Gharama za kuwapeleka watoto JKT ni mzigo mkubwa kwa wazazi

Achane waenda kufundishwa maadili na uzalendo huko...
 
Kipindi cha kikwete tulobahatika kwenda kipind kile ,,nauli na kila gharama ulotumia kumpeleka kijana wako inarudishwa plus maposho na nauli za kurudia tulipewa..
Burudani kbsa..
 
Nilikuwa JKT kwa mujibu wa sheria June 1985 hadi June 1986 wakati tunaenda kuripoti hakukuwa na gharama yeyote kila kitu ni serikali. Alafu ktk mwaka mmoja ukitoka kule umeiva kisawasawa ndio maana wakati wa vita na Idd Amin kuna vijana waliokuwa JKT kwa wakati ule waliungana moja kwa moja na wanajeshi ktk mstari wa mbele. Sasa hii ya sasa hivi ya miezi mitatu siielewi kabisa kama inakidhi dhumuni la kijana kupitia JKT. maana sisi miezi mitatu ilikuwa ni kipindi cha ukuruta tu. Sasa wenzetu miezi 3 ndio wanaita wamepita JKT. Labda mniambiye malengo ya JKT kwa sasa yamebadilishwa sio kama yale ya awali. Niko tayari kukosolewa.
 
Mmh kumbe JKT ilianza enzi za jiwe aiseee
Pole sana. Mimi niko kwenye mtanziko huo. Nimetumia jana laki 2 kununua vifaa, tena kwa kubana kweli kweli. Bado nauli. Naumia kweli maana hela haipo.

Jiwe ni laana, wacha aende zake, laaniwe Jiwe na wapambe wake.
 
Pole sana. Mimi niko kwenye mtanziko huo. Nimetumia jana laki 2 kununua vifaa, tena kwa kubana kweli kweli. Bado nauli. Naumia kweli maana hela haipo.

Jiwe ni laana, wacha aende zake, laaniwe Jiwe na wapambe wake.
Form six mwaka huu wanaenda JKT?
 
Jiwe aliendeleza. Program hii ilirejeshwa enzi za JK ikiitwa oparesheni Kikwete.

Akina Z.Kabwe, H.Mdee na wengine walihudhuria mafunzo hayo pia.

Kwenye lawama hii usimwondoe JK tafadhali.
Jk aliimudu vizuri ikiwemo bajeti ya chakula >sh 8000 compare to JPM 4500 na nguo za mazoezi na nauli
 
Hata Mimi nilitaka kumuuliza.
Nakumbuka MWAKA 2014 Kuna mzazi Kijiji Fulani aliuza shamba ili kijana wake aende jkt.
Sasa sijui MWAKA huu jiwe alikuwa madarakani!!!
come on, tunasema kujigharamia mahitaji ya kwenda JKT, take cre
 
JKT ipo kabla ya hilo unaloliita Jiwe, itoshe tu kusema umenajisi hoja yako.

Faida za JKT kwa ex-form SIX, ni pamoja na kukoma kwa migomo ya Vyuo Vikuu nchini TZ.
Wazo mfu. Bora usingechangia
 
Jiwe aliendeleza. Program hii ilirejeshwa enzi za JK ikiitwa oparesheni Kikwete.

Akina Z.Kabwe, H.Mdee na wengine walihudhuria mafunzo hayo pia.

Kwenye lawama hii usimwondoe JK tafadhali.
Enzo za JK serikali iligharamia kila kitu, hadi nauli ya kwenda hit ilirudishwa. Kwa sasa gharana zote ni jukumu la mzazi
 
Jiwe aliendeleza. Program hii ilirejeshwa enzi za JK ikiitwa oparesheni Kikwete.

Akina Z.Kabwe, H.Mdee na wengine walihudhuria mafunzo hayo pia.

Kwenye lawama hii usimwondoe JK tafadhali.
Wakati wa kikwetr gharama zilikuwa chini ya serikali na vijana wengi waliosoma sayansi walipata ajira jwtz now ni maafisa jeshini.
 
Kwani mnalazimishwa? Na asipoenda inakuaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…