Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Gharama za kumuuguza Mzee zinaongezeka. Sisi tumeshachoka kwa kweli. Bora tu achukuliwe

Unatumia IDs nyingi. ila nimeepuka tu mjadala wa kidini hapa maana kuna mambo sisi wenye hekma tunayaacha hatujazi watu ambao si sehemu yao hapo. hakuna kitu ambacho huwa najaribu kwanza kuepuka kama kuanza mchambulia mtu dini hasa ya uislamu. naifahamu sijakariri. naifahamu kwa ukaribu sana...sisi ni baadhi ya watu ambao marhamu sheikh yahya alikuwa anakuja mpaka nyumbani kukaa kuongea na mzee habari za dini ya kiislamu. nami nimesoma tena kwa kusoma Mombasa na Lamu... ila mwishowe nimebaki na akili zangu timamu.
Kuwa tu humble na upokee nasaha ulizopewa na Akhi kule. Hata kama ni kweli umetoka katika familia ya Masheikh, unaweza kuwa mjinga vile vile. Unaweza kuwa ulisoma sana mpaka huko Lamu alipotoka Sheikh al-Habib Swaleh bin 'Alawy Jamalul-Layl lakini ukarudi mjinga au ukawa hukupata baraka ya Ilmu uliyoipata au ikawa sehemu kubwa mno ya Ilmu hukuipata pia. Unaweza kweli ukawa umesoma (tena kwa usahihi kabisa) lakini ukapinda hivyo kusoma kwako ikawa hakujakusaidia chochote, na watu wakaipuuza Ilmu yako. Unamjua Wasil ibn 'Ataa? Alikuwa Mwanafunzi wa Imaam Hassan al-Basry (Rahimahullah). Wasil aliachana na Imaam Hassan al-Basry akaenda kwa wanafalsafa huko wakamvuruga mwisho akajitenga na Imaam al-Basry, na ndio akaanzisha Madh-hab ya Mu'utazilah. Alijitenga na Imaam al-Basry licha ya kuwa Imaam Hassan al-Basry alikuwa ni katika Taabi'i wakubwa sana. Kinachoangaliwa ni umesimama sawa? Sasa unafanya au unasema jambo ambalo halipo katika dini, kisha ukiambiwa kwa kurekebishwa, unajitetea kwa kusema wewe ni mjukuu wa Mufti na umesoma mpaka Mombasa na Lamu. Haqq haipimwi kwa hivyo Chizi Maarifa.

Mtabiri wa Nyota Mzee Yahya Hassan Juma kwenda kwa Baba yako kuzungumza "habari za dini ya kiislamu" sio hoja pia.

Hata mimi pia akina Mtabiri Mzee Yahya Hassan ni katika wazee wangu, na baadhi ya Wazee wangu walikuwa ni Masheikh Maarufu tu wa Kisufi (Allah awasamehe makosa yao na Awarehemu). Ila bado kuna wengi katika familia zetu hawafahamu dini. Mimi mwenyewe ni miongoni mwa wasiojua dini hasa ndio naanza kusoma. Mwanzo nami nilijiona najua dini ila nimekuja kugundua sijui kitu, ndio kwanza naanza.

Be humble. Allah atuongoze sisi na wewe pia katika njia iliyonyooka.

Yangu ni hayo tu.
 
Kuna kipindi pia aliumwaaa.... tukafikia hatua tukasema bora tu arudishe number maana sasa inakuwa changamoto kwetu. Akaja akapona. Shida ikawa pale pale. Hakuna afadhali akiwa mzima shida akiugua shida. Ni msumbufu sana.

Sasa this time anaumwa tena. mwezi wa 3 huu amelala tumehamisha hosp zote. Tunagharamia ukimwangalia age yake nayo imeenda sana. 90 plus. Anataka aendelee kuishi kufanya nini hapa duniani? Sasa tunatumia pesa ambazo zingesaidia wajukuu wake kumtibu mgonjwa mbaye kwa kweli ameshakula chumvi ya kutosha hapa duniani. Mwisho wa siku tunamuona tu kama chuma ulete. Maana kila pesa zetu zinaenda kwenye matibabu yake. Meno yake yameshatoka, anaishi kwa shida. Anaanikwa tu juani kama mjusi ila bado anataka aendelee kuishi. Unajiuliza aishi kufanya nini hapa duniani? Mbona alishamaliza kila kitu?

Sasa inafikia kipindi tunasema bora tu akapumzike nasi tupumzike kidogo maana atatufilisi kwa kweli. Mimi nimeshauza gari moja, nimechukua mkopo, nimekuwa sasa nina madeni ile mbaya. Kwa mabro wengine nao.. ishakuwa shida. Maana tulishampeleka mpaka India kipindi fulani. Wakatwambia kwa huu umri asifanyiwe hayo matibabu maana kinga zake nazo zimekosa nguvu. So alilazwa tu akipewa madawa miezi mitatu. Gharama kubwa ilikuja kwetu. Akarudi amekuwa tia maji tia maji kama gari la mkaa trip moja shamba nyingine gereji.

Ila bado mbishi sana, bado anataka atibiwe na kupelekwa hosp za gharama, sasa mzee si atatuacha watoto wake tumefilisika halafu ndo afe? Hapo tutakuwa tumefanya nini? Nahitaji ushauri wenu kwa kweli hili jambo limenifika hatua nimechoka sana. Sipendi unafiki... hii hali ni ngumu sana maana sasa hata ukiona simu toka kwa ndugu unashindwa kupokea maana huchelewi kuambiwa sasa tuchangie kila mtu atoe 700,000 kuna vipimo na matibabu flani tena yanatakiwa.
Well narated
 
Mimi mpaka hapo sijaona ustaarabu wako pia. Mimi nimeongea uhalisia ulivyo. Kila mtu ni mzee na marehemu mtarajiwa. So hi haitoi kibali cha mtu kuwa mnafiki na mpuuzi. Kuna haja gani kutumia chakula cha wazima kumpa mtu ambaye hatoweza kuwa mzima? Wafe wote? Miaka 90 plus unadhani ni michache? Na hali yake si nzuri. Unadhani kuna mtu ataishi milele?
Umegonga fasihi ya maana na bado hawajakuelewa.
 
skia tafuta chemical inaitwa Potassium cyanide hiyo inapatikana kwenye maduka makubwa ya lab equipment kanunue alaf uwe unamuwekea 1mls kwwnye kinywaji chake soon utakua unesolve tatizo alaf utanikumbuka
 
Poleni...

Tabu yote ni vile maisha ya kibongo yamekaba kila kona, mzee kama huyo ilipaswa awe kwenye nyumba za wazee kwa sasa akihudumiwa na serikali...
 
au ukishindwa kupata Potassium cyanide we nunua mto wa 2000 unakua mgumu ule ukimuwekea usoni usiku ukikandamiza for 10mnts bas roho yake itaacha mwili na mtabaki na hela zenu ili msije mkawa maskini
 
Mkuu.. wewe huujui uislamu kuliko mimi. Ungenyamaza tu ili usije leta mjadala wa kidini hapa. Mimi toka babu yangu alikuwa sheikh, mufti na alhaj.

Wewe maamuma tu unataka jifanya unaifahamu dini na mistari ya kukariri kuliko watu wenye uelewa wa dini? Acha huo upuuzi hapa tunaongea kisomi siyo kimaamuma.

Kama majinbu yenyewe ndio haya, wewe wakikuacha na mgonjwa unaweza kumnyonga kwa kuogopa simu ya mchango wa laki 7, inabidi wawe makini na wewe.... ni hayo tu Chizi Maarifa.
 
Tatizo ni wanafamilia kuwa masikini
Kweli kabisa 💯 ingekuwa familia Ina pesa wangependa baba yao awepo hata Kama atalala kitandani miaka 100. Umasikini,umasikini, umasikini period.
 
Wakati mzee wako anakupeleka shule, anamwaga pesa zake kukupatia vitu vingi unadhani hakuwa anajua kuwa hata wewe ni maiti mtarajiwa, inawezekana baada ya kumaliza form 6 ushatumiza zaidi ya milioni 30 yake ukafa, lakini mbona alikuwa anakulipia ada tu.

Acha ufala, anaweza akafa na hicho kipato chako pia kikakatika, ukiwaza unaweza kupata mitoto kama hii unatamani umwagie nje tu.

Mungu anusuru kizazi changu kisiwa na mawazo mgando kama muanzisha mada.
 
وَقَضَىٰ رَبُّكَ أَلَّا تَعْبُدُوا إِلَّا إِيَّاهُ وَبِالْوَالِدَيْنِ إِحْسَانًا ۚ إِمَّا يَبْلُغَنَّ عِنْدَكَ الْكِبَرَ أَحَدُهُمَا أَوْ كِلَاهُمَا فَلَا تَقُلْ لَهُمَا أُفٍّ وَلَا تَنْهَرْهُمَا وَقُلْ لَهُمَا قَوْلًا كَرِيمًا aya ya 23
Na Mola wako Mlezi ameamrisha kuwa msimuabudu yeyote ila Yeye tu, na wazazi wawili muwatendee wema. Mmoja wao akifikia uzee, naye yuko kwako, au wote wawili, basi usimwambie hata: Ah! Wala usiwakemee. Na sema nao kwa msemo wa hishima.

وَاخْفِضْ لَهُمَا جَنَاحَ الذُّلِّ مِنَ الرَّحْمَةِ وَقُلْ رَبِّ ارْحَمْهُمَا كَمَا رَبَّيَانِي صَغِيرًا aya ya 24
Na uwainamishie bawa la unyenyekevu kwa kuwaonea huruma. Na useme: Mola wangu Mlezi! Warehemu kama walivyo nilea utotoni.
 
Kachukue dawa ya panya changanya na k vant mnyweshe afe
 
Back
Top Bottom