Gharama ya kuweka kambi Dubai ingetumika kusajili wachezaji bora

Kama ilivyokua Kwa manji[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hujui chochote wewe jinyamazie tu

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Naona unaungaunga porojo zako zisizokua na uthibitisho wote, muuza unga aliyethibitika kuuza unga ni Yusuf Manji sasa niambie alikua kiongozi wa timu ipi

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza hebu rekebisha comment yako,makosa kibao ya kiuandishi comment nzima halafu sasa uje uanze kuwakosoa Viongozi wa Simba.
 
Hahh sema hivii Simba ni kuubwa hukosi kitu cha kuiongelea
Sawa mtani. Kuna nyuzi kama nne za moto sana zinawahusu kaa Kwa kutulia Sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niliwaambia watu hizi pesa za kuweka Kambi tungezipeleka kwenye usajili matokeo yake ndio haya yanaanza kuonekana
 
Wazee wa kusajiri magarasa[emoji119][emoji119] mahabiki na viongozi wao wote ni ma mbumbumbu
 
Sijui huwa hawalioni hilii au akili zao mbili haziwezi kuchambua na kuona...kutwa kuchwa Simba Simba yani wanajikuta wana kikosi cha kumfunga TP mazembe..badala wajiandae kwao hko wanafatilia ya Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…