Tafuta pesa tibu familia Yako , nitachukia Sana Kodi yangu ikutibu wewe na familia YakoBei za vyakula: nendeni mkalime -- Bashe.
Bei mahospitalini: anzishehi hospitali -- wewe.
Kwanini nauli, petrol nk zinakuwa regulated?
Haituingii akilini. Kwani hospitali za umma ni binafsi kama chakula cha wakulima?
Tunahitaji bei hospitali kuwa regulated kwa kuanzia kujua gharama halisi.
Tutakapo hoji walioko madarakani mtashauri tuwafurushe watoke?
Kama serekali hospital zake ghali nenda private hospitals