Jaribu kuelewa, hiyo elf 80 ni kwa ajili ya kipimo, sputum cytology shilingi elfu 80 kwenye hospitali ya umma ambayo infrastructure zote, mishahara ya wataalamu na wahudumu inalipwa na kodi za wananchi na wahisani mbalimbali.......kwa hiyo unataka kusema elfu 80 ni cost sharing kwenye kufanya sample processing and analysis......kuna input gani kubwa zaidi ya kufanya gharama ya cost sharing iwe kubwa kiasi hicho.
Unajua gharama ya hicho kipimo bila cost sharing?Jaribu kuelewa, hiyo elf 80 ni kwa ajili ya kipimo, sputum cytology shilingi elfu 80 kwenye hospitali ya umma ambayo infrastructure zote, mishahara ya wataalamu na wahudumu inalipwa na kodi za wananchi na wahisani mbalimbali.......kwa hiyo unataka kusema elfu 80 ni cost sharing kwenye kufanya sample processing and analysis......kuna input gani kubwa zaidi ya kufanya gharama ya cost sharing iwe kubwa kiasi hicho.
Reta namba mwenye hoja kwaajili ya comparison.Hao ndiyo watanzania maneno matupu ila namba hapana
Unajua gharama ya hicho kipimo bila cost sharing?
What is peculiar with that test, kwa hiyo kufanya processing, analysis and interpretation ndo ifike elfu 80. I can assure you hicho kipimo hakitakiwi kuzidi shilingi elfu 5 as cost sharing kwenye public hospital and even kwenye private hospital hakitakiwi kuzidi elf 20.
Hawachelewi kuja na blah blah....Akikujibu usiache kutustua
PoaKwa 10m/- Bora mgonjwa huyu angeenda India.
1. Pamoja na nauli uwezakano wala isingefika huko.
2. Pengine hata angekuwa hai Leo.
Wangapi wanakwenda huko kwa gharama ndogo zaidi hata kukuta walikuwa wametolewa tezi nzima?
Mgonjwa adai fidia TMJ, Hindu Mandal
unajua nauli ya kutoka mbezi ubungo kwa mwendo kasi ni sh elfu moja na something, wakati daladala ni mia tano mpaka mia nne unafika? We unaishi dar kweli?Una uhakika nauli mwendokas ni kubwa kuliko daladala?
Unadhani kwann watu wanapanga folen kwenye mwendokasi kwa nusu saa kama ni gharama kuliko daladala zilizo jaa muda wote
Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
Bima ya afya kwa wote ni kiini macho tu. Laki3.5 kwa maskini hohehahe ataweza?Kila mmoja wetu anatakiwa kuwa na bajeti ya matibabu. Na hapo ndipo inapokuja umuhimu wa Bima ya Afya kwa wote.
mbezi hospitali ya serikali kupima mkojo sh 3000, mtaani kupima sh2000. Hiyo cosh share ipo wapi hapoUnajua gharama ya hicho kipimo bila cost sharing?
Hiyo ni mean. Sio maximum wala sio minimum.Bima ya afya kwa wote ni kiini macho tu. Laki3.5 kwa maskini hohehahe ataweza?
Lugha uliyotumia sijakuelewa. Waziri alitangaza kwa kumaanisha ndiyo.Hiyo ni mean. Sio maximum wala sio minimum.
Huwezi kuandaa bidhaa/huduma ambayo wanaweza kununua wenye uwezo mkubwa wa kipesa tu na vile vile huwezi kuandaa huduma ambayo yule maskini hohehahe anaweza kununua. Gharama ya bidhaa ni kukutana katikati.Lugha uliyotumia sijakuelewa. Waziri alitangaza kwa kumaanisha ndiyo.
Sasa unaposema siyo maximum wala minimum unamaanisha nini?
Ni wakati wa kuelewa, Mbezi hospitali si Health centre, running cost ni tofauti. Ndo maana nikaeleza wakati unaleta gharama zingatia level za vituo unavyovitaja na fators zote huko juu. Huo ni utaratibu.mbezi hospitali ya serikali kupima mkojo sh 3000, mtaani kupima sh2000. Hiyo cosh share ipo wapi hapo
Ndo maana nilisema mwenye hoja alete hizo bei kwa ulinganifu Gov vs private with same level consideration.What is peculiar with that test, kwa hiyo kufanya processing, analysis and interpretation ndo ifike elfu 80. I can assure you hicho kipimo hakitakiwi kuzidi shilingi elfu 5 as cost sharing kwenye public hospital and even kwenye private hospital hakitakiwi kuzidi elf 20.
Zitaje hizo reagents ambazo ni expensive kiasi kwamba a single test utoze elfu 80, tena useme ni cost sharing.......kawadanganye laymen.Ndo maana nilisema mwenye hoja alete hizo bei kwa ulinganifu Gov vs private with same level consideration.
Mnaishia I can assure you.
Unaijua hata hiyo sputum cytology na bei za reagent zake au unawaza AFB?
Hahahahah, mzee wa lockdown kipindi cha Covid19 , ππππ, kila siku toeni data toeni data..., ile mikopo ya vitendanishi na vipimo vya covid19 ndio tunailipa sasa kwa style hiiImekuwa si nadra kusikia ankara za mamilioni ya pesa kwa ajili ya tiba kwenye hospitali za umma.
Nani anayepanga bei hizi na kwa vigezo gani?
Je, ni bei kwa ugonjwa, dawa, ujuzi, vifaa au majengo?
Au ni yale ya Bashe na wakulima na bei zao za vyakula?
Kwamba kama bei ni kubwa basi kila mtu akaanzishe hospitali yake?
Kama taifa tunakoelekea yaweza kuwa siyo kwema sana.
kwa hiyo running cost za hospitali kubwa huwa juu mtu ukienda kupima mkojo? Ni kipi kinapandisha?Ni wakati wa kuelewa, Mbezi hospitali si Health centre, running cost ni tofauti. Ndo maana nikaeleza wakati unaleta gharama zingatia level za vituo unavyovitaja na fators zote huko juu. Huo ni utaratibu.
Hata wenye bima kwa wote wanatambua hayo yote wakipanga malipo yao.
Inategemea ni bima gani, unaambiwa labda bima yako haizidi kiasi flaniKila mmoja wetu anatakiwa kuwa na bajeti ya matibabu. Na hapo ndipo inapokuja umuhimu wa Bima ya Afya kwa wote.
Jibu hoja yake ya msingi kama alivyofafanua kwenye post zake, acha blah blah kuhalalisha unyonyaji wakati ni uwekezaji uliofanywa na ummaNikusaidie kitu rafiki!
Hospitali sio mambo ya CCM Vs CDM or CUF.
Kama unafikiri matibabu ni rahisi fungua hospitali yako kama una uwezo huo alafu utuletee mrejesho...