Ghadaffi Alitawala miaka 41 (1967-2011), alikuwa na kitu gani cha ziada?

Ghadaffi Alitawala miaka 41 (1967-2011), alikuwa na kitu gani cha ziada?

Okay katika 17 umejibu matano tena mawili hujapinga kama hilo la Riba yanabaki matatu.. unasema nimeongea uongo asilimia 80 hivi huko shule mnafunzwa ujinga? Ngoja nirudi kukujibu
1. LIBYA watu walikuwa wanalipia umeme kama kawaida kwa miaka yote

2. Libya ya dikteta Gaddafi ilikuwa ni nchi ya Kiislamu na kwenye Uislamu riba ni haramu.

3. Ni ujinga kufikiria au kuamini wazazi wake Gaddafi walikuwa wanaishi kwenye nyumba za kupanga yeye akiwa Rais
Pia Gaddafi alikuwa anapenda kuishi kwenye mahema ya kifahari, hata alipokuwa akienda nchi nyingine kama US alikuwa anaweka hema lake la Kifahari kwenye viwanja vya Trump

4. Kwa nini Kila mfanyakazi Mpya (Mwajiriwa mpya) nchini Libya alipewa Dola za kimarekani 50,000 ili aanzie maisha wakati mtu ukiajiriwa unalipwa mshahara??

5. Libya ilianza kuchimba mafuta kibiashara mwaka 1960 na miaka 9 tu baadaye Gaddafi akafanya mapinduzi, ulitegemea ndani ya miaka 8 ungeona faida zozote za uchumi wa mafuta uliokuwa unaanza kuchipuka??
 
1. Nimesoma vyanzo vya mabedui walio mkolimba gadafi kweli wanasema umeme haukuwa bure. Ila elimu na afya ilikuwa bure. Bei ya umeme ilikuwa chini kuliko nchi yoyote ulimwenguni. Wakati Libya wakitoza sent 1.5 marekani walitoza sent 12... hapo umeshinda ndugu yangu
2. Hakuruhusu riba kwa kuwa ni haramu? Kuna shida gani zaidi ya unafuu?
3. Wazaz wa Gadafi ni kweli hawakufa kwenye hali nzuri. Na Gadafi hakuishi kwenye mahema ya kifahari ila alilala kwenye "mahema"
4. Sijaelewa ulivyoandika kuhusu mafuta ila elewa kuwa Gadafi ndiye aliye asisi umoja wa nchi zenye mafuta duniani akiwa na akina sadam na mzee Asad.. alidhibiti vyema rasilimali hii na iliwanufaisha wa Libya kweli kweli
 
Gaddafi alikuwa anafadhili vikundi vya magaidi kama IRA cha UK, waliolipua ndege ya Pan-Am flight 103 huko Lockerbie 1988,Aliachana na ugaidi na kulipa baadhi ya wahanga fidia baada ya kuona US imeivamia Iraq na Saddam kukamatwa na kunyongwa.
Kwa issue ya mauaji taja madikteta kama bokasa. Gadafi hakuwa wa upande huo.. hajawahi kuua wapinzani wake hata kuwafurusha kama kwa Nyerere. Alikuwa muislam safi. Kwanza mapinduzi aliyoyafanya hayakuwa ya kumwaga damu ndio maana yaliitwa white revolution. 2011 walipo andamana hakuwapiga hata kidogo wiki 2.. wametoka Benghazi waenda Tripoli.Alianza kuwapiga baada ya kudhauriwa vibaya na mwanae yule mpenda mpira. Nikubaliane nawe Gadafi asingeendekeza udini alikuwa wa tofauti japo mengi mazuri aliyoyafanya ni maelekezo ya dini yake. Mpaka mwaka 2011 kama ukiipeleka Libya ulaya ilikuwa taifa la nne kwa utajiri na waliwashinda italy
 
Hizi propaganda nyingine tena zimekubuhu uzushi.

Gaddafi ndiye aliyechangia kuweka satellite angani kwa matumizi ya internet Afrika na ndiye aliyeongeza uwezo wa bara hili kwenye mambo ya internet. Jee hiyo Afrika ni ya waislamu peke yao?

Huo uongo wa dini moja wakati hata hao waarabu wenyewe wako wakristo, tena wale original siyo akina nyinyi ukristo wenu uliopitia Rome.

Algeria walikuwa upande wa Tanzania na walisaidia kwa vitendo
Vita ina washirika ila watu wameona kama udini zaidi
 
Ward41 nchi ile haiwezi kutulia kwasasahiv. Had leo ni muongo m1 toka wamuue Gaddafi nazan itawachukua zaid ya miongo kadhaa ndio patulie

..umesahau Gaddafi, Wapalestina, na Iddi Amin, walivyoungana dhidi ya Tanzania ktk vita vya Kagera na Uganda.

..vijana wa Jwtz wasingewatembezea kichapo maeneo ya Sembabule na Lukaya huenda Tanzania ingeangukia mikononi mwa Waganda na Walibya.
 
