Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watasingizia mapepo ila ni full insanity per 100%.duuh, ila watu wana roho ngumu haki. sijawahi kuelewa dume kama hilo unalitamanije kwa kweli sijawahi kuelewa kabisa.
Mkuuduuh, ila watu wana roho ngumu haki. sijawahi kuelewa dume kama hilo unalitamanije kwa kweli sijawahi kuelewa kabisa.
Modereta anakuja kutoa hii chafu apaNimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454
Hiyo sio kazi ya AU, AU wana mipaka na haiwaruhusu kuingilia culture au ku dictate cultural changes kwenye nchi husika.Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454
Inasikitisha sanaAsalaleeeee
Wanatumia nguvu kubwa sana kujitangaza hawa watu aisee..Modereta anakuja kutoa hii chafu apa
Swali la kibabe sana hili 😅Kwa hiyo wewe ukitaka kuwa MCHOKOO ni sawa sababu technology imebadilika sii ndio?
Nimefikia Legon Mkuu. Sikutegemea kuwakuta mapapai GhanaKaribu Accra, niko hapa Osu nakula upepo, baade nirudi hapo mitaa ya Spintex.
unashangaa hapa Accra wakati hapo Nairobi jirani na home mambo ni live live, nikirudi mitaa ya KaNairo nitakutumia video zao hao wasenge, ni vile tu we should learn to live with different ethnic groups lakini hao mafala wanakera sana
Maisha haya mpaka uzeeni?Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454
Tunakopi. na kupesti tamaduni za kizungu kwani hazikuwepo katika mila za kiafrika.Meal. Nyerere pengine alikuwa sahihi kutoruhusu vyombo vya media kama TV kuingizwa nchini kwani ndiyo njia kubwa ya indoctrination ya kamanyola hiziNimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454
Mkuu unataka kutuaminsha kuwa technology Ndiyo inabadilisha watu/ vijana kuwa mashoga. Really? Na unacho tetea hasa ni nini? Kuwa muaziWatu kama nyie mnaodhani dunia mmeiumba nyie,wakati dunia inabadilika inavotaka yenyewe. Technology ndio inabadilisha dunia sasa hivi utake au usitake.
Kwa hiyo wewe ukitaka kuwa MCHOKOO ni sawa sababu technology imebadilika sii
Kwanini unamnyima mtu haki yake ya kuchagua anachokitaka kuhusu mwili wake?umeniumba wewe? Sasa technology imerahisisha watu kujielewa na kutoogopa wanachokiamini.
Mungu atuepushie 🙏Nimefika Accra, Ghana Jana (jumanne, tarehe 27/08/2024) asubuhi. Ilipofika jioni mwenyeji akaniomba nimsindikize kwenye sherehe Fulani.
Niliyoyaona huko yanasikitisha. Kumbe mambo haya yapo kote hadi Ghana? African Union tafadhali ingilieni kati. Hali ni mbaya.
Hatua za haraka zinahitajika. Vinginevyo vijana wengi wasio na ajira watazama mazima humo kama mbadala wa kukosa ajira.
View attachment 3081454
Ukiuchukulia ushoga kidini,kiutamaduni na mila zetu ni kitu kibaya. Ila ukiuchukulia kisayansi,historia na ki anthropologyMkuu unataka kutuaminsha kuwa technology Ndiyo inabadilisha watu/ vijana kuwa mashoga. Really? Na unacho tetea hasa ni nini? Kuwa muazi