Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Gharama kufuru za matibabu hospitali za umma ni kwa uhalali upi?

Watanzania wasio na ndugu ni wachache Sana na serekali inatumia Kodi kuwasaidia

Kodi haiwezi kukukipia wewe na maitaji Yako binafsi

Kodi inalipa huduma za umma

Acheni ujinga kutaka sisi tuwalipie huduma binafsi (afya ) fanyeni kazi tibuni ndugu zenu na familia zenu
Kwani hospitali tunazoongelea hapa ni za binafsi? labda kama umekurupukia mada....
 
Ukitaka kujua wewe ni maskini uuguliwe...

Tena uuguliwe kwenye upigaji kIndaki ndaki ...

Kwamba unataka nduguyo Aishi? Si Mwigulu si nani:

FolQpVRaEAEb4UX.jpeg
 
Gharama za consumables bila ya itemization ni mbuzi mwingine aliyenona kwenye gunia.

Independent audit ya watu wenye heshima zao kina CAG Assad ilikuwa muhimu na kwa dharura sana.

"Pana Pandora boxes nyingi za kufunguliwa hapa."
Kwamba average cost $176 per session.

1. Hiyo ikiwa staff list hewa yote Ile iko ndani.
2. Hakuna itemization yoyote ya consumables wala bei zake.
3. Hakuna reference yoyote lolote ya kodi zetu kwenye lolote.

Zingatia list hii ya staff hewa:

1. Manesi 20
2. Nephrologists 4
3. Registrars 8
4. Nutritionist 1
5 Biomedical engineers
Kwa hiyo kigezo cha bei ni % fulani tu ya huko privat

Kwa hiyo kigezo cha bei ni % fulani tu ya huko private?
Hii inayoonyesha kiasi gani haujaupanda mlima wenyewe na huku unapiga yowe.
 
Unaonaje badala ya kujihoji hivi kukafanyika independent audit Ili masuala mazima ya bei yakawekwa wazi?

Tungependelea bei iwe actual reflection ya gharama za consumables.

Au waona je mkuu?
Inaweza kufanyika, ingawa lazima itaanzia kwenye mapato na matumizi; na ili kuwepo na uelewa wa pamoja, ni muhimu kujua wao (hospitalini) wanagharamia nini kifedha (dawa, ukarabati, mafunzo, posho n.k)? Kama wamepewa sehemu kubwa ya kujigharamia, lazima gharama za matibabu zipande.
 
Hii inayoonyesha kiasi gani haujaupanda mlima wenyewe na huku unapiga yowe.
Kwanini ni vigumu kujibu waziwazi?

Bei hospitali za umma ni a % replica ya zile za private?
 
Madelu anakamua hadi tone la mwisho kiasi kwamba ndama anaambulia shombo tu pamoja na kwamba maziwa ni haki yake.....

Pamoja na tozo na kodi yuko kwenye hospitali za umma anajua mtakuja tu kwa bima au binafsi kama mnataka ndugu zenu waishi, na atahakikisha mmekuwa mafukara.

Anajua bila dialysis mtu atakufa dhahiri baada ya muda mfupi. Bei zimepangwa si kwa gharama halisi bali kwa sababu ni kifo au kuishi.

Kwa hakika hata kwenye ubeberu haiko hivi.
 
Kwanini ni vigumu kujibu waziwazi?

Bei hospitali za umma ni a % replica ya zile za private?
Hawa tayari wameshaelewa, sema wanaona aibu kukubali.........sisi tunachowashauri wakapitie upya hizo rate zao ili kuwaokoa hawa wananchi maskini. Wakianza kutusema sisi kwamba tulipe bei hizo kubwa, huenda sisi hatuwakilishi mamilioni ya watanzania walio wengi ambao wanaishi katika hali duni za vipato.​
 
Gharama za consumables bila ya itemization ni mbuzi mwingine aliyenona kwenye gunia.

Independent audit ya watu wenye heshima zao kina CAG Assad ilikuwa muhimu na kwa dharura sana.

"Pana Pandora boxes nyingi za kufunguliwa hapa."
Kwamba average cost $176 per session.

1. Hiyo ikiwa staff list hewa yote Ile iko ndani.
2. Hakuna itemization yoyote ya consumables wala bei zake.
3. Hakuna reference yoyote lolote ya kodi zetu kwenye lolote.

