Ghadaffi Alitawala miaka 41 (1967-2011), alikuwa na kitu gani cha ziada?

Ghadaffi Alitawala miaka 41 (1967-2011), alikuwa na kitu gani cha ziada?

[emoji3504] Eti katika dhana yake ya umoja wa Afrika, alikuwa anamaanisha AFRIKA MOJA DINI MOJA , alikuwa ametenga kanda katika mpango wake na Afrka Mashariki alikuwa amemuandaa NDULI IDD AMIN DADA kuwa AMIR wa Afrika Mashariki. Operation yake ya kwanza ilishindwa alivyotuma askari wake kuja kuua Watanzania kwenye vita ya Uganda na askari hao nyerere aliwakamata kama kuku

Alitengeneza instability nyingi sana Afrika kwa udini wake , hata makundi mengi yanayosumbua Afrika hadi leo alikuwa na mkono wake.

Ni kiongozi wa hovyo kuwahi kutokea Afrika
Wavaa kobazi watapinga.

#MaendeleoHayanaChama
 
Gaddafi ni baba yangu kisiasa na mimi hukasilishwa sana kwa wanao mbeza mzalendo huyu. Ngoja nikupe machache aliyo yafanya Gaddafi na nikusisitize yanawezekana pia Kongo hata TZ kama tutapata mtawala mwenye akili kubwa kama ile
ward41 umezaliwa mwaka gani?

1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, acumeme ulikuwa bure kwa raia wote

2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba.

3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake hawatapata nyumba nzuri hadi raia wote wa Libya wawe na makazi. Baba mzazi wa Gadafi amefariki wakati, yeye, mke wake na mama yake wakiishi kwenye hema.

4. Kila mfanyakazi Mpya (Mwajiriwa mpya) nchini Libya alipewa Dola za kimarekani 50,000 ili aanzie maisha.

5. Kabla ya Gadafi, kulikuwa na 25% tu ya raia wa Libya ndio walikuwa na Elimu.

6. Elimu na Huduma za Afya (matibabu) nchini LIBYA zilitolewa bure.

7. Kama Mwananchi wa LIBYA aliyehitaji kujishughulisha na kilimo, alipatiwa ardhi, nyumba, mbegu na mahitaji mengine yaliyohitajika.

8. Iwapo mwananchi wa Libya akishindwa kupata Elimu au Huduma ya Afya ndani ya LIBYA, serikali ilimsafirisha nje ya nchi kwa ajili ya mahitaji hayo, pia alipewa Dola milioni 300 za kimarekane kwa ajili ya gharama .

9. LIBYA, Kila raia wa LIBYA aliyenunua gari, serikali ilimwongezea nusu ya bei ya gari, means kama gari itauzwa sh milioni tano, basi raia alilipia shilingi milioni mbili na laki tano na kiasi kingine kinalipwa na serikali.

10. Bei ya Petrol nchini LIBYA ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.14

11. Libya ilikuwa haina madeni ya Nje, ilikuwa haidaiwi na nchi yoyote na ilikuwa imehifadhi dola za kimarekani bilioni 150

12. Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.

13. Sehemu ya mauzo ya mafuta nchini Libya ilipelekwa moja kwa moja kwenye akaunti za benki za kila raia wa LIBYA

14. Kila mwanamke aliyejifungua, alipewa Dola za kimarekani 5,000

15. Gharama ya mikate arobaini ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.15

16. 25% ya raia wa LBYA walikuwa na kiwango cha Elimu cha SHAHADA (a university degree)

17. GADAFFI aliaanzisha mradi mkubwa zaidi kuwai kutokea duniani, mradi wa Umwagiliaji uliojulikana kama MAN- MADE RIVER PROJECT, Mradi uliowezesha upatikanaji wa maji eneo zima la jangwa.

La kumi na 7 ndio lilikuwa kubwa kupita yote. Sijataja kuwalipa fedha wahitimu ambao hawajaajiliwa sawa sawa na wale ambao wapo kazini. Kulipia mahali na kujenga nyumba kwa wanao oa. Kufadhili bajeti ya AU kwa asilimia 50. Ingawa alitukosea watanzania alikuja kukiri kosa na akawa rafiki yetu.. akajenga msikiti butiama kwa kuombwa na mwalimu... baadae alikuja kujenga msikiti wa DODOMA. Aliyoyafanya Gadafi hayaji kufanywa na yeyote.. pumzika kwa amani mwanamapinduzi wa kweli baba yangu kanali Gadafi.
Aliwapumbaza walibya..ili awaibie na kuwatawala..alikua kiongozi wa hovyo sana.

