Gharama za Maisha Zanzibar Zipo Juu sana

Hapo Michamvi usikose kuhudhuria swimming part kama sijakosea ni kila Jumanne usiku. Usisahau kupita na hapo chuoni kwa watasha wanaojifunza kiswahili.
Naomba location exactly ya iyo swimming party mkuu kama hutojali maana uku Usiku kuna poa sana
 
Nipo na baharia mmoja mzaliwa wa apaapa Paje ananambia hawa beach boys wa kimasai wanatumia madawa kuwarubuni hawa wadada wa kizungu na kutoka nao kimapenzi, vipi Kuna ukweli wowote katika ilo wadau?
 
Kweli kabisa.
 
Si vyakula,si mavazi ,si usafiri,bei ni kali hasa, nimenunua parachichi bei ni elfu 3500, Mwanzo unakuona kugumu, Mwanzo nilikuwa nashangaa bei ya nyanya moja ni sh.1000,kitunguu 700 kidogo hakikidhi,,,, kwa siye tuliozoea bei chee ukija huku lazima uteseke,,,,lakini kawaida. Kwa wanaonunua kwa kimojakimoja wanateseka, Znz kitu chenye bei poa ni boflo,chocolate na mabiskut,
 
Vitu viko juu kweli ila kumekaa poa sana, I don't regret staying here. Pilikapilika za Dar sio kabisa
 
Hahah akina Nasoro ukijichanganya wanakupa za uso.
 
Za kuambiwa changanya na zako.Yaani ndugu wa majuu watume mchele mafuta ya kupikia,sukari,beans na nyanya kopo?
Na wewe ukaamini kwamba ni kweli?Hao wa majuu wapo Nchi zipi,Wanapewa hizo bidhaa bure huko majuu? Gharama za usafiri huwa ni bure?
Yaani hizo bidhaa ziwe nafuu majuu kuliko Zanzibar?
Bei ya sukari Zanzibar unaijua?
Mambo mengine unapodokezwa shirikisha ubongo.
Wanatumiwa pesa inge make sense.
 
Anotaka kuja kutembea Zanzibar jamani tuwasiliane nipo hapa kijana mwenzenu tembea nami utembee ,ufurahi na kujenga urafiki wa kudumuu

Karibuni jamani
Zanzibar ni njema atakae aje
 
TRA haihusiki na mapato ya zenji..
ZRA wanakusanya trillion 1 na ushee kwa kila mwaka wa fedha. Kutoka vyanzo vyao vya Zenji.

Nimekaririshwa hivyo..ila sijiamini sana.Naruhusu kukosolewa..Maana hata Zanzibar sijawahi kufika.
Karibu zanzibar
 
Zanzibar umri wa kuishi upo chini sana kwa utafiti niliyo ufanya wazee wachache saba, kwenye familia kumi ya watoto kuanzia Miaka 30 kukuta wana wazazi wapo Hai ni familia 2 tu familia 8 hazina wazazi wamefiwa na wazazi yani kukuta kijana mkubwa mwenye miaka 45 bado wazazi wake wapo hai ni ngumu, kingine nilicho ona Wazanzibar wanawahi kuzeeka mapema na kuchoka kwa Marathi hii inasababishwa na uraji wa vyakula kutoka nje, utakuta Mzanzibar mpaka ana Zeeland hajawai kula kuku wa kienyeji wao kuku wao ni kutoka Uturuki na nchi nyinginezo na Mchele hivyo hivyo wanapenda Michele ya nje haina ubora. Ukimchukua kuja wa Tanganyika mwenye miaka 20 na kijana Wa Zanzibar mwenye miaka 20 kijana wa Zanzibar anaoneka mkubwa ana karibia miaka 27 kimuonekano.
Karibu zanzibar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…