Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

Hiyo ni tekniki ya kusafirisha ngada Mzee
 
Simba hawqjakwenda Dubai kuweka kambi, timu inatumiwa na wauza unga kusafirishwa Dawa za kulevya, za Mwizi ni arobaini.
Sema nyie mko bize kushoot video za uchi pale avic town na kufuga misukule wakina kambole
 
hii timu ni mbovu,ni muhimu ipewe motisha walau itaji boost.
 
Ile timu sasa iv haina viongozi ina watu ambayo sijui wana malengo gani na simba kuna muda unaweza kuwaza elimu yao na uwezo wao wa kuongoza taasisi ni kiwango gani kuna mambo wanayafanya ata hakina mzee dalali pamoja na kukosa elimu hawawezi kuyafanya ,,timu ina shida ya wachezaji badala ya kuongeza bajet katika usajili ikiwa na pamoja na kuangalia namna gani kuna baadhi ya wachezaji kuwavunjia mikataba wao ili kupisha wengine wao wanatoa pesa kwenda kutalii ,najiulza walikua na sababu gani kumleta kocha mpya uku ligi inaenda mzunguko wa pili , angalia sasa iv wana lundo la makocha ambayo kimsingi kaz yao moja iv gharama ya makocha ambao hawana la ziada si unamlpa mchezaji wa maana ,ni bora ukawa ata na wachezaji 25 ambao unawaona viwango vyao vinasaidia timu kuliko kuwa na lundo la wachezaji ambao wengine inapita ata miezi 2 hawajacheza na siku wakicheza hawana jipya ,simba wana kazi kubwa ya kufanya warudi katika ubora kuanzia uongozi mpaka ndani ya uwanja ,,, kwa sasa mpaka idara ya digatal sasa iv imeanza kuyumba ,mchezaji hakiwa na kiwango duni camp ata iwe wap ni kupga mark time tu , waache kujizungusha wafanye reform ya timu
 
Mkuu Kwa mawazo haya sio ajabu utaitwa utopolo
 
free agent huyo. Pia hamna timu yoyote duniani inayojivunia kusajili mchezaji miaka 38

Uzuri alikuwa kwenu kabla ya kuja kuwa star simba,mchezaji hajawahi kufunga hat trick huko ila huku siku ya kwanza tu kaweka tatu na assist khaaaah.....[emoji2957]
 
Umasikini na roho mbaya ni hatari kwa afya. Halafu hii takataka yako inaishia humu humu. Endeleza povu tu! [emoji23]
 
Trash
 
Tuacheee
 
January hii wachezaji wazuri utawapata wapi
 
Tajili gani huyo ponjoro??? Ameshindwa kununua mchezaji yeyote wa maana hapo simba
Wivu unakusumbua.mtu anatumia ela zake wewe unawashwa.Wale wachezaji wote niwamaana.Huyo mchezahi unayemtaka kanunue wewe.
 
Simba hawqjakwenda Dubai kuweka kambi, timu inatumiwa na wauza unga kusafirishwa Dawa za kulevya, za Mwizi ni arobaini.
Ukiambiwa thibitisha utaweza??? Acheni umbea watoto was kiume tafuta fedha.


Kwahiyo mamlaka za Dubai ni dhaifu sana kwenye ufuatiliaji madawa ya kulevya??

Swali langu umewahi safiri hats kwenda Malawi tu????
 
Mpira una njiabzake simba wanafuata njia matokeo ya ligi zetu kuna mambo mengi...kambi ya egypt ililipa ndomana wameingia CAFCL group stage kwa ushindi wa 100% timu nyingine iliyoku nyumbani tuliona ilivyofeli vibaya....ligi yetu sio kipimo ndomana kuna matokeo yenye utata mechi nyingi za simba na yanga ligi yetu ukijipanga vizuri nje ya uwanja unakua bingwa,kipimo kipo kule kimataifa ndio tunaona timu ilivyonyepesi simba hii ina wastani wakufunga magoli mengi na ni bora kuliko ile yakina miguissone katika mechi 19 wamefunga goli 47 anaefuata ana goli 37 sba hii ni hatari shida kwakua haiongozi ligi tuu, simba kambi ya misri imefanikiwa na simba bado inafuata njia za mpira tukiacha ushabiki inabidi timu ziige simba kufanya vizuri au kutokufanya vizuri kwenye derby sio kigezo cha kukata tamaa,mwaka huu simba akifika nusu au final watu hawatoshangaa kwa jinsi wanavyofuata njia za mpira ila Yanga akifika nusu au final itakua story kubwa maan bado wamejifungia kigamboni kigezo kikiwa kuchukua NBC na kushinda derby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…