Ndio mana aliuwawa na walibya wenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
Aliwapumbaza walibya..ili awaibie na kuwatawala..alikua kiongozi wa hovyo sana.

Ndio mana aliuwawa na walibya wenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
Miaka yote ya utawala wake alikula pamoja na wa Libya.. tofauti na Mobutu anakula na franceee
 
Licha ya madhaifu mengi mko yataja humu..Gadafi alikuwa na mazuri mengi mno yasiyo pimika kwa mizani.. bahati mbaya binadamu huesabiwa kwa mabaya yake na sio mazuri yake.
He's dead and gone kwa mabaya yake ndio yalimfuta ndio mana alikufa kifo kibaya sana tena chini ya wananchi wake mwenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
 
He's dead and gone kwa mabaya yake ndio yalimfuta ndio mana alikufa kifo kibaya sana tena chini ya wananchi wake mwenyewe.

#MaendeleoHayanaChama
Walimuua kifo kibaya ukifananisha na mazuri aliyowafanyia.. kwa ujinga wao wamelaaniwa milele kama kongo
 
Waafrica wengi tuna amini utawala wa kiimla na wakifalme kwani tumetoka huko. If is very unfortunately hata sasa generation hii inatumbukia kwenye mawazo hayo ya kiimla. Watanzania wameaminishwa socialist ndio njia bora hata katiba yetu imeshindwa kuliweka hilo pembeni ndio unaona hata utawala uliopita ulijaribu kurudisha ujamaa, na siasa za kugombea uhuru, uzalendo, mabeberu nakadhalika na kuliweka Taifa kwenye mtego mgumu, ambao sasa Rais anajitahidi kulikwamua Taifa. Nchi hii inahitaji katiba mpya itakayo toa Taifa kwenye mrengo huo ambao kwa serious invester akisoma katiba yetu hataweza kudhubutu kufanya serious investment in this Country amboyo nguvu zote za maamuzi zipo kwa mtu mmoja ambae ni Rais. We need katiba inakayo define our path to our economy, power zirudi kwa wananchi and future tunayoitaka.
 
Miaka 10 tu inatosha kupima uwezo wako wa uongozi. Ghadaffi ALITAWALA Miaka 41 ALIKUWA na KITU GANI CHA ZIADA?

Kuna watu wengi wanalalamika kupinduliwa Kwa ghadaffi Kwa madai ETI alikuwa na maono ya kuunganisha Africa, Kweli?

Mambo mengi kuhusu Ghadaffi yalikuwa propaganda. Miaka 41 Kwenye uongozi unatafuta Nini Tena zaidi ya kuharibu tu.

Naamini Libya itatulia na maisha yataendelea vizuri tu
Hili swali kama ungewauliza wananchi wa Libya au Marekani walioweza kujipenyeza baada ya kumuua Ghadaffi na kuanza kuiba mafuta ya Walibya nafikiri wangekupa majinu mazuri sana
 
Kuhusu Kutuma Wanajeshi wake kuja kuungana na Idd amini kuua Watania nayo ni propaganda ? au ulikuwa hujazaliwa?

Kuhusu kukodi machangudia na kuya bebebesha misahafu kule italy lengo kuudhalilisha ukristu nayo propaganda au ulikuwa hujazaliwa

Kuhusu, kuwahonga fedha nyingi na vifaa vya kampeni baadhi ya wagombea uraisi Afrika ili wakishinda waslimu na kuziunganisha nchi zao kwenye OIC nayo ni propaganda au ulikuwa hujazaliwa

Kila alichokifanya Ghadafi afrika alifanya hivyo kama mwenezi wa dini yake na sii misaada isiyokuwa na malengo hayo.
Wewe hata kama ulikuwa umezaliwa lakini bado ulikuwa kijijini na ukisikilize ile redio ya mkulima tu. Uelewa wako kuhusu propaganda ni mdogo sana. Nashangaa mpaka hii leo bado hujaondoka huko na hizo fikra zako mgando.

Kuungana na Idi Amin kuua Watanzania, kwani Nyerere alipovamia Uganda baada ya kumfukuza Amin nje ya mipaka ya Tz kulikuwa na issue gani, tuseme ya kidini nayo ya kumrudisha mkristo mwenzake madarakani? Na nchi ikabakia kwenye lindi la umasikini kwa miaka nenda rudi badala ya miezi 18 ya kufunga mkanda.

Kuhusu kubebesha machangudoa misahafu, huoni kama yeye ndiyo amedhalilisha dini yake kwa hivyo? Vyombo vya magharibi vilikuwa vinaripoti vile wanavyopenda wenyewe au hulijui hilo bado ulikuwa kijijini?

