaa kuona kama yeye ni mungu atabaki na power milele.

Hata hivyo baada ya kuuwa waliokuwa wanampinga kwa kipindi kirefu nae alikuja kuuwa kama mbwa wale wachache walikuwa wananeemeka ndio mpaka leo wanataka enzi yao irudi...
 
Hizi propaganda nyingine tena zimekubuhu uzushi.

Gaddafi ndiye aliyechangia kuweka satellite angani kwa matumizi ya internet Afrika na ndiye aliyeongeza uwezo wa bara hili kwenye mambo ya internet. Jee hiyo Afrika ni ya waislamu peke yao?

Huo uongo wa dini moja wakati hata hao waarabu wenyewe wako wakristo, tena wale original siyo akina nyinyi ukristo wenu uliopitia Rome.
Solution ya mgogoro wa Nigeria alipendekeza nchi igawanywe upande mmoja wakae waislamu na upande mwingine wakae Wakristo.

Huyo ndio Ghaddaf akikutana na walevi wa madaraka anajifanya anataka Africa iungane iwe USA.
 
Hizi propaganda nyingine tena zimekubuhu uzushi.

Gaddafi ndiye aliyechangia kuweka satellite angani kwa matumizi ya internet Afrika na ndiye aliyeongeza uwezo wa bara hili kwenye mambo ya internet. Jee hiyo Afrika ni ya waislamu peke yao?

Huo uongo wa dini moja wakati hata hao waarabu wenyewe wako wakristo, tena wale original siyo akina nyinyi ukristo wenu uliopitia Rome.
yani mawazo kama haya lazima yatatoka kwa Muslim....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]jamaa alikuwa mwovu ameuwa watu tatizo nyie kwenu mpaka watu wabaya mnawapaka mafuta #Osama #Sadamu Hussein
 
Solution ya mgogoro wa Nigeria alipendekeza nchi igawanywe upande mmoja wakae waislamu na upande mwingine wakae Wakristo.

Huyo ndio Ghaddaf akikutana na walevi wa madaraka anajifanya anataka Africa iungane iwe USA.
 

Attachments

  • received_1166482633841672.jpeg
    received_1166482633841672.jpeg
    52.5 KB · Views: 5
  • USER_SCOPED_TEMP_DATA_f2d75358ec5460d1699e1f320d3204575ab1e09145c64fa7f79a8bfdc71b9cfc.jpeg
    USER_SCOPED_TEMP_DATA_f2d75358ec5460d1699e1f320d3204575ab1e09145c64fa7f79a8bfdc71b9cfc.jpeg
    17.3 KB · Views: 5
yani mawazo kama haya lazima yatatoka kwa Muslim....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]jamaa alikuwa mwovu ameuwa watu tatizo nyie kwenu mpaka watu wabaya mnawapaka mafuta #Osama #Sadamu Hussein
Mimi ndiyo muislamu na hakuna sehemu niliyosema kwamba Gaddafi alikuwa malaika. Usiniwekee maneno mdomoni.

Viongozi waovu wako wa dini zote tu duniani, Wakristo, Waislamu na hata hizo dini nyingine.
 
Mbona Nyerere alisupport Biafra lile jimbo lililojitenga la Ojukwu? Unajua ni kwa sababu gani?
Ni kwasababu ya Humanity tu. Kama alivyosimama kidete dhidi palestina ndivyo vivyo hivyo alivyosima upande wa Biafra.
Waigbo hawakuwa na mtetezi, Urusi ilitoa ndege, Misri ikatoa marubani kwenda kuua Waigbo, ndani ya aridhi yao wakawa - massacred.
 
Hizi propaganda nyingine tena zimekubuhu uzushi.

Gaddafi ndiye aliyechangia kuweka satellite angani kwa matumizi ya internet Afrika na ndiye aliyeongeza uwezo wa bara hili kwenye mambo ya internet. Jee hiyo Afrika ni ya waislamu peke yao?

Huo uongo wa dini moja wakati hata hao waarabu wenyewe wako wakristo, tena wale original siyo akina nyinyi ukristo wenu uliopitia Rome.
Kuhusu Kutuma Wanajeshi wake kuja kuungana na Idd amini kuua Watania nayo ni propaganda ? au ulikuwa hujazaliwa?

Kuhusu kukodi machangudia na kuya bebebesha misahafu kule italy lengo kuudhalilisha ukristu nayo propaganda au ulikuwa hujazaliwa

Kuhusu, kuwahonga fedha nyingi na vifaa vya kampeni baadhi ya wagombea uraisi Afrika ili wakishinda waslimu na kuziunganisha nchi zao kwenye OIC nayo ni propaganda au ulikuwa hujazaliwa

Kila alichokifanya Ghadafi afrika alifanya hivyo kama mwenezi wa dini yake na sii misaada isiyokuwa na malengo hayo.
 
Ni kwasababu ya Humanity tu. Kama alivyosimama kidete dhidi palestina ndivyo vivyo hivyo alivyosima upande wa Biafra.
Waigbo hawakuwa na mtetezi, Urusi ilitoa ndege, Misri ikatoa marubani kwenda kuua Waigbo, ndani ya aridhi yao wakawa - massacred.
Vipi mbona hujaongea lolote kuhusu ushiriki wake kwenye vita ya Kagera dhidi ya Tanzania? Au hukumbuki alituma vijana wake waje watuue Nyerere akawadaka kama kuku? Hili jidubwana lilikuwa kiongozi la hovyo sana
 
Swali gani hapo utopolo mtupu

Badala ya kuandaa taifa nzima kama taasisi, aliwafuga kama mazombi ya zumaridi, kuyalipia mahari, na kuyafanya yasiwaze kuhusu kusoma au kufanya kazi, huku akitumia rasilimali za nchi kugombanisha nchi nyingine na kueneza dini yake

Hali kama hiyo isingedumu milele kwa karne ya sasa lazima hayo mazombie ysngebutuka tuu, hata angekuwepo hadi leo kinachoendelea lazima kingemkuta
 
Back
Top Bottom