6. Elimu Libya ilikuwa bure tangu nchi hiyo inapata uhuru lakini mbovu, sekta ya Afya bure lakini mbovu hali iliyowafanya matajiri wengi kwenda kutibiwa nje ya nchi.

7. Wakati wa Gaddafi sekta ya Kilimo Libya ilikufa na karibia kila kitu walikuwa wanaahiza kutoka nje.

8. Akili za kawaida tu zilipaswa kukuambia kukufikirisha mtu anawezeje kuwa na pesa nyingi za kuwapa raia wote halafu ashindwe kuwapa elimu na huduma za Afya za daraja la kwanza.
Gaddafi ni baba yangu kisiasa na mimi hukasilishwa sana kwa wanao mbeza mzalendo huyu. Ngoja nikupe machache aliyo yafanya Gaddafi na nikusisitize yanawezekana pia Kongo hata TZ kama tutapata mtawala mwenye akili kubwa kama ile
ward41 umezaliwa mwaka gani?

1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, acumeme ulikuwa bure kwa raia wote

2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba.

3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake hawatapata nyumba nzuri hadi raia wote wa Libya wawe na makazi. Baba mzazi wa Gadafi amefariki wakati, yeye, mke wake na mama yake wakiishi kwenye hema.

4. Kila mfanyakazi Mpya (Mwajiriwa mpya) nchini Libya alipewa Dola za kimarekani 50,000 ili aanzie maisha.

5. Kabla ya Gadafi, kulikuwa na 25% tu ya raia wa Libya ndio walikuwa na Elimu.

6. Elimu na Huduma za Afya (matibabu) nchini LIBYA zilitolewa bure.

7. Kama Mwananchi wa LIBYA aliyehitaji kujishughulisha na kilimo, alipatiwa ardhi, nyumba, mbegu na mahitaji mengine yaliyohitajika.

8. Iwapo mwananchi wa Libya akishindwa kupata Elimu au Huduma ya Afya ndani ya LIBYA, serikali ilimsafirisha nje ya nchi kwa ajili ya mahitaji hayo, pia alipewa Dola milioni 300 za kimarekane kwa ajili ya gharama .

9. LIBYA, Kila raia wa LIBYA aliyenunua gari, serikali ilimwongezea nusu ya bei ya gari, means kama gari itauzwa sh milioni tano, basi raia alilipia shilingi milioni mbili na laki tano na kiasi kingine kinalipwa na serikali.

10. Bei ya Petrol nchini LIBYA ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.14

11. Libya ilikuwa haina madeni ya Nje, ilikuwa haidaiwi na nchi yoyote na ilikuwa imehifadhi dola za kimarekani bilioni 150

12. Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.

13. Sehemu ya mauzo ya mafuta nchini Libya ilipelekwa moja kwa moja kwenye akaunti za benki za kila raia wa LIBYA

14. Kila mwanamke aliyejifungua, alipewa Dola za kimarekani 5,000

15. Gharama ya mikate arobaini ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.15

16. 25% ya raia wa LBYA walikuwa na kiwango cha Elimu cha SHAHADA (a university degree)

17. GADAFFI aliaanzisha mradi mkubwa zaidi kuwai kutokea duniani, mradi wa Umwagiliaji uliojulikana kama MAN- MADE RIVER PROJECT, Mradi uliowezesha upatikanaji wa maji eneo zima la jangwa.

La kumi na 7 ndio lilikuwa kubwa kupita yote. Sijataja kuwalipa fedha wahitimu ambao hawajaajiliwa sawa sawa na wale ambao wapo kazini. Kulipia mahali na kujenga nyumba kwa wanao oa. Kufadhili bajeti ya AU kwa asilimia 50. Ingawa alitukosea watanzania alikuja kukiri kosa na akawa rafiki yetu.. akajenga msikiti butiama kwa kuombwa na mwalimu... baadae alikuja kujenga msikiti wa DODOMA. Aliyoyafanya Gadafi hayaji kufanywa na yeyote.. pumzika kwa amani mwanamapinduzi wa kweli baba yangu kanali Gadafi.
 
Nikujibu kwenye afya na elimu kidogo.. mi nafahamu alitoa huduma nzuri kulingana na uwezo wa technology ya taifa lake. Kumbuka, kama ilihitajika kusoma nje ama kutibiwa nje Gadafi aligharamia.

Kilimo umedanganya mkuu na ukasome tena. Kumbuka Libya aliikuta ikiwa jangwa. Akafanya kile kilichoitwa ajabu la nne la dunia mradi mkubwa wa kilimo Beghazi kwa maadui zake. Alilima sana matunda, mboga mboga na ngano na aliuza sana mpaka italy
 
Aliyetoa Amri kuhakikisha Kanali anakata Moto alikuja kuwaambia wananchi wa Libya mtamkumbuka Kanali .... Obama hypocrite mbaya Sana
 
Gaddafi ni baba yangu kisiasa na mimi hukasilishwa sana kwa wanao mbeza mzalendo huyu. Ngoja nikupe machache aliyo yafanya Gaddafi na nikusisitize yanawezekana pia Kongo hata TZ kama tutapata mtawala mwenye akili kubwa kama ile
ward41 umezaliwa mwaka gani?

