NHIf na wizara wanafanya upuuzi na mwisho wa siku anaishia kupata maumivu makali ni mwananchi kwani hamna huduma toshelevu na za uhakika kwa upande wa afya nchini , hawa Agakhan wanaweza funga huduma zao nchi nzima wakabasha kituo kimoja Dar tu , sasa jiulize hizo hospitali za serikali zina uwezo wa kubeba mzigo huo uliobakia ?
Agakhan ni multinational corporation , wapo maeneo mbalimbali so kufunga hapa tz sio kwamba ndio shirika limekufa , wapo Zambia wapo South Afrika nk ,hapa ni kama branch tu .
Na hawa watoa huduma waliobakia watazidi kujiengua na kupunguza vituo na huduma kadiri siku zinavyoenda maana wengi wanadai madeni makubwa mpaka sasa NHIF na hawajalipwa halafu ndio watu akili zitawakaa vizuri na kujua spiralling effects za uongozi mbovu nchini humu
Agakhan ni multinational corporation , wapo maeneo mbalimbali so kufunga hapa tz sio kwamba ndio shirika limekufa , wapo Zambia wapo South Afrika nk ,hapa ni kama branch tu .
Na hawa watoa huduma waliobakia watazidi kujiengua na kupunguza vituo na huduma kadiri siku zinavyoenda maana wengi wanadai madeni makubwa mpaka sasa NHIF na hawajalipwa halafu ndio watu akili zitawakaa vizuri na kujua spiralling effects za uongozi mbovu nchini humu