KERO Gharama za Kujifungua Hospital ta Taifa Muhimbili MNH (Mloganzila) ni kufuru

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
Hospitali zingine sio za kwenda kabisa😂
 
Mkuu, ulikuwa unajipinda tu kwa shemeji huku mnashangilia, ulitakiwa kujiandaa mapema, yaani unaona mavifaa ya kisasa yamejaaa humo yanang'weka mataa, unaware unachekelea tu
 
Hio sera ni kwa vituo vya afya😂 ila hospitali za kitaifa hazihusiki na sera hizo. Unapigwa kwenzi kama kawaida.
 
Mchawi pesa bima hupati uduma nzuri na rafiki lakin pia bima ni usumbufu baada ya kudeal na mgojwa unawaza kuzaja makaratasi na baadhi ya dawa watakwambia hazitolewi kwa bima

So pesa Muhimu
Huo ujinga ndio ulinifanya ni drop swala la Bima. Kimsingi Bima inatakiwa ku cover kila kitu tena upate huduma first class sababu wewe ni mteja wa Prepaid.

Ila bongo mtu wa bima unaonekana kama fala ambaye unatibiwa bure. Yani treatment ya watu wa Bima ni kama ya mbuzi na sio binadamu. Mtapangishwa foleni mistari hata mitatu na kauli za kejeli kadri wahudumu watakavyojiskia. Ila watu wa cash wao ni fasta na wanapapatikiwa 😂 kama raia wa kigeni. Bima its a No No kwangu mimi bora kutumia cash tu kwa tulipofikia.
 
Halafu Kile kibabu cha Muhimbili Janabi badala ya kufanya tafiti namna gani huduma zao ziwe za bei rafiki kwa wananchi yeye kila siku nikutaka kutrend na vitu vya hovyo hovyo...watu wa hivi enzi za u communist ilikua nikunyongaa tu.
Kibabu kinawaambia mnywe juisi ya tango na kipande cha samaki ili kuepusha ugonjwa wa moyo.
 
Kwa kuwaa umesema ullienda private hospital ghalama kuwa kubwa sio jambo la ajabu hasa kama operation zinahusika. Lakini kufika 5M ni wewe ulitengeneza mazingira hayo ingewezekana kuishia 2.5M. Kwanza kwa nini uende hospital ikutoze 2M halafu bado Daktari utafute wewe umlipe 2.5M? Ilitakiwa huyo Daktari kama anahusika na hiyo hospital ulipompa hiyo 2.5M mengine yote amalize kwenye bajeti hiyo.

Tunaposema ghalama za kujifungua tunahusisha ghalama za kuzalisha, malazi na dawa. Ghalama huongezeka kulingana na complication za mimba . Operations nyingi zina ghalama hivyo haiwezi kuwa tofauti kwenye kujifungua. Mwanamke akijifungua kawaida ghalama huwa ndogo.

Changamoto inakuja umeandaa 400,000 kama akiba ya kujifungua kawaida unafika hospital unaambiwa hawezi kujifungua kawaida anatakiwa operation. Hapo tayari tunakuwa tunazungumzia 1M+.

Lakini pia kwa upande wa hospital za serikali mambo mengi yanahusika. Unamtoa mgonjwa kutoka hospital ya mkoa kama temeke na kwenda hospital ya Rufaa ya taifa. Hapa lazima ghalama zibadirike. Mpaka kufika Mhimbili unakuwa umeruka vituo vingi vya afya. Sasa hapa itategemea Rufaa ya kuhamisha imeandikwaje. Ukienda Mhimbili bila rufaa ya hospital za chini yake unapigwa ghalama kama za private hospital na hakuna wa kumlilia. Pia kuna chumba alicholala kinaongeza ghalama za kujifungua. Huwezi kuwa private room ghalama zikawa chini..

Jambo la msingi ni kuhesabu ghalama kabla ya maamuzi yoyote. Lakini pia ni vizuri kuandaa Daktari mapema ambaye atakuwa anamfanyia chekup mpaka wakati wa kujifungua kama uwezo unaruhusu ili kuepusha taarifa za kushtukiza
 
Tumia Jubilee Insurance. Downside ni kuna mikoa haipo zaidi ya mjini so ni changamoto ila switch huko nenda hospital za hadhi na hiyo bima halafu lete mrejesho.

NHIF inasemekana ni wazito kulipa kwa wakati ndiyo sababu kuna kipindi baadhi ya hospital waliachana na NHIF kabisa.
 
Nitaifatilia hiyo Jubilee
 
Naona Kuna watu wanaendekeza upumbavu unaoitwa BIMA.
BIMA sio dawa ya gharama kubwa z hospital.zipunguzwe serikali iweke bajeti kubwa huko na si VINGINEVYO
 
Na mamaenu anachezea pesa kwenye mipira badala kuwwkeza kwenye afya tunashindwa makaburu walikuwa na roho mbaya ila kwa afya waliijali saana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…