Gharama ya vita ya Israel ni US dollar 260 milioni kila siku

Gharama ya vita ya Israel ni US dollar 260 milioni kila siku

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,175
Reaction score
2,294
Vita dhidi ya Hamas inaigharimu Israel dolla za kimarekani 260 milioni kila siku (sawa na 260,000000 x 2500 = 650,000,000,000 TZ sh). Hii imeelezwa na Idara ya fedha ya nchi hiyo. Hiki ni kiwango kikubwa kuliko walivyotarajia hapo awali.

Wakati huo huo pato la nchi limepungua, kutokana na kupungua kwa watalii.
 
Vita ni gharama sana, hapo bado gharama ya uhai!
Ukweli ni kwamba vita ni gharama sana. Na ni muhimu kwa mtu yeyote yule au vikundi vijifunze kutoka kwa wenzetu. Tusishabikie vita kwa jirani wala kwetu.

Na ndio maana ni muhimu kuhubiri amani kwetu na kwa majirani zetu na hata kule mbali tusikofika.
 
Ndio maana Israel inatumia mwanya huu wa msaada kutoka US, kun'gomoa visiki vyote huko Gaza na yeyote atakayejipendekeza more especially Lebanon. Maana vita siyo maneno maneno I mean kuvianzisha kwa maroketi na mbwembwe nyingi bali puumzi ya kuhimili kuviendesha vita ndio what matter ndio maana, Iran, hizibolla wataishia mikwara.
 
Ulimwengu wa leo una mazuzu/mazezeta wengi licha ya vyuo vikuu kuongezeka.Wanadamu wanawekeza kwenye kuwindana wao kwa wao.Ule uhayawani wa kule porini unaofanywa na wanyama umehamia kwa wanadamu.
Binadamu ndiyo hayawani mwenyewe, hao wanyama pori wanasubiri sana.
 
Vita dhidi ya Hamas inaigharimu Israel dolla za kimarekani 260 milioni kila siku ( sawa na 260,000000 x 2500 = 650,000,000,000 TZ sh). Hii imeelezwa na Idara ya fedha ya nchi hiyo.
Hiki ni kiwango kikubwa kuliko walivyotarajia hapo awali.
Wakati huo huo pato la nchi limepungua, kutokana na kupungua kwa watalii.
Pesa ni makaratasi hutumika kukulinda pindi unapopata tishio juu ya uhai wako. Asiyeamini achunguze endapo afya yako ikitetereka unatumia kiasi gani kuiweka sawa. Wengine wanauza hata amana ulizonazo.
 
Ulimwengu wa leo una mazuzu/mazezeta wengi licha ya vyuo vikuu kuongezeka.Wanadamu wanawekeza kwenye kuwindana wao kwa wao.Ule uhayawani wa kule porini unaofanywa na wanyama umehamia kwa wanadamu.
Kwa bahati mbaya tatizo ni wasomi. Na haya maelezo chini ndio chimbuko la tatizo.
1699962443701.jpeg
 
Ukweli ni kwamba vita ni gharama sana. Na ni muhimu kwa mtu yeyote yule au vikundi vijifunze kutoka kwa wenzetu. Tusishabikie vita kwa jirani wala kwetu.
Na ndio maana ni muhimu kuhubiri amani kwetu na kwa majirani zetu na hata kule mbali tusikofika.
"Wanahubiri amani Huku wameficha mapanga."
 
Vita dhidi ya Hamas inaigharimu Israel dolla za kimarekani 260 milioni kila siku ( sawa na 260,000000 x 2500 = 650,000,000,000 TZ sh). Hii imeelezwa na Idara ya fedha ya nchi hiyo.
Hiki ni kiwango kikubwa kuliko walivyotarajia hapo awali.
Wakati huo huo pato la nchi limepungua, kutokana na kupungua kwa watalii.
Hao mashoga walidhani vita ni sherehe ya kipaimara sio? Kwanza washenzi ni scammers hao bila misaada ya Marekani na Uingereza hawatoboi.
 
Hao mashoga walidhani vita ni sherehe ya kipaimara sio ?
Kwanza washenzi ni scammers hao ,bila misaada ya Marekani na Uingereza hawatoboi
Na ndio walipiga mikwara kuwa wana uwezo wa kupigana na Hizbullah at the same time pale Lebanon au sio?
Wanataka wakaanze kuokota Makopo.
 
Vita dhidi ya Hamas inaigharimu Israel dolla za kimarekani 260 milioni kila siku ( sawa na 260,000000 x 2500 = 650,000,000,000 TZ sh). Hii imeelezwa na Idara ya fedha ya nchi hiyo.
Hiki ni kiwango kikubwa kuliko walivyotarajia hapo awali.
Wakati huo huo pato la nchi limepungua, kutokana na kupungua kwa watalii.
Unawashauri nini?
 
Unawashauri nini?
1) Warudi kwenye meza ya majadiliano kutatua maswala mama ya tatizo
2) Kumalizwa kwa occupation (huu ni mwaka 2023/ kumtawala mtu ni siasa za kizamani)
3) Azimio la Serikali mbili (UN resolution) ya Wa- Israel na Wapalestina ndio suluhisho la kudumu la mgogoro.
 
Back
Top Bottom