Huoni kwamba hiyo ya kuwahonga viongozi wa Afrika ili wasilimu hata kuingia akilini haina nafasi kama siyo propaganda yenyewe?

Kijana bado nenda shule ukasomee taaluma ya propaganda.
 
Hapa nchi za maziwa makuu East Africa kiongoz mmoja amesema anajiandaa kutawala miaka 21 zaid shithole continent
Nilijiuliza anamkataba na Mungu, Amefanya mazuri ila angepaswa kuepuka kosa la Gadafi la kujijengea utawala wa milele
 
Waafrica wengi tuna amini utawala wa kiimla na wakifalme kwani tumetoka huko. If is very unfortunately hata sasa generation hii inatumbukia kwenye mawazo hayo ya kiimla. Watanzania wameaminishwa socialist ndio njia bora hata katiba yetu imeshindwa kuliweka hilo pembeni ndio unaona hata utawala uliopita ulijaribu kurudisha ujamaa, na siasa za kugombea uhuru, uzalendo, mabeberu nakadhalika na kuliweka Taifa kwenye mtego mgumu, ambao sasa Rais anajitahidi kulikwamua Taifa. Nchi hii inahitaji katiba mpya itakayo toa Taifa kwenye mrengo huo ambao kwa serious invester akisoma katiba yetu hataweza kudhubutu kufanya serious investment in this Country amboyo nguvu zote za maamuzi zipo kwa mtu mmoja ambae ni Rais. We need katiba inakayo define our path to our economy, power zirudi kwa wananchi and future tunayoitaka.
Magufuli hakuwa mjamaa hana sifa za ujamaa inabidi ujue kutofautisha Kati ya Socialism na Dictatorship
 
Magufuli hakuwa mjamaa hana sifa za ujamaa inabidi ujue kutofautisha Kati ya Socialism na Dictatorship
Kwangu mimi naona alikuwa na vyote, ukiangalia alivyotaka mashirika ya umma au taasisi ya umma uzinye kazi zote na kuwapokunya wananchi, hizi mimi naona ni ujamaa huo. Ujamaa si vijiji vya ujamma tu hata uendeshaji wa nchi unaweza ukareflect ujamaa.
 
Wewe hata kama ulikuwa umezaliwa lakini bado ulikuwa kijijini na ukisikilize ile redio ya mkulima tu. Uelewa wako kuhusu propaganda ni mdogo sana. Nashangaa mpaka hii leo bado hujaondoka huko na hizo fikra zako mgando.

Kuungana na Idi Amin kuua Watanzania, kwani Nyerere alipovamia Uganda baada ya kumfukuza Amin nje ya mipaka ya Tz kulikuwa na issue gani, tuseme ya kidini nayo ya kumrudisha mkristo mwenzake madarakani? Na nchi ikabakia kwenye lindi la umasikini kwa miaka nenda rudi badala ya miezi 18 ya kufunga mkanda.

Kuhusu kubebesha machangudoa misahafu, huoni kama yeye ndiyo amedhalilisha dini yake kwa hivyo? Vyombo vya magharibi vilikuwa vinaripoti vile wanavyopenda wenyewe au hulijui hilo bado ulikuwa kijijini?

Huoni kwamba hiyo ya kuwahonga viongozi wa Afrika ili wasilimu hata kuingia akilini haina nafasi kama siyo propaganda yenyewe?

Kijana bado nenda shule ukasomee taaluma ya propaganda.
Alafu unapaswa ufahamu kuwa dhamira ya Mwalimu ilikuwa kumwondosha Amini katika ardhi ya Tanzania na hilo alilifanikisha Ila Amini alikuwa anauwa watu wauganda hata kabla ya uvamizi wake Tanzania kwa hiyo wanganda waliowengi hawakumpenda Amin baada ya kupigwa na Tanzania na kukimbilia Uganda yeye na kajeshi kake nguvu nyingi za kijeshi waliishiwa hivyo wananchi wa Uganda wakaona hii ndio nafasi ya pekee waliyo nayo ya mkutoa Amin Ila kwa kuwa hawakuwa na Nguvu ya jeshi hivyo wakaliomba jeshi la Tanzania likawasaidie kumg'oa Amin Nyerere akaona sio tabu kupeleka jeshi ndani ya ardhi ya Uganda akawasaidie waganda waliowengi kumwondosha mshenzi Amin na ndipo Amin alipo furumushwa .
 
Kwangu mimi naona alikuwa na vyote, ukiangalia alivyotaka mashirika ya umma au taasisi ya umma uzinye kazi zote na kuwapokunya wananchi, hizi mimi naona ni ujamaa huo. Ujamaa si vijiji vya ujamma tu hata uendeshaji wa nchi unaweza ukareflect ujamaa.
Yule mtu alikuwa anafanya Democratic Dictatorship lakini ujamaa ulikuwa mbali na yeye mtu pekee aliyefanya ujamaa hapa Tanganyika ni Mwalimu baada ya kutoka yeye madarakani na hapo ndipo ujamaa ukazikwa
 
Nilijiuliza anamkataba na Mungu, Amefanya mazuri ila angepaswa kuepuka kosa la Gadafi la kujijengea utawala wa milele
Africa ubinafsi tu anaona akimwachia mwengine atafaidi Sana unakuta kiongoz limesoma bado jinga halijielewi na huwa hawajifunzi kwa wenzao waliopindulia
 
Wewe hata kama ulikuwa umezaliwa lakini bado ulikuwa kijijini na ukisikilize ile redio ya mkulima tu. Uelewa wako kuhusu propaganda ni mdogo sana. Nashangaa mpaka hii leo bado hujaondoka huko na hizo fikra zako mgando.

Kuungana na Idi Amin kuua Watanzania, kwani Nyerere alipovamia Uganda baada ya kumfukuza Amin nje ya mipaka ya Tz kulikuwa na issue gani, tuseme ya kidini nayo ya kumrudisha mkristo mwenzake madarakani? Na nchi ikabakia kwenye lindi la umasikini kwa miaka nenda rudi badala ya miezi 18 ya kufunga mkanda.

Kuhusu kubebesha machangudoa misahafu, huoni kama yeye ndiyo amedhalilisha dini yake kwa hivyo? Vyombo vya magharibi vilikuwa vinaripoti vile wanavyopenda wenyewe au hulijui hilo bado ulikuwa kijijini?

Huoni kwamba hiyo ya kuwahonga viongozi wa Afrika ili wasilimu hata kuingia akilini haina nafasi kama siyo propaganda yenyewe?

Kijana bado nenda shule ukasomee taaluma ya propaganda.
Wewe Andazi kweli kweli. Sisi kumkimbiza Amini nduli tulikuwa na haki ya kisheria
Wewe hata kama ulikuwa umezaliwa lakini bado ulikuwa kijijini na ukisikilize ile redio ya mkulima tu. Uelewa wako kuhusu propaganda ni mdogo sana. Nashangaa mpaka hii leo bado hujaondoka huko na hizo fikra zako mgando.

Kuungana na Idi Amin kuua Watanzania, kwani Nyerere alipovamia Uganda baada ya kumfukuza Amin nje ya mipaka ya Tz kulikuwa na issue gani, tuseme ya kidini nayo ya kumrudisha mkristo mwenzake madarakani? Na nchi ikabakia kwenye lindi la umasikini kwa miaka nenda rudi badala ya miezi 18 ya kufunga mkanda.

Kuhusu kubebesha machangudoa misahafu, huoni kama yeye ndiyo amedhalilisha dini yake kwa hivyo? Vyombo vya magharibi vilikuwa vinaripoti vile wanavyopenda wenyewe au hulijui hilo bado ulikuwa kijijini?

Huoni kwamba hiyo ya kuwahonga viongozi wa Afrika ili wasilimu hata kuingia akilini haina nafasi kama siyo propaganda yenyewe?

Kijana bado nenda shule ukasomee taaluma ya propaganda.
Sikiliza we andazi usiyejua chochote zaidi ya kujaza server za jamii forum kwa matapishi yasiyo na maana kwa mnavyolishwa kuwa huyu mwalifu wa kivita alikuwa mtu mwema wakati ni haini la hovyo kabisa

Amini alichokifanya kwa Tanzania ( sio kwa Nyerere) ni kuivamia nchi ambayo kwenye sheria za kimataifa inaitwa Crime of Aggression. Hivyo kwa mujibu wa sheria za kimataifa tulikuwa na wajibu wa kumfukuza , kumpiga na hata kumuua ikiwa ni kujilinda ( self defense) pamoja na kulipiza kisasi kwa kosa alililo lifanya.

Sasa niambie huyo mdini kutoka kaskazini mwa Afrika ambaye hatukuwa na mgogoro naye kilichomsibu kuja kutuua sisi ni nini? Sisi ndio tuliovamiwa na nduli, hivyo yeye ndiye aliyemtuma ili atimize ile azma yake ya kuibadilisha Afrika mashariki kuwa dola ya kiislam na kumsimika amini kuwa Amir wa afrika mashariki siyo?
 
Back
Top Bottom