Zingatia list hii ya staff hewa:

1. Manesi 20
2. Nephrologists 4
3. Registrars 8
4. Nutritionist 1
5 Biomedical engineers 2
6. Health attendants 4

Kwa kila machine 9.

Kwa hakika tumepigwa!
20230216_150533.png

Soma hiyo: DIALYSIS REQUIREMENTS

Nunua hizo ulete tufanye bure kwani machine ipo.
 
Pamoja na tozo na kodi yuko kwenye hospitali za umma anajua mtakuja tu kwa bima au binafsi kama mnataka ndugu zenu waishi, na atahakikisha mmekuwa mafukara.

Anajua bila dialysis mtu atakufa dhahiri baada ya muda mfupi. Bei zimepangwa si kwa gharama halisi bali kwa sababu ni kifo au kuishi.

Kwa hakika hata kwenye ubeberu haiko hivi.
Hakika..
 
Inaweza kufanyika, ingawa lazima itaanzia kwenye mapato na matumizi; na ili kuwepo na uelewa wa pamoja, ni muhimu kujua wao (hospitalini) wanagharamia nini kifedha (dawa, ukarabati, mafunzo, posho n.k)? Kama wamepewa sehemu kubwa ya kujigharamia, lazima gharama za matibabu zipande.

Unajua hospitali hizi investment cost ni 100% umma.

Hospitali hizi zinapata mgao kutoka kwenye kodi na raslimali za umma.

Biashara yoyote ya halali Bei ni kulingana na matumizi Kwa kitu, labda ya mihadarati.

Tunachoona hapa mahospitalini wamekaa wakapanga bei dhidi ya kifo.

Kwamba Kwa sababu usipolipa utakufa haihalalishi malipo kupangwa na bepari.

Bei ya bepari kwenye hilo itakuwa ni vyote mlivyo navyo!

Ndivyo ilivyo hapa. Hospitali za umma ziwe regulated ndipo lilipo suluhisho.
 
View attachment 2519275
Soma hiyo: DIALYSIS REQUIREMENTS

Nunua hizo ulete tufanye bure kwani machine ipo.

Ninafurahi kusikia ukweli kuwa mashine za zipo na wafanyakazi wa umma wapo na bajeti ya serikali ipo Kwa maana kuwa minus consumables gharama A dialysis zilipaswa kuwa bure.

Hapa sasa ndipo palitakiwa uwepo wa uzalendo kujua bei gani na kipi kinachopungua kwa mgonjwa mmoja mmoja Ili hiyo kuwa sehemu halali ya mchango wake. Ikawa zero kama haihitajiki au 5/- kama ndicho kinachopungua.

Hamuoni aibu kuibia wagonjwa au marehemu?
 
Unajua hospitali hizi investment cost ni 100% umma.

Hospitali hizi zinapata mgao kutoka kwenye kodi na raslimali za umma.

Biashara yoyote ya halali Bei ni kulingana na matumizi Kwa kitu, labda ya mihadarati.

Tunachoona hapa mahospitalini wamekaa wakapanga bei dhidi ya kifo.

Kwamba Kwa sababu usipolipa utakufa haihalalishi malipo kupangwa na bepari.

Bei ya bepari kwenye hilo itakuwa ni vyote mlivyo navyo!

Ndivyo ilivyo hapa. Hospitali za umma ziwe regulated ndipo lilipo suluhisho.
Uko sahihi, utatuzi wa hii changamoto lipo kwenye sera ya wizara/serikali.
Mfano; hospitali A kwa mwaka huu wa fedha inahitaji bilioni 5 ili iweze kutoa huduma kwa ufanisi/kwa bei nafuu; badala ya kupelekewa bilioni 5 wakapelekewa bilioni 1; hapo patatokea nini?
 
Ninafurahi kusikia ukweli kuwa mashine za zipo na wafanyakazi wa umma wapo na bajeti ya serikali ipo Kwa maana kuwa minus consumables gharama A dialysis zilipaswa kuwa bure.

Hapa sasa ndipo palitakiwa uwepo wa uzalendo kujua bei gani na kipi kinachopungua kwa mgonjwa mmoja mmoja Ili hiyo kuwa sehemu halali ya mchango wake. Ikawa zero kama haihitajiki au 5/- kama ndicho kinachopungua.

Hamuoni aibu kuibia wagonjwa au marehemu?
Kanunue minus consumables boss.
 
Back
Top Bottom