Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Uhakika wa kuaminika kwa Hamas dhidi ya usalama wa Israel upoje1) Warudi kwenye meza ya majadiliano kutatua maswala mama ya tatizo
2) Kumalizwa kwa occupation (huu ni mwaka 2023/ kumtawala mtu ni siasa za kizamani)
3) Azimio la serikali mbili (UN resolution) ya Wa- Israel na Wapalestina ndio suluhisho la kudumula mgogoro.