1. LIBYA kulikuwa hakuna bili ya umeme, acumeme ulikuwa bure kwa raia wote

2. Libya kulikuwa hakuna Riba kwenye mikopo, Benk zote Libya zilikuwa za Umma na mikopo ilitolewa kwa raia wote tena bila Riba.

3. Gadafi alisisitiza kwamba, wazazi wake hawatapata nyumba nzuri hadi raia wote wa Libya wawe na makazi. Baba mzazi wa Gadafi amefariki wakati, yeye, mke wake na mama yake wakiishi kwenye hema.

4. Kila mfanyakazi Mpya (Mwajiriwa mpya) nchini Libya alipewa Dola za kimarekani 50,000 ili aanzie maisha.

5. Kabla ya Gadafi, kulikuwa na 25% tu ya raia wa Libya ndio walikuwa na Elimu.

6. Elimu na Huduma za Afya (matibabu) nchini LIBYA zilitolewa bure.

7. Kama Mwananchi wa LIBYA aliyehitaji kujishughulisha na kilimo, alipatiwa ardhi, nyumba, mbegu na mahitaji mengine yaliyohitajika.

8. Iwapo mwananchi wa Libya akishindwa kupata Elimu au Huduma ya Afya ndani ya LIBYA, serikali ilimsafirisha nje ya nchi kwa ajili ya mahitaji hayo, pia alipewa Dola milioni 300 za kimarekane kwa ajili ya gharama .

9. LIBYA, Kila raia wa LIBYA aliyenunua gari, serikali ilimwongezea nusu ya bei ya gari, means kama gari itauzwa sh milioni tano, basi raia alilipia shilingi milioni mbili na laki tano na kiasi kingine kinalipwa na serikali.

10. Bei ya Petrol nchini LIBYA ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.14

11. Libya ilikuwa haina madeni ya Nje, ilikuwa haidaiwi na nchi yoyote na ilikuwa imehifadhi dola za kimarekani bilioni 150

12. Kila mwananchi wa Libya aliyekosa ajira baada ya kuhitimu kulingana na kiwango alichofikia, Serikali ilimlipa mshahara unaokaribiana na mtu aliyeajiriwa mwenye elimu sawa na aliyonayo yeye.

13. Sehemu ya mauzo ya mafuta nchini Libya ilipelekwa moja kwa moja kwenye akaunti za benki za kila raia wa LIBYA

14. Kila mwanamke aliyejifungua, alipewa Dola za kimarekani 5,000

15. Gharama ya mikate arobaini ilikuwa ni Dola za kimarekani 0.15

16. 25% ya raia wa LBYA walikuwa na kiwango cha Elimu cha SHAHADA (a university degree)

17. GADAFFI aliaanzisha mradi mkubwa zaidi kuwai kutokea duniani, mradi wa Umwagiliaji uliojulikana kama MAN- MADE RIVER PROJECT, Mradi uliowezesha upatikanaji wa maji eneo zima la jangwa.

La kumi na 7 ndio lilikuwa kubwa kupita yote. Sijataja kuwalipa fedha wahitimu ambao hawajaajiliwa sawa sawa na wale ambao wapo kazini. Kulipia mahali na kujenga nyumba kwa wanao oa. Kufadhili bajeti ya AU kwa asilimia 50. Ingawa alitukosea watanzania alikuja kukiri kosa na akawa rafiki yetu.. akajenga msikiti butiama kwa kuombwa na mwalimu... baadae alikuja kujenga msikiti wa DODOMA. Aliyoyafanya Gadafi hayaji kufanywa na yeyote.. pumzika kwa amani mwanamapinduzi wa kweli baba yangu kanali Gadafi.
Kwa hiyo kwa Tanzania ukumbusho wake ni kujenga misikiti ? uliwahi kujiuliza alichowafanya wapinzani wake, hebu tuletee pia makundi ya kihalifu aliyoyadhamini nje ya Libya!
 
Wewe ulitaka afanyie nchi yako nini cha ziada , kwani nyinyi mliifanyia Libya jambo gani?
Gadafi kudhamini vikundi vya kiharifu labda ujanani ambapo alihusishwa na shambulio la kuangusha ndege ya mabedui ambao wanawaueni nyie kila uchwao, kumbuka aliingia madarakani akiwa na miaka 28 tuu...
Gadafi wa miaka ya baadae hasa baada ya kuvunja lile baraza la watawala la kwanza hakuwa muhuni, alikuwa mtulivu.
 
Licha ya madhaifu mengi mko yataja humu..Gadafi alikuwa na mazuri mengi mno yasiyo pimika kwa mizani.. bahati mbaya binadamu huesabiwa kwa mabaya yake na sio mazuri yake.
 
Alimfadhili nduli atupige alifadhili makundi mfano kundi la tuaregi, na kundi la seleka. Aliwagawa waafrika kwa misingi ya dini.
Ndio mana alikufa kifo kibaya umbwa yule..ndio alikua mfadhili wa nduli katika vita vya uganda.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom