Kwahiyo Qatar, Saudi, Dubai, Brunei hakuna waislam?Wanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
Leo nimeulizia zile kacha wanazouza masai zile za mkononi nikitaka nimchukulie shemeji nikaambiwa bei ni 20$, niliishiwa nguvu
Kuna nini cha ajabu ZanzibarDubai watalii hawaendi? Hela ya kuishi dubai wiki moja unaishi znz siku3 tu.
Hivi kuna ukweli katika hili?Dubai watalii hawaendi? Hela ya kuishi dubai wiki moja unaishi znz siku3 tu.
Hivi kuna ukweli katika hili?
Kaka/Dada wewe niamini tu, hotel nzuri dubai unapata kwa 35000 hadi 40000Tsh, sasa nenda znz uone motoHivi kuna ukweli katika hili?
Na gharama za kwenda huko Dubai je?Kaka/Dada wewe niamini tu, hotel nzuri dubai unapata kwa 35000 hadi 40000Tsh, sasa nenda znz uone moto
sasa wewe unaumizwa na lipi hapo? Ikiwa wenyewe wameridhia kuwatumia ndugu zao vyakula basi ni sawa, mimi na wewe tusiokuwa na ndugu wa kututumia vyakula hivyo basi tuendelee kupiga mchele wa Ifakara na nyanya za IringaWanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
Nilikuja kula maisha mkuu, ila naona dalili za kuvuka maji kurudi bongo kabla ya muda wangu niliotarget kufikaZanzibar unapiga mishe gani mkuu?
Mkuu Mimi Niko Paje uku Villa Moja nalipia 90$, soon narudi BongoMtoa mada yupo sahihi...
Maisha ya Zanzibar ni ghali hasa kama alivyosema kuanzia chakula hadi malazi (hotel)
Nilikula ugali makange ya Samaki Kwa elfu 24 (Samaki alikuwa mdogo) tofauti na DSM (shilingi 18k makange ya Samaki sato )
Nililala hotel sea view (pale Mazizini) shilingi 120,000/day
Bei ya tax, Umbali wa kilomita 5 tu utalipa shilingi 20,000 wakati huku Bara ningelipia 10k tu 🙌
Kwakuwa ilikuwa ni safari yangu ya mapumziko, ambayo nilishaanda bajeti yake sikuona shida sana.
Nashauri kama unaenda kwaajili ya mapumziko vyema kuandaa bajeti ya kutosha.
View attachment 3072188
💯 tembea ujionee, Tena anzia tu apa ZanzibarHivi kuna ukweli katika hili?
Zanzibar IPI iyo unayoiongelea mkuu, kibongobongo Zanzibar pazuri sana ikifuatiwa na Arusha.Sema pa hovyo sana na nyuma zao za ajabu ajabu
Kwanza unasemea zanzibar ipi pwani kwa watalii au mwanakwerekwe huko..!Samaleko..
Kabla hujawaza kwenda Ulaya, America au Asia kula maisha jitaidi sana uanzie Zanzibar ujionee maajabu ya bei za vitu.
Kiufupi Huku Zanzibar ni sawa tu na Ughaibuni, ukiweza kumudu kula bata kwa muda wa mwezi mmoja maeneo kama Kendwa, Nungwi, Kiwengwa au Paje basi unaweza kumudu kukaa DXB ndani ya wiki mbili, Angalau Stone Town unaweza kusurvive.
Kwa experience yangu hapa Tanzania sijaona sehemu inaifikia Zanzibar kwa gharama za maisha.
All in all Karibuni Zanzibar, ni Kuzuri sana.
Achana na ndizi kwanza, huku kinywaji Cha jero hakuna, Zanzibar nzima hukutiNdizi Buku Benga? Yaan ndizi 1 2000 km 2000
Ndio maana kuna mjerumani mmoja nilikutana nae huku bara akiwa kwenye hotel 1 ya nyota 3 akanunua Maji kwenye duka 1 Maji yale ya 700 mawili akapewa chenji 600 yaan mawili jumla 1400 alitoa 2000 yeye hakuelewa kingereza anajua si sana akaniomba nimuelekeze imekuaje amerudishiwa 600 sasa sikuelewa kwamba Jamaa aliona amezidishiwa Hela au amepunjwa
Ila km Zenji wanawapiga naona mjerumani yule aliona km amezidishiwa Hela ndio maana alipagawa kudadadeq leo ndio nimeelewa sasa kwanini yule mjerumani alikua amepagawa kuona ametoa Buku 2 kapewa Maji 2 ya kunywa na chenji ikarudi juu kapagawa ahamini macho yake imekuakuaje 2000 Maji makubwa 2 na chenji ikarudi mjerumani yule hakuamini naona huko Zenji alikutana na kitu kizito
Nimeshangaa sana kukuta ZRA na TRA huku Zanzibar, sijajua zinaoperate vipi.Pesa ni ngumu sana kuipata kwa mkazi wa kawaida.
Yaani ule ni mji wa kwenda kutalii na kurudi, si mji wa kupiga kambi.
Kuna tabaka kubwa la walionazo na wenzangu na mimi.
Deal ni wale wanafamilia waliofanikiwa kutoka na kwenda ishi arabuni ndio msaada mkubwa, wanaokoteza mavitu ya mitumba na kuyatuma kisiwani. Thoo biashara imekua ngumu kwa sasa sababu target ni kuwauzia wabara.
Uwepo wa nyundo la Tra (wenyewe wanawaita kastam) umedororesha biashara hiyo. Wabara hawana mzuka tena na maelektroniki yao.
Atakupasua kichwa uyoUlishawahi kutembelea fukwe za kitalii Zanzibar? Isijekua nabishana na mtu hahawahi ata kuvuka maji