MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
- Thread starter
-
- #101
Naomba location exactly ya iyo swimming party mkuu kama hutojali maana uku Usiku kuna poa sanaHapo Michamvi usikose kuhudhuria swimming part kama sijakosea ni kila Jumanne usiku. Usisahau kupita na hapo chuoni kwa watasha wanaojifunza kiswahili.
Kweli kabisa.Una ruhusiwa ila inabidi ukajenge Mashambani ukijenga mjini huta pata wateja kwasababu wenyeji wa uko siyo watumiaji wa lodge wao mfumo wao utakuta kijana Kaoa au hajaoa bado anaishi nyumbani kwa wazazi ila wanapanga chumba kwaajili ya kukutana na wapezi wao au michepuko kwa upandr wa waume za watu.
Vitu viko juu kweli ila kumekaa poa sana, I don't regret staying here. Pilikapilika za Dar sio kabisaSi vyakula,si mavazi ,si usafiri,bei ni kali hasa, nimenunua parachichi bei ni elfu 3500, Mwanzo unakuona kugumu, Mwanzo nilikuwa nashangaa bei ya nyanya moja ni sh.1000,kitunguu 700 kidogo hakikidhi,,,, kwa siye tuliozoea bei chee ukija huku lazima uteseke,,,,lakini kawaida. Kwa wanaonunua kwa kimojakimoja wanateseka, Znz kitu chenye bei poa ni boflo,chocolate na mabiskut,
Comment zako zinafurahisha sanaUliaga ukienda Zenji? Naskia siku hizi watu wanaenda na kurudi kimya kimya kwasababu wanaogopa kuulizwa rinda,liko salama?
Tell him to find MONEYComment zako zinafurahisha sana
Kweli,kupo poa hakuna zogo.Comment zako zinafurahisha sana
Hahah akina Nasoro ukijichanganya wanakupa za uso.Ndizi Buku Benga? Yaan ndizi 1 2000 km 2000
Ndio maana kuna mjerumani mmoja nilikutana nae huku bara akiwa kwenye hotel 1 ya nyota 3 akanunua Maji kwenye duka 1 Maji yale ya 700 mawili akapewa chenji 600 yaan mawili jumla 1400 alitoa 2000 yeye hakuelewa kingereza anajua si sana akaniomba nimuelekeze imekuaje amerudishiwa 600 sasa sikuelewa kwamba Jamaa aliona amezidishiwa Hela au amepunjwa
Ila km Zenji wanawapiga naona mjerumani yule aliona km amezidishiwa Hela ndio maana alipagawa kudadadeq leo ndio nimeelewa sasa kwanini yule mjerumani alikua amepagawa kuona ametoa Buku 2 kapewa Maji 2 ya kunywa na chenji ikarudi juu kapagawa ahamini macho yake imekuakuaje 2000 Maji makubwa 2 na chenji ikarudi mjerumani yule hakuamini naona huko Zenji alikutana na kitu kizito
Umeme wanapata toka huku, tunawalipia wabunge wa bunge la Dodoma, tunawachagulia rais huku Dodoma.Wamewahi kukuomba msaada?
Za kuambiwa changanya na zako.Yaani ndugu wa majuu watume mchele mafuta ya kupikia,sukari,beans na nyanya kopo?Wanadai ni mji wa kitalii!
Kuna jamaa alinidokeza kuwa wenye ndugu majuu huwa wanawatumia ndugu zao mchele, mafuta ya kupikia, sukari, beans, nyanya za kopo nk nk !
Nilishangaa mno! Je wenyeji wavivu? Au ndio uislamu imewadhoofisha wasilime, kufanya kazi au ?!
Very embarrassing aiseee....
Nipo na baharia mmoja mzaliwa wa apaapa Paje ananambia hawa beach boys wa kimasai wanatumia madawa kuwarubuni hawa wadada wa kizungu na kutoka nao kimapenzi,View attachment 3077212 vipi Kuna ukweli wowote katika ilo wadau?
Hapana mkuu, Kuna Driver Huwa namuagizaBoss, umeenda kwenye ofisi ya aquaholics
Halafu umenikumbusha jambo, je Unguja ni jiji, manispaa au mji?Znz jiji la kitalii ukienda lazima ujipange kwanza
TRA haihusiki na mapato ya zenji..Nimeshangaa sana kukuta ZRA na TRA huku Zanzibar, sijajua zinaoperate vipi.
Uko Chukwani na Mbweni kuna weza kupazidi Kawe Beach au Mikocheni Kwa Warioba au kwa Mwinyi? Yani uko ulipotaja ata Sinza A Kuzur.Sio kweli, Chukwani na Mbweni kumejengeka na kupangiliwa angalau
Karibu zanzibarTRA haihusiki na mapato ya zenji..
ZRA wanakusanya trillion 1 na ushee kwa kila mwaka wa fedha. Kutoka vyanzo vyao vya Zenji.
Nimekaririshwa hivyo..ila sijiamini sana.Naruhusu kukosolewa..Maana hata Zanzibar sijawahi kufika.
Karibu